Najuta kwa mara nyingine kuwa na mahusiano na mke wa mtu

Najuta kwa mara nyingine kuwa na mahusiano na mke wa mtu

Usipo chukua utapigiwa wewe,

Mimi nimeoa sitaki kuchepuka na mke wa mtu Ila siwezi siwezi kusema 'siwezi' chukua mke wa mtu maana najua shetani ana nguvu
Mimi kupigiwa siwezi maana siji kukaa kufanya ujinga unaoitwa kuoa. Kama ni demu ninane na demu sio wa mtu mmoja tuna share.

She's not yours, It's just your turn.
 
Ni mwanamke ambaye nilionana nae nilipoenda kutembelea maonesho ya biashara ya sabasaba mwaka jana, na hii ni baada ya kumaliza shughuli za ukaguzi katika banda letu nikaona si vibaya nipate kutembelea mabanda mengine kujionea biashara na ubunifu wa vijana wetu.
Hapo kipengele cha mwisho ndo umekosea....yaani huyo jamaa hata angekua House Boy wako huwezi mmudu akigundua unamlia mkewe. Hujamheshimu jamaa,na hili tutalijadili kwenye kamati kwa kuvunja miiko ya kula muke ya mutu
 
Unajisifia ujinga, unajifanya kuona unaumia huku ukijijengea wigo (Rejea: huyo mumewe nnamudu). Mwisho wako hauko mbali na jua hakuna mwanaume mnyonge linapokuja swala la kuliwa mkewe. Atakuweza hata kama sio kwa mapigano bas kwa uchawi
 
Unakosea sana sana mkuu na hata uliposema eti mumewe " unammudu"seriously? Ummudu mtu na mkewe kwa kweli unachokifanya litakukuta jambo moja baya sana ni laana unatumia na nguvu na wadhifa wako kuona huyu anastahili kuliwa mkewe kwa sababu unazozijua? Utalipiwa sawa sawa na matendo yako
 
Ni mwanamke ambaye nilionana nae nilipoenda kutembelea maonesho ya biashara ya sabasaba mwaka jana, na hii ni baada ya kumaliza shughuli za ukaguzi katika banda letu nikaona si vibaya nipate kutembelea mabanda mengine kujionea biashara na ubunifu wa vijana wetu.
Hivyohivyo ndivyo mkeo analiwa
 
Maisha hayanaga kanuni ya aina moja yenye kufanana!

Ukilielewa hilo utaweza kuwa na provisions za aina mbalimbali kwenye maswala mbalimbali.
 
Kuna wanawake ambao waliolewa ndoa kabisa na waliolewa wakiwa virgins kabisa hawakuwahi ku sex wamesoma hadi elimu ya chuo kikuu na kushinda vishawishi vingi.

Walipokuja kutendwa pakubwa na wanaume zao wa ndoa ndipo walijua kutia akili.

Tabia wengine wanakuwa forced kuwa nazo aisee!

Dunia ina mambo mengi sana.
 
1. Mkuu, kwa imani yangu inanieleza kuwa, usichopenda kufanyiwa basi usimfanyie mwenzio.

2. Leo utaona huyo mtu unammudu, mtu akishatambua uovu anaofanyiwa, yupo tayari kulipa, huwezi kujua anafahamiana na nani ama nani atamsaidia ili kulipa.

3. Kesi ya ugoni, utakachofanyiwa hakina tofauti na mwizi.

4. Utakuja kuharibu familia yako daima kwa tamaa hizi ambazo umezishikilia kwa mke wa mtu.

5. Unaweza ukasoma haya yooote na bado ukajipa imani kuwa hayawezi kukutokea, unajua nini? Ulizia wooote waliowahi kupatwa na madhara ya ugoni, wameshawahi kufkiria kuwa watakamatwa?

6. Umemuoa mke wako, mpende na kumheshimu sana. Heshimu mama yako mzazi, heshimu pia mke wako.
umeongea kwa uchungu sana, kuchapiwa kunauma sana

nakuona umeshika nafasi ya mwenye mke kabisa

akitaka kupona asikie maneno yako
 
Ni mwanamke ambaye nilionana nae nilipoenda kutembelea maonesho ya biashara ya sabasaba mwaka jana, na hii ni baada ya kumaliza shughuli za ukaguzi katika banda letu nikaona si vibaya nipate kutembelea mabanda mengine kujionea biashara na ubunifu wa vijana wetu.

Wakati nazunguka nilifika katiba banda moja ambalo lilikuwa na wadada ambao walikuwa wakinadi bidhaa zao nikauliza maswali yangu pale mwisho nikaomba business card ya aliyekuwa ndio boss pale ambaye alikuwa ni mdada mmoja mzuri sana kuanzia rangi na umbo kwa ujumla kwa ufupi alikuwa amekamilika.

Baada ya siku kadhaa nikawa namtafuta kumjulia hali akawa mzito kujibu text zangu , mwanzo nilionesha kukata tamaa ila upande mwingine wa nafsi yangu ulisema hapana endelea kumtafuta mbona kama alivutiwa na wewe tangu ulipokanyaga banda lao pale.

Kweli bwana nikaendelea kuwasiliana nae nakumbuka kuna nilisafiri kuja mkoa X alipo ikanibidi nikamtafuta tu kujua anaendelea vipi na mwisho nilamwambia nipo mkoa uliopo kwa wiki kadhaa na ningependa sana tupate chakula cha usiku pamoja mimi na wewe sehemu X, kwa ufupi aliitika wito siku hiyo tulizungumza mengi na hapo ndipo nikatokea kujua udhaifu wake upo wapi?

Nikaendelea kuwasiliana nae na tukawa tunaonana nae kila mara nilipokuwa nasafiri kwenda mkoa aliopo, hadi mwaka huu mwezi uliopita alinitafuta mwenyewe maana alikuwa akijua ratiba pindi nifikapo mkoa X kikazi akanipigia simu akanijuza kuwa “Leo anataka tulewe tucheze mziki pamoja” eeh nikasema nini kimemkumba huyu mrembo.

Siku hiyo nilimstaajabu sana maana alikuwa mchangamfu kupitiliza nikamuuliza kila kitu kipo kipo sawa akanijibu “tutazungumza D” nikamwambia muda umeenda itabidi ukapumzike sasa itabidi nikusindike ukapumzike kitu alichonijibu ni kwamba “Leo utakapoenda kulala na mimi ndipo nitalala” aisee nilisikia sikio linalia nziiiiiiiiiiiiiii kwa wale waliowahi kupigwa makofi kwenye sikio wanaujua vyema mlio huo wa sikio.

Kwa ufupi tulijikongoja hadi nilipofikia na kweli tulifanya ya kufanya niwe muwazi yule binti alikuwa fundi sana ingawa ana watoto wawili ili maungo yake yalikuwa bado ni kama ya wale mabinti wadogo, nikiri tu ingawa alikuwa ni mke wa mtu ila nilishangaa sana yeye kuwa na nyege kiasi kile.

Kisa cha kuleta uzi huu ni kwamba mwanamke yule hakuwahi kufikiria ku- cheat ila sasa amenitamkia ya kwamba ataniheshimu na atamheshimu mke wangu ila tu anaomba niwe mtu wake wa pili na yuko tayari kufanya chochote ninachotaka ili tu awe na mimi.

Hapa bado nipo kwa tafakuri zito maana nakumbuka miaka ya nyuma nilibahatika kutoka na dada mmoja ambaye pia ni mke wa mtu ila nilijikuta natumia gharama nyingi sana kwake mfano; kumuongezea mtaji katika biashara yake na kulipia kodi mara nyingi hivyo nahofu yaleyale yasije yakajitokeza kwa huyu tena.

Naombeni ushauri nimfanyaje huyu mke wa mtu.

NB

Nimegundua mme wake pia ni mtu wa safari kama mimi tu na yupo kitengo fulani na nammudu vizuri kabisa, hivyo hawezi kuwa tishio kwangu hata kidogo.
Jitahidi kila mnapokutana uwe umebeba K-Y, maana unaweza kugeuziwa kibao ukajikuta unatatuliwa malinda yote.Amini maneno yangu kuna siku utakuja kusimulia hapa.
 
Sasa unataka huyo mke wa mtu akakazwe wapi? Cha mtu huliwa na mtu


Jamani kwaresma hii acha nilog out!!!!
 
Sitakuja chukua mke wa mtu nikiwa najua ni mke wa mtu. Labda nipite nae bila kujua (anidanganye kuwa hajaolewa).


Ni sawa kukusudia vyema.

Lakini,

Nguvu ya penzi nayo inasehemu yake pia!

Wakati mwingine wala siyo kusema labda ni tamaa na kujiendekeza hapana , yaweza tokea tu kama coincidence.

Yani unajikuta kujutia kuoa galasha na yule kujutia kuona kaolewa na galasha [emoji108][emoji108]

Hao watu wawili wa jinsia tofauti ikitokea coincidence ya namna hiyo penzi lao huwa halina kifani [emoji108][emoji108]

Halafu unakuta walipendana sana hapo awali na hawakuwahi kujuana kimwili kabisa yakabaki mawasiliano ya karibu tu kwa muda wa miaka pengine kwa mfano !

Mwanamke akiamua kuufungua moyo wake na kuridhia kumpa jamaa nafasi moyoni usipime!

Unajua moyo kuyeyuka zidi ya mtu fulani?!
 
Ni sawa kukusudia vyema.

Lakini,

Nguvu ya penzi nayo inasehemu yako !

Wakati mwingine wala siyo kusema labda ni tamaa na kujiendekeza hapana , yaweza tokea tu kama coincidence.

Yani unajikuta kujutia kuoa galasha na yule kujutia kuona kaolewa na galasha [emoji108][emoji108]

Hao watu wawili wa jinsia tofauti ikitokea coincidence ya namna hiyo penzi lao huwa halina kifani [emoji108][emoji108]

Halafu unakuta walipendana sana hapo awali na hawakuwahi kujuana kimwili kabisa yakabaki mawasiliano ya karibu tu kwa muda wa miaka pengine kwa mfano !

Mwanamke akiamua kuufungua moyo wake na kuridhia kumpa jamaa nafasi moyoni usipime!

Unajua moyo kuyeyuka zidi ya mtu fulani?!
Ngoja tuone. Will I be able to stand the test of time?

??
 
Back
Top Bottom