Chaliifrancisco
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 26,021
- 79,710
Mimi kupigiwa siwezi maana siji kukaa kufanya ujinga unaoitwa kuoa. Kama ni demu ninane na demu sio wa mtu mmoja tuna share.Usipo chukua utapigiwa wewe,
Mimi nimeoa sitaki kuchepuka na mke wa mtu Ila siwezi siwezi kusema 'siwezi' chukua mke wa mtu maana najua shetani ana nguvu
She's not yours, It's just your turn.