NAKAZIA: Acha ujinga, usimpe pesa mwanamke ambaye si mke au mchumba wako

NAKAZIA: Acha ujinga, usimpe pesa mwanamke ambaye si mke au mchumba wako

Umesema kweli mkuu. Pesa mpatie mzazi wako, mke wako au mtu mwenye uhitaji kweli.

Usipatie gold diggers pesa, wanadhani kwasababu wanamatako makubwa basi wanashahili kupewa pesa hivyo. Tabia chafu sana hiyo.
Tabia za kiibilisi kabisa
 
Umesema kweli mkuu. Pesa mpatie mzazi wako, mke wako au mtu mwenye uhitaji kweli.

Usipatie gold diggers pesa, wanadhani kwasababu wanamatako makubwa basi wanashahili kupewa pesa hivyo. Tabia chafu sana hiyo.
Nawakati wakutomba utombe dada zako sio dada wawengine nawakuwachakaza unapofanya jambo fikiri kabla yakutenda
 
Tabia za kiibilisi kabisa

Kabisa mkuu, hawawatumii wazazi wao hata 5000 lakini wanashoboka na gold diggers.

Si laana kabisa hiyo?

Mimi mwanamke hata awe mzuri au uwe na umbo kiasi gani akiniletea mambo ya u-gold digger namfurusha.

Hata kama mzuri vipi, Gold-digger ni gold digger tu.
 
Nawakati wakutomba utombe dada zako sio dada wawengine nawakuwachakaza unapofanya jambo fikiri kabla yakutenda

Mentality yako ni chafu.

Si unaona unavyowwaza?

Sex napata kwa girlfriend/mke wangu. Sinunui.

Yanini nipoteze muda kwa gold diggers?
 
Pole mwaya ila dar yote umekosa mkuu acha hizoo kijana maridadi na hizo lipsi zako kifua kile nalile gari kama nakuona hivi mmh hakunaga ni unabana tu acha hizo fungua moto wapo
Mwenzio nipo hapa kaliua nimeshiba wali nazi mandondo ya mama wa kambo naperuzi nyuzi tuu hapa.
Warembo bila ndalama utaishia pigwa vibuti tuu
 
Haya ka mwenyewe ukihisi hamu Fanya nyeto au katengeneze k ya kuchonga maana wanawake wanahitaji matunzo unaona eh matunzo ndio maana mnafanyana wenyewe Kwa wenyewe maana mnadanganyana sana kipuuzi tuyaani umuite mtu aje geto umnyandue wee halafu aende tu kisenge kwao mshenzi Fulani wewe
Kwamba wanaume hawahitaji matunzo? By the way ni jukumu la kila mtu kujitunza sio kusubiri kutunzwa kama kuku broiler
 
Hawa wa siku hizi wengi ni wezi tuu, na bahati mbaya sana wanakuibia kwa hiyali yako mwenyewe bila kupenda, shenziiiiiiiiiiii kabisa 😡😡😡😡😡
 
Wanaume,

Acheni kutoa pesa kirahisi kwa wanawake. Wanawaona mapimbi tu mkiwapa pesa.
Penzi huja automatically, halinunuliki. Unaweza kupewa mpaka maku lakini hupendwi, just unaonjeshwa tu utelezi ili akuchune zaidi.

Wanaume wengi waliyodhani wanapendwa kumbe wanaliwa tu, baadaye hufilisika na ndipo hujikuta hawana mpenzi, wanabaki kama mazuzu. Ukiwa bahili ndiyo unakuwa mwanaume wa kweli. Pesa ngumu. Unaipata kwa shida halafu anatokea mtu anakubania pua unampa buku, buku 2 mpaka laki moja.

Siku mirija ya fedha ikifungwa ndipo utajiona wewe ni boya.
Nakuombea ufulie wewe mjinga unayewanyima wazazi wako fedha kisha unaenda kununua utamu ambao kiasili uko ndani yako. Amka, unayalaani maisha yako wewe mwenyewe.

Chukua hata 50 ambayo unaiunguza siku moja kwenye starehe mtumie yule shangazi yako aliye kijijini uone maombi atakayokumiminia.

Malaya mmoja juzi anasema nikafanye naye mkesha kisha nimpe 80. Nikamwambia nakupa 60 akasema nimpe 100 maana anataka aongezee 100 akanunue smart phone. Yaani nilipomwambia ninampa 60 akajua kuwa nina pesa akabadili gear angani.

Nilimblock nikabaki nacheka mwenyewe. Raha tupate wote halafu mimi nitoe pesa? Hiyo 80 au 100 nikiongeza kuku 6 wakubwa baada ya miezi 6 takuwa nimesonga mbele kwa Km ngapi?

Nikihonga tena mimi mniite......!
Mkuu, barikiwa sana. Kama nchi yetu ikiwa na wanaume kama mim na wewe tutaifikia nchi tuliyoiota enzi za Nyerere
 
Malaya wote wanakuwa wakali sana unaposema wanajiuza wao wanajificha kwenye kichaka cha matunzo [emoji23]

Malaya ni malaya tu kubalianeni bei lipia huduma kula mzigo achana nae
 
Back
Top Bottom