NAKAZIA: Acha ujinga, usimpe pesa mwanamke ambaye si mke au mchumba wako

NAKAZIA: Acha ujinga, usimpe pesa mwanamke ambaye si mke au mchumba wako

Dah lipuuzi lingine ikute hata nguvu zakiume huna
😂😂😂 Baada ya kupewe 🍆 unataka upewe shillings ngapi? Simple question km laki sema laki km laki 2 sema laki 2, wewe si ndio unajua gharama zako
 
Hivi kwanini isifike muda kila mtu abaki na chake? Mwenye mbususu abaki na mbususu yake...
Mwenye mkia abaki na mkia wake...
Case closed...
Ni kweli ni kweli kazi kero visa na visana siwabaki na midudu Yao period siye mbona tumetulia hatuwawazi eh eti wao mara kahaba sijui maraya mara sijui unajiuza Sasa shida zote zanini???
Waambie hao mama wasikutibue na maji ya mgao hata umeme umekatwa
 
Hapana mleta mada me sikubaliani na wewe , hizi formula huwa mnazileta huku ila mnatugeuka mnatuzunguka mnawahonga vibaya mno 😃😃😃

Kikubwa vijana mjikune mnapoweza , msilazimishe mambo "Mwanamke huwa anataka kitu ambacho huna"
Wewe fanya kwa uwezo wako 😃
 
Hapana mleta mada me sikubaliani na wewe , hizi formula huwa mnazileta huku ila mnatugeuka mnatuzunguka mnawahonga vibaya mno [emoji2][emoji2][emoji2]

Kikubwa vijana mjikune mnapoweza , msilazimishe mambo "Mwanamke huwa anataka kitu ambacho huna"
Wewe fanya kwa uwezo wako [emoji2]
[emoji2][emoji2][emoji2]
 
Back
Top Bottom