Najuta kwa mara nyingine kuwa na mahusiano na mke wa mtu

"Naomba Mwenyezi Mungu akuzidishie hekima na busara Kama Mfalme Suleiman"
 
Usijisifu kula Mke wa mtu. Huenda wewe huna mke, ila ishu ya kuliwa mke inauma sana. Mnaweza mkaficha sana ila siku moja mambo yatakua wazi, mwenyewe atajua na ndoa yake haitakuwepo tena.
Anaweza pia mumewake asijue lakini akili ya mwanamke inaweza kunogewa na wewe na kufanya amdharau mume wake. Hali hiyo pia inaweza kua sababu ya kuteteleka kwa ndoa yao.
Kama kweli huna nia ya kuharibu ndoa yake, basi hujachelewa, achana nae, achana na wake za watu. Maana KARMA is real
Wanawake wengi ni wadhaifu, sasa usitumie udhaifu huo kwa wake za watu.
 
Ulizia bei vaseline kabisa.....na sabuni ya magadi .......kaa tayari kupakwa mate machachu ya bangi uko nyuma kwako kunako nuka nuka
Aulizie na bei ya detto wakati anauguza mtatuko [emoji23][emoji23]
 
Aulizie na bei ya detto wakati anauguza mtatuko [emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] tobaaaaaah.
 
Jamaa anajiona yuko powerful
 
Mtu aziniye na mwanamke hana akili kabisa;
Afanya jambo litakalomwangamiza nafsi yake.
Atapata jeraha na kuvunjiwa heshima;
Wala fedheha yake haitafutika.
Maana wivu ni ghadhabu ya mtu;
Wala hatahurumia siku ya kujilipizia kisasi.
Hatakubali fidia yoyote;
Wala hatakuwa radhi, ujapomlipa vitu vingi.

Mithali 6:32-35
 
Naombeni ushauri nimfanyaje huyu mke wa mtu.

M U A C H E

Kuna siku utaukumbuka huu ushauri,,, hio siku haina taarifa itakuja tu ghafla..

Nasisitiza tena acha tabia ya kula wake za watu
 
Unammudu eeh owk.
 
Achaa uzizi sheik....mchepuko wako na mke wa mtu,jua hata wewe mkeo Ni mchepuko wa mtu,jinsi unavyo mlia jamaa na mkeo nae analiwa na mtu hivyo hivyo maana na wewe Ni mtu wa kusafiri safiri so Kuna mahali anamaliza nyegere zakee.....that is fact
 
Kuna mtu niliwahi kumsikia anaongea kuwa Mme wake hawezi kumfanya chochote ila jamaa alikuja kupigwa na radi mchana kweupe na story ikaishia hapo na ww jua kuwa Madawa yapo achana nae
 



Vipi kwa mume wa mtu?
 
Naona mnavyotishana wake zenu kugegedwa [emoji3][emoji3][emoji3]

Ni yule Mwanaume ambaye yuko honest Kwa mkewe hachepuki ndiye ataeleweka lakini kama na wewe Mwanaume hujatulia unachepuka basi ujue ni tit for tat [emoji123]

Usilotaka kufanyiwa wewe na wewe usimfanyie mwenzio!

Kwa hiyo acheni mikwala yenu mbuzi!
 
Wacha iwe noti bandia Kwa cheni ya bandia iwe ngoma droo!

Nyie si mnajifanya mnajua kucheat?!

Ujinga wakati wa kwenda, kurudi huwa werevu [emoji108][emoji108]

Nitamuelewa mwanaume ambae hachepuki tu lakini Kwa anayechepuka mmmnh wala asiseme kujifanya Eti imuume mkewe kugongwa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…