Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mhm. Sio kwa utamu wa muunga iko wa mbususu na de liboloHivi kwanini isifike muda kila mtu abaki na chake? Mwenye mbususu abaki na mbususu yake...
Mwenye mkia abaki na mkia wake...
Case closed...
Kwa yako bei gani?[emoji23] hii dunia hakuna cha bure, labda pumzi tu
Sasa kwanini twende kanisani kusikiliza Story za Biblia huku bible tinazo?Kwanini tufundishane matumizi ya pesa wakati kila mtu anatafuta kivyake
Sent using Jamii Forums mobile app
Sikiliza mwanaume anaishi bila ya kumhitaji ke Ila ke hawezi ishi bila ya kumhitaji me.Labda nyinyi, sisi tunaanzia wapi kulia? Sisi hata miaka 10 tunakaa...
Swali nyinyi mnaweza?
Unataka kuinunua?Kwa yako bei gani?
Ndiooooo, nimeambiwa ni tamu sanaUnataka kuinunua?
Ninae anaenunua kila siku, umechelewa.Ndiooooo, nimeambiwa ni tamu sana
Anaweza kuwa rwplaced with a higher bidNinae anaenunua kila siku, umechelewa.
Ananitosha huyu huyu.Anaweza kuwa rwplaced with a higher bid
Pesa zikamtoaha mwanadamu toka lini weye....oh unachezea fursa zinapita 🤣🤣🤣🤣Ananitosha huyu huyu.
Ananitosha mtu, sio pesa.Pesa zikamtoaha mwanadamu toka lini weye....oh unachezea fursa zinapita [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sasa hizi tena somjoAnanitosha mtu, sio pesa.
Missing u chauongoo oa basi ??Kwa yako bei gani?
Wanaumeee!
Acheni kutoa pesa kirahisi kwa wanawake. Wanawaona mapimbi tu mkiwapa pesa.
Penzi huja automatically, halinunuliki. Unaweza kupewa mpaka maku lakini hupendwi, just unaonjeshwa tu utelezi ili akuchune zaidi.
Wanaume wengi waliodhani wanapendwa kumbe wanauliwa baadaye hufilisika na ndipo hujikuta hawana mpenzi, wanabaki kama mazuzu.
Ukiwa bahili ndio unakuwa mwanaume wa kweli. Pesa ngumu. Unaipata kwa shida halafu anatokea mtu anakubania pua unampa buku, buku 2 mpaka laki moja.
Siku mirija ya fedha ikifungwa ndipo utajiona wewe ni boya.
Nakuombea ufulie wewe mjinga unayewanyima wazazi wako fedha kisha unaenda kununua utamu ambao kiasili uko ndani yako.
Amka, unayalaani maisha yako wewe mwenyewe.
Chukua hata 50 ambayo unaiunguza siku moja kwenye starehe mtumie yule shangazi yako aliye kijijini uone maombi atakayokumiminia.
Malaya mmoja juzi anasema nikafanye naye mkesha kisha nimpe 80. Nikamwambia nakupa 60 akasema nimpe 100 maana anataka aongezee 100 akanunue smart phone.
Yaani nilipomwambia ninampa 60 akajua kuwa nina pesa akabadili gear angani.
Nilimblock nikabaki nacheka mwenyewe.
Raha tupate wote halafu Mimi nitoe pesa.
Hiyo 80 au 100 nikiongeza kuku 6 wakubwa baada ya miezi 6 takuwa nimesonga mbele kwa km ngapi?
Nikihonga tena Mimi mniite......
Njoo nikuwowe wewe maana hilo body lako lilivyo sexy. Mzima lakini mremboMissing u chauongoo oa basi ??
Haya jipige kifua, sema Mimi ni zobaUsitupangie maisha, hapa nimempa mdada wa watu 150,000,then nikampa 100,000