NAKAZIA: Acha ujinga, usimpe pesa mwanamke ambaye si mke au mchumba wako

Labda nyinyi, sisi tunaanzia wapi kulia? Sisi hata miaka 10 tunakaa...
Swali nyinyi mnaweza?
Sikiliza mwanaume anaishi bila ya kumhitaji ke Ila ke hawezi ishi bila ya kumhitaji me.
Sie tunatafuta nyie kisa starehe. Ukikaa muda mrefu wewe unazalisha electrons ambazo inabidi Uzi neutralize hata kwa kukumbatiwa. Maumbile unatoa asidi mno unahitaji upate neutralization ya alkaline ili uwe vzuri emotionally na uji behave vizuri. Sie kwenu tunafuata utelezi tu Basi ambao hata kwa soap ama bamia unaoatikana
 

Umesema kweli mkuu. Pesa mpatie mzazi wako, mke wako au mtu mwenye uhitaji kweli.

Usipatie gold diggers pesa, wanadhani kwasababu wanamatako makubwa basi wanashahili kupewa pesa hivyo. Tabia chafu sana hiyo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…