Nakusudia kuishtaki Serikali (TCRA) kuzima Simcard za wateja wa mitandao

Nakusudia kuishtaki Serikali (TCRA) kuzima Simcard za wateja wa mitandao

Jitafakari ulicho andika!!
Kitambulisho cha NIDA ni mradi ulioanza kabla ya Magufuli kuwa raisi wa JMTZ.
Wala yeye sie alie agiza au kuidhinisha mradi huo.
Ni wapi nimeandika mradi id za NIDA umeanzishwa na Magufuli au mihemko yako?So far hata kama ulianzishwa na jk kwa sasa utekelezwaji ni mbovu.Hvi unajua sheria zinazobana watumiaji wa simu kujisajiri zimetaja vitambulisho vingi lakin serkali imekomaa na Nida wakifikiri watawabana wanaoikosoa serkali.Haya matumizi mabaya ya madaraka na rasilimali za nchi.Umeona jina la JPM umeweuka umeacha kusoma kilichoandikwa unakurupuka tu
 
Umeandika kwenye mada yako;
''Wenye akili wameshasoma mchezo, kuna kitu kinatafutwa hapo, kwa sababu fingerprints Tayari watu walishachukuliwa kwenye Vitambulisho vya kura na Driving Licence,sasa kuna haja gani ya kutesa watu kiasi hiki?''.

Ni kitu gani kinachotafutwa? Naomba unielimishe!

Nimekuomba unielimishe kwa sababu kwa sasa hapa Jamiiforums kumejitokeza baadhi ya wanachama ambao wanadhani hisia zao ndio ukweli lakini kibaya zaidi wanataka kuwalazimisha na watu wengine kwa hoja za nguvu waamini hisia zao!
Wewe unathibitisha kile kilichosemwa na mtoa mada kuwa watanzania ni wasahaulifu au hujui kuwa Magafuli alisha apa kuwa akiwa rais wananchi wa taifa hili "watalima kwa mano".

Anaposema wenye akili wameshausoma mchezo maana yake ni kwamba kampeni hii ya kuzima simu ni moja ya utekelezaji wa kiapo cha kuwalimisha watu kwa meno. Yaani inatafuta kila sababu ya kuwahenyesha na kuwayumbisha wananchi.
 
Fingerprints za Leseni na Kura hazipo makini kama hizi za Nida.
Issue sio fingerprints tu bali taarifa zenye uhakika kwamba mtu akikutafuta kwa Nida atakupata bila wasiwasi, yaani watu wanaqeza kuwakamata hata ndugu zako uliowainguza kwenye Nida, yaani hadi mwenyekiti wako wa kijiji anajulikana. Haya nambie kwenye leseni au kwenye kura wanaweza kumfahamu ndugu yangu au mwenyekiti wangu wa kijiji?
Acha ujinga, watu tuna akili.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi kwetu Mbeya lakin kitambulisho nimeandikia Dar na mwenyekiti aliyeko ni wa Dar.hivi unadhani wenyeviti wanawajua wote waliowagongea mihuli?Kama unadhani eti fingerprint ndio inayoweza kumkamatisha mtu basi endelea kujidanganya.Bado kuna watu kibao hawakuweka taarifa zote na sasa wana vitambulisho.Halafu kwa ujinga wa mtu eti anadhani kuhojiwa na wale uhamiaji inaweza kupelekea kujua waamiaji haramu?Si kweli kabisa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwani sasa inafanyikaje kuhusu kuhakiki uraia wa muombaji?
Mbona unacho pendekeza ndicho kinachofanyika toka ulipoanza mchakato wa NIDA mwanzo wa mradi?
Polisi uhamiaji wako everywhere tofauti na NIDA
 
Wewe nawe msahaulifu mkubwa zaidi.
Umesahau wakati wa vitambulisho vya mpiga kura au leseni ya udereva hakukuwa na uhakiki/usahili wa idara ya uhamiaji kujiridhisha uraia wa muombaji.
Umesahau ktk vitambulisho vya kura hakukuwa na uwasilishaji cheti cha kuzaliwa.

Umesahau passport za zamani ilikuwa sio lazima upeleke cheti cha kuzaliwa, kuna waliopeleka affidavit tu ambazo ni rahisi kughushi(forge), unaenda na mtu yeyote mahakamani au kwa mwanasheria unasema alikuwepo nilipozaliwa kisha unalipia stamp duty haifiki mwekundu wa msimbazi mmoja au balimi 5.

Umesahau wakati wa vitambulisho vya wapiga kura haikuwa lazima kutambuliwa nambari ya nyumba au kitalu kwa wakazi wa mijini ambako wageni ni wengi.

#Ujuaji mwingi mbele giza.
#Waacheni wenye wajibu na taaluma zao wafanye kazi zao kitaalamu, sio kila kitu siasa.
Vipi passport ya kusafikiria ambayo inatolewa na uhamiaji leo ukienda kusajilia laini au kununulia laini mpya wanakataa ..


Nipe majibj..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
My Son drink water,
Nia ni kuhakikisha kila mtanzania 18+ ana kitambulisho cha uraia
Kwanini wasipige Kambi kwenye hospitla zote kuhakikisha kila anaezaliwa anapewa kitambulisho chake kwanza Cha taifa ndani ya wiki moja ili tusitengeneze kizazi kingine kitakachokuja kufikia miaka mpaka 18 Hana hata kitambulisho...


Ubaya hii nchi inaemdeshwa Kijinga Sana , kila kitu kinaenda peke yake na shaghala baghala ... Leo tuna passport ambazo ni electronic zikiwa na taarifa zote za mtanzania mpaka finger print lakini ukienda na hiyo document kufungulia account benk unaambiwa uwe na kitambulisho Cha NIDA (Mungu wangu )... Eti wanakwambia nida Ina fingerprint



Daaah

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe nawe msahaulifu mkubwa zaidi.
Umesahau wakati wa vitambulisho vya mpiga kura au leseni ya udereva hakukuwa na uhakiki/usahili wa idara ya uhamiaji kujiridhisha uraia wa muombaji.
Umesahau ktk vitambulisho vya kura hakukuwa na uwasilishaji cheti cha kuzaliwa.

Umesahau passport za zamani ilikuwa sio lazima upeleke cheti cha kuzaliwa, kuna waliopeleka affidavit tu ambazo ni rahisi kughushi(forge), unaenda na mtu yeyote mahakamani au kwa mwanasheria unasema alikuwepo nilipozaliwa kisha unalipia stamp duty haifiki mwekundu wa msimbazi mmoja au balimi 5.

Umesahau wakati wa vitambulisho vya wapiga kura haikuwa lazima kutambuliwa nambari ya nyumba au kitalu kwa wakazi wa mijini ambako wageni ni wengi.

#Ujuaji mwingi mbele giza.
#Waacheni wenye wajibu na taaluma zao wafanye kazi zao kitaalamu, sio kila kitu siasa.

Umepotosha kuwa mtu hakutakiwa kuwasilisha cheti cha kuzaliwa. Hata sasa hivi si kila Mtanzania ana cheti cha kuzaliwa.
 
Unaweza kujiuliza maswali 200,na usipate jibu hata moja juu ya taifa la Tanzania hasa watu wake.

Hivi hawa ni Binadamu kutoka sayari hii ya Dunia au ni viumbe kutoka Planet X?

Binadamu aliyekamilika ni lazima awe na kumbukumbu za kutosha juu ya kila Tukio analopitia.

Tanzania hii hakuna tena anayekumbuka juu ya vitambulisho vya kupigia kura na Driving Licence kuwa vyote vina mfumo wa Biometric (unaohifadhi alama za vidole).

95% ya Watanzania wana vitambulisho vya kupigia kura vyenye mfumo wa Biometric sawa tu na Vitambulisho vya Taifa, lakini leo hii eti hivyo Vitambulisho havitakiwi kusajilia line za simu hadi viwe Vitambulisho vya Taifa.

Eti lengo ni kudhibiti uhalifu, sasa binadamu mmoja ana fingerprints ngapi kama ID za kura ambazo pia zilipatikana kama Vitambulisho vya Taifa kwa njia hiyo hiyo ya alama za vidole leo tena havifai?

Wenye akili wameshasoma mchezo, kuna kitu kinatafutwa hapo, kwa sababu fingerprints tayari watu walishachukuliwa kwenye Vitambulisho vya kura na Driving Licence, sasa kuna haja gani ya kutesa watu kiasi hiki?

Details za kila raia na fingerprints zake zipo Tayari kupitia Vitambulisho vya kura. Taifa lenye mamilioni ya wajinga wamesahau kuwa information zao zilishachukuliwa na fingerprints pia.

Neno la Mungu katika Kitabu cha Mithali linasema "Mwanangu mtafute sana Elimu na wala Usimwache aende zake”.

Poleni Watanzania.

Sent using Jamii Forums mobile app
Asante sana jamani mtanzania mwenzangu
 
Fingerprints za Leseni na Kura hazipo makini kama hizi za Nida.
Issue sio fingerprints tu bali taarifa zenye uhakika kwamba mtu akikutafuta kwa Nida atakupata bila wasiwasi, yaani watu wanaqeza kuwakamata hata ndugu zako uliowainguza kwenye Nida, yaani hadi mwenyekiti wako wa kijiji anajulikana. Haya nambie kwenye leseni au kwenye kura wanaweza kumfahamu ndugu yangu au mwenyekiti wangu wa kijiji?
Acha ujinga, watu tuna akili.

Sent using Jamii Forums mobile app
Yes wanaweza
 
Wewe nawe msahaulifu mkubwa zaidi.
Umesahau wakati wa vitambulisho vya mpiga kura au leseni ya udereva hakukuwa na uhakiki/usahili wa idara ya uhamiaji kujiridhisha uraia wa muombaji.
Umesahau ktk vitambulisho vya kura hakukuwa na uwasilishaji cheti cha kuzaliwa.

Umesahau passport za zamani ilikuwa sio lazima upeleke cheti cha kuzaliwa, kuna waliopeleka affidavit tu ambazo ni rahisi kughushi(forge), unaenda na mtu yeyote mahakamani au kwa mwanasheria unasema alikuwepo nilipozaliwa kisha unalipia stamp duty haifiki mwekundu wa msimbazi mmoja au balimi 5.

Umesahau wakati wa vitambulisho vya wapiga kura haikuwa lazima kutambuliwa nambari ya nyumba au kitalu kwa wakazi wa mijini ambako wageni ni wengi.

#Ujuaji mwingi mbele giza.
#Waacheni wenye wajibu na taaluma zao wafanye kazi zao kitaalamu, sio kila kitu siasa.

Mkuu pamoja na ukweli uliosema, makazi iwe mjini au kijijini sio taarifa ya kudumu. Umemuelewa vizuri sana mchangiaji - alichomaanisha sio kuwa vitambulisho hivo ni mbadala kitambulisho cha taifa bali ni kitambulisho halali kwa sababu ya kukidhi vigezo muhimu. Sijui kama itafikia wakati tuseme ili uwe na DL lazima uwe na kitambulisho cha taifa.

Mleta mada anazungumzia mifumo inayoshirikiana. Si sawa kuzuia anayetafuta hati ya kusafiria sawa na unavomzuia anayetaka kusajili namba ya simu huku akiwa na DL au voter ID ambavyo vyote vina biometric requirements.

Habari ya mambo madogo kuna na complex solutions!!
 
Wewe nawe msahaulifu mkubwa zaidi.
Umesahau wakati wa vitambulisho vya mpiga kura au leseni ya udereva hakukuwa na uhakiki/usahili wa idara ya uhamiaji kujiridhisha uraia wa muombaji.
Umesahau ktk vitambulisho vya kura hakukuwa na uwasilishaji cheti cha kuzaliwa.

Umesahau passport za zamani ilikuwa sio lazima upeleke cheti cha kuzaliwa, kuna waliopeleka affidavit tu ambazo ni rahisi kughushi(forge), unaenda na mtu yeyote mahakamani au kwa mwanasheria unasema alikuwepo nilipozaliwa kisha unalipia stamp duty haifiki mwekundu wa msimbazi mmoja au balimi 5.

Umesahau wakati wa vitambulisho vya wapiga kura haikuwa lazima kutambuliwa nambari ya nyumba au kitalu kwa wakazi wa mijini ambako wageni ni wengi.

#Ujuaji mwingi mbele giza.
#Waacheni wenye wajibu na taaluma zao wafanye kazi zao kitaalamu, sio kila kitu siasa.
Wewe nawe hakuna ulichokiandika hapa ila ni kuthibitisha "maajabu" ya watanzania kama mtoa mada anavyopata tabu kutuelewa.

Unaposema kitambulisho cha mpiga kura hakikuhusisha uhakiki wa uraia maana yake ni sawa na kusem "anayestahili kupiga kura si lazima awe raia bali ni mtu yeyote anayejiandikisha". Je, katiba ndo inaelekeza hivyo? Je, kushindwa kufanya ukakiki wa uraia wa mpiga kura sio uzembe?

Je kutoa hati za kusafiria (passport) bila uhakiki wa raia sio maajabu? Au unataka kutuambia hakuna mtu asiye raia wa Tanzania mwenyekuweza kumiliki kitambulisho cha NIDA?

Aliyetoa mada hii ana akili kubwa kuliko zako.
 
Hivi idara ya uhamiaji wana hakiki au wana gonga muhuri tu. Hivi wana nyenzo gani wanatumia kutambua huyu ni mtanzania au siyo?

Kuhusu affidavity hata sasa zinatumika. By the way ni nyumba ngapi zina namba? 90% ya wakazi wa dar wanahama hama kila siku, hivi mtu anapo hama taarifa zake za makazi huko NIDA pia zinabadilika?

Mtoa mada yuko sahihi, serikali haijajipanga na inatumia resources vibaya. Information must be captured and stored once...
Akili hizi ni chache siku hizi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe nawe msahaulifu mkubwa zaidi.
Umesahau wakati wa vitambulisho vya mpiga kura au leseni ya udereva hakukuwa na uhakiki/usahili wa idara ya uhamiaji kujiridhisha uraia wa muombaji.
Umesahau ktk vitambulisho vya kura hakukuwa na uwasilishaji cheti cha kuzaliwa.

Umesahau passport za zamani ilikuwa sio lazima upeleke cheti cha kuzaliwa, kuna waliopeleka affidavit tu ambazo ni rahisi kughushi(forge), unaenda na mtu yeyote mahakamani au kwa mwanasheria unasema alikuwepo nilipozaliwa kisha unalipia stamp duty haifiki mwekundu wa msimbazi mmoja au balimi 5.

Umesahau wakati wa vitambulisho vya wapiga kura haikuwa lazima kutambuliwa nambari ya nyumba au kitalu kwa wakazi wa mijini ambako wageni ni wengi.

#Ujuaji mwingi mbele giza.
#Waacheni wenye wajibu na taaluma zao wafanye kazi zao kitaalamu, sio kila kitu siasa.
Naona katumia hisia kuliko uhalisia.
 
Unaweza kujiuliza maswali 200,na usipate jibu hata moja juu ya taifa la Tanzania hasa watu wake.

Hivi hawa ni Binadamu kutoka sayari hii ya Dunia au ni viumbe kutoka Planet X?

Binadamu aliyekamilika ni lazima awe na kumbukumbu za kutosha juu ya kila Tukio analopitia.

Tanzania hii hakuna tena anayekumbuka juu ya vitambulisho vya kupigia kura na Driving Licence kuwa vyote vina mfumo wa Biometric (unaohifadhi alama za vidole).

95% ya Watanzania wana vitambulisho vya kupigia kura vyenye mfumo wa Biometric sawa tu na Vitambulisho vya Taifa, lakini leo hii eti hivyo Vitambulisho havitakiwi kusajilia line za simu hadi viwe Vitambulisho vya Taifa.

Eti lengo ni kudhibiti uhalifu, sasa binadamu mmoja ana fingerprints ngapi kama ID za kura ambazo pia zilipatikana kama Vitambulisho vya Taifa kwa njia hiyo hiyo ya alama za vidole leo tena havifai?

Wenye akili wameshasoma mchezo, kuna kitu kinatafutwa hapo, kwa sababu fingerprints tayari watu walishachukuliwa kwenye Vitambulisho vya kura na Driving Licence, sasa kuna haja gani ya kutesa watu kiasi hiki?

Details za kila raia na fingerprints zake zipo Tayari kupitia Vitambulisho vya kura. Taifa lenye mamilioni ya wajinga wamesahau kuwa information zao zilishachukuliwa na fingerprints pia.

Neno la Mungu katika Kitabu cha Mithali linasema "Mwanangu mtafute sana Elimu na wala Usimwache aende zake”.

Poleni Watanzania.

Sent using Jamii Forums mobile app
Nchi zingine ukiweza kumiliki passport unaitumia kama kitambulisho lakini kwa Tanzania eti kitambulisho cha Taifa ni bora hata kuliko leseni ambayo ina Tin number ndani yake, tena Leseni ni kitambulisho bora zaidi ya hicho cha Taifa lakini haitumiki sasa kusajili line, kwa sasa kitambulisho cha kupigia kura, passport, leseni ni kama vitambulisho feki havithaminiwi tena, kwani haviwezi kusajili line nchini Tanzania ni Aibu kubwa wakati Nchi zingine wanavitumia na kama vitambulisho sahihi lakini kwa Tanzania kitambulisho cha kura kinadharauliwa wakati ndicho kilitumika kuwaingiza ccm ikulu. Wapiga kura wote walitumia hivyo vitambulisho kupigia kura na kama ni feki ina maana uchaguzi urudiwe upya kwani wapiga kura ni feki.
 
Back
Top Bottom