Ni wapi nimeandika mradi id za NIDA umeanzishwa na Magufuli au mihemko yako?So far hata kama ulianzishwa na jk kwa sasa utekelezwaji ni mbovu.Hvi unajua sheria zinazobana watumiaji wa simu kujisajiri zimetaja vitambulisho vingi lakin serkali imekomaa na Nida wakifikiri watawabana wanaoikosoa serkali.Haya matumizi mabaya ya madaraka na rasilimali za nchi.Umeona jina la JPM umeweuka umeacha kusoma kilichoandikwa unakurupuka tuJitafakari ulicho andika!!
Kitambulisho cha NIDA ni mradi ulioanza kabla ya Magufuli kuwa raisi wa JMTZ.
Wala yeye sie alie agiza au kuidhinisha mradi huo.
Wewe unathibitisha kile kilichosemwa na mtoa mada kuwa watanzania ni wasahaulifu au hujui kuwa Magafuli alisha apa kuwa akiwa rais wananchi wa taifa hili "watalima kwa mano".Umeandika kwenye mada yako;
''Wenye akili wameshasoma mchezo, kuna kitu kinatafutwa hapo, kwa sababu fingerprints Tayari watu walishachukuliwa kwenye Vitambulisho vya kura na Driving Licence,sasa kuna haja gani ya kutesa watu kiasi hiki?''.
Ni kitu gani kinachotafutwa? Naomba unielimishe!
Nimekuomba unielimishe kwa sababu kwa sasa hapa Jamiiforums kumejitokeza baadhi ya wanachama ambao wanadhani hisia zao ndio ukweli lakini kibaya zaidi wanataka kuwalazimisha na watu wengine kwa hoja za nguvu waamini hisia zao!
Mimi kwetu Mbeya lakin kitambulisho nimeandikia Dar na mwenyekiti aliyeko ni wa Dar.hivi unadhani wenyeviti wanawajua wote waliowagongea mihuli?Kama unadhani eti fingerprint ndio inayoweza kumkamatisha mtu basi endelea kujidanganya.Bado kuna watu kibao hawakuweka taarifa zote na sasa wana vitambulisho.Halafu kwa ujinga wa mtu eti anadhani kuhojiwa na wale uhamiaji inaweza kupelekea kujua waamiaji haramu?Si kweli kabisa.Fingerprints za Leseni na Kura hazipo makini kama hizi za Nida.
Issue sio fingerprints tu bali taarifa zenye uhakika kwamba mtu akikutafuta kwa Nida atakupata bila wasiwasi, yaani watu wanaqeza kuwakamata hata ndugu zako uliowainguza kwenye Nida, yaani hadi mwenyekiti wako wa kijiji anajulikana. Haya nambie kwenye leseni au kwenye kura wanaweza kumfahamu ndugu yangu au mwenyekiti wangu wa kijiji?
Acha ujinga, watu tuna akili.
Sent using Jamii Forums mobile app
Polisi uhamiaji wako everywhere tofauti na NIDAKwani sasa inafanyikaje kuhusu kuhakiki uraia wa muombaji?
Mbona unacho pendekeza ndicho kinachofanyika toka ulipoanza mchakato wa NIDA mwanzo wa mradi?
Vipi passport ya kusafikiria ambayo inatolewa na uhamiaji leo ukienda kusajilia laini au kununulia laini mpya wanakataa ..Wewe nawe msahaulifu mkubwa zaidi.
Umesahau wakati wa vitambulisho vya mpiga kura au leseni ya udereva hakukuwa na uhakiki/usahili wa idara ya uhamiaji kujiridhisha uraia wa muombaji.
Umesahau ktk vitambulisho vya kura hakukuwa na uwasilishaji cheti cha kuzaliwa.
Umesahau passport za zamani ilikuwa sio lazima upeleke cheti cha kuzaliwa, kuna waliopeleka affidavit tu ambazo ni rahisi kughushi(forge), unaenda na mtu yeyote mahakamani au kwa mwanasheria unasema alikuwepo nilipozaliwa kisha unalipia stamp duty haifiki mwekundu wa msimbazi mmoja au balimi 5.
Umesahau wakati wa vitambulisho vya wapiga kura haikuwa lazima kutambuliwa nambari ya nyumba au kitalu kwa wakazi wa mijini ambako wageni ni wengi.
#Ujuaji mwingi mbele giza.
#Waacheni wenye wajibu na taaluma zao wafanye kazi zao kitaalamu, sio kila kitu siasa.
Kwanini wasipige Kambi kwenye hospitla zote kuhakikisha kila anaezaliwa anapewa kitambulisho chake kwanza Cha taifa ndani ya wiki moja ili tusitengeneze kizazi kingine kitakachokuja kufikia miaka mpaka 18 Hana hata kitambulisho...My Son drink water,
Nia ni kuhakikisha kila mtanzania 18+ ana kitambulisho cha uraia
Wewe nawe msahaulifu mkubwa zaidi.
Umesahau wakati wa vitambulisho vya mpiga kura au leseni ya udereva hakukuwa na uhakiki/usahili wa idara ya uhamiaji kujiridhisha uraia wa muombaji.
Umesahau ktk vitambulisho vya kura hakukuwa na uwasilishaji cheti cha kuzaliwa.
Umesahau passport za zamani ilikuwa sio lazima upeleke cheti cha kuzaliwa, kuna waliopeleka affidavit tu ambazo ni rahisi kughushi(forge), unaenda na mtu yeyote mahakamani au kwa mwanasheria unasema alikuwepo nilipozaliwa kisha unalipia stamp duty haifiki mwekundu wa msimbazi mmoja au balimi 5.
Umesahau wakati wa vitambulisho vya wapiga kura haikuwa lazima kutambuliwa nambari ya nyumba au kitalu kwa wakazi wa mijini ambako wageni ni wengi.
#Ujuaji mwingi mbele giza.
#Waacheni wenye wajibu na taaluma zao wafanye kazi zao kitaalamu, sio kila kitu siasa.
Fingerprints zinabadilika na muda hivyo update muihimu😱
Huko kulitokea nin mkuu?Kama walivyozinduka jana kwenye mnada wa Dakawa Morogoro na kuonyesha hisia zao dhidi ya watesi wao.
Yes kwa sheria za mawasiliano maana zinafingerprintkama hoja ni usahili wa idara ya uhamiaji,je passport zinaruhusiwa kutumika kwenye usajiri wa laini?
Asante sana jamani mtanzania mwenzanguUnaweza kujiuliza maswali 200,na usipate jibu hata moja juu ya taifa la Tanzania hasa watu wake.
Hivi hawa ni Binadamu kutoka sayari hii ya Dunia au ni viumbe kutoka Planet X?
Binadamu aliyekamilika ni lazima awe na kumbukumbu za kutosha juu ya kila Tukio analopitia.
Tanzania hii hakuna tena anayekumbuka juu ya vitambulisho vya kupigia kura na Driving Licence kuwa vyote vina mfumo wa Biometric (unaohifadhi alama za vidole).
95% ya Watanzania wana vitambulisho vya kupigia kura vyenye mfumo wa Biometric sawa tu na Vitambulisho vya Taifa, lakini leo hii eti hivyo Vitambulisho havitakiwi kusajilia line za simu hadi viwe Vitambulisho vya Taifa.
Eti lengo ni kudhibiti uhalifu, sasa binadamu mmoja ana fingerprints ngapi kama ID za kura ambazo pia zilipatikana kama Vitambulisho vya Taifa kwa njia hiyo hiyo ya alama za vidole leo tena havifai?
Wenye akili wameshasoma mchezo, kuna kitu kinatafutwa hapo, kwa sababu fingerprints tayari watu walishachukuliwa kwenye Vitambulisho vya kura na Driving Licence, sasa kuna haja gani ya kutesa watu kiasi hiki?
Details za kila raia na fingerprints zake zipo Tayari kupitia Vitambulisho vya kura. Taifa lenye mamilioni ya wajinga wamesahau kuwa information zao zilishachukuliwa na fingerprints pia.
Neno la Mungu katika Kitabu cha Mithali linasema "Mwanangu mtafute sana Elimu na wala Usimwache aende zake”.
Poleni Watanzania.
Sent using Jamii Forums mobile app
Yes wanawezaFingerprints za Leseni na Kura hazipo makini kama hizi za Nida.
Issue sio fingerprints tu bali taarifa zenye uhakika kwamba mtu akikutafuta kwa Nida atakupata bila wasiwasi, yaani watu wanaqeza kuwakamata hata ndugu zako uliowainguza kwenye Nida, yaani hadi mwenyekiti wako wa kijiji anajulikana. Haya nambie kwenye leseni au kwenye kura wanaweza kumfahamu ndugu yangu au mwenyekiti wangu wa kijiji?
Acha ujinga, watu tuna akili.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nchi ya majuha hii jamaa yupo sahihi kabisa, punguzeni uccm jadilini madaHuyu jamaa ana mihemko ya kisiasa kiasi kwamba anaropoka mambo mengi sana hasiyo yajua.
Hoja gani? Ya kwanini Chadema chama kinachowaahidi Watanzania kuwaletea maisha bora wakati chenyewe kimeshindwa kujenga hata Ofisi Kuu ya chama?
Wewe nawe msahaulifu mkubwa zaidi.
Umesahau wakati wa vitambulisho vya mpiga kura au leseni ya udereva hakukuwa na uhakiki/usahili wa idara ya uhamiaji kujiridhisha uraia wa muombaji.
Umesahau ktk vitambulisho vya kura hakukuwa na uwasilishaji cheti cha kuzaliwa.
Umesahau passport za zamani ilikuwa sio lazima upeleke cheti cha kuzaliwa, kuna waliopeleka affidavit tu ambazo ni rahisi kughushi(forge), unaenda na mtu yeyote mahakamani au kwa mwanasheria unasema alikuwepo nilipozaliwa kisha unalipia stamp duty haifiki mwekundu wa msimbazi mmoja au balimi 5.
Umesahau wakati wa vitambulisho vya wapiga kura haikuwa lazima kutambuliwa nambari ya nyumba au kitalu kwa wakazi wa mijini ambako wageni ni wengi.
#Ujuaji mwingi mbele giza.
#Waacheni wenye wajibu na taaluma zao wafanye kazi zao kitaalamu, sio kila kitu siasa.
Wewe nawe hakuna ulichokiandika hapa ila ni kuthibitisha "maajabu" ya watanzania kama mtoa mada anavyopata tabu kutuelewa.Wewe nawe msahaulifu mkubwa zaidi.
Umesahau wakati wa vitambulisho vya mpiga kura au leseni ya udereva hakukuwa na uhakiki/usahili wa idara ya uhamiaji kujiridhisha uraia wa muombaji.
Umesahau ktk vitambulisho vya kura hakukuwa na uwasilishaji cheti cha kuzaliwa.
Umesahau passport za zamani ilikuwa sio lazima upeleke cheti cha kuzaliwa, kuna waliopeleka affidavit tu ambazo ni rahisi kughushi(forge), unaenda na mtu yeyote mahakamani au kwa mwanasheria unasema alikuwepo nilipozaliwa kisha unalipia stamp duty haifiki mwekundu wa msimbazi mmoja au balimi 5.
Umesahau wakati wa vitambulisho vya wapiga kura haikuwa lazima kutambuliwa nambari ya nyumba au kitalu kwa wakazi wa mijini ambako wageni ni wengi.
#Ujuaji mwingi mbele giza.
#Waacheni wenye wajibu na taaluma zao wafanye kazi zao kitaalamu, sio kila kitu siasa.
Akili hizi ni chache siku hiziHivi idara ya uhamiaji wana hakiki au wana gonga muhuri tu. Hivi wana nyenzo gani wanatumia kutambua huyu ni mtanzania au siyo?
Kuhusu affidavity hata sasa zinatumika. By the way ni nyumba ngapi zina namba? 90% ya wakazi wa dar wanahama hama kila siku, hivi mtu anapo hama taarifa zake za makazi huko NIDA pia zinabadilika?
Mtoa mada yuko sahihi, serikali haijajipanga na inatumia resources vibaya. Information must be captured and stored once...
Naona katumia hisia kuliko uhalisia.Wewe nawe msahaulifu mkubwa zaidi.
Umesahau wakati wa vitambulisho vya mpiga kura au leseni ya udereva hakukuwa na uhakiki/usahili wa idara ya uhamiaji kujiridhisha uraia wa muombaji.
Umesahau ktk vitambulisho vya kura hakukuwa na uwasilishaji cheti cha kuzaliwa.
Umesahau passport za zamani ilikuwa sio lazima upeleke cheti cha kuzaliwa, kuna waliopeleka affidavit tu ambazo ni rahisi kughushi(forge), unaenda na mtu yeyote mahakamani au kwa mwanasheria unasema alikuwepo nilipozaliwa kisha unalipia stamp duty haifiki mwekundu wa msimbazi mmoja au balimi 5.
Umesahau wakati wa vitambulisho vya wapiga kura haikuwa lazima kutambuliwa nambari ya nyumba au kitalu kwa wakazi wa mijini ambako wageni ni wengi.
#Ujuaji mwingi mbele giza.
#Waacheni wenye wajibu na taaluma zao wafanye kazi zao kitaalamu, sio kila kitu siasa.
Nchi zingine ukiweza kumiliki passport unaitumia kama kitambulisho lakini kwa Tanzania eti kitambulisho cha Taifa ni bora hata kuliko leseni ambayo ina Tin number ndani yake, tena Leseni ni kitambulisho bora zaidi ya hicho cha Taifa lakini haitumiki sasa kusajili line, kwa sasa kitambulisho cha kupigia kura, passport, leseni ni kama vitambulisho feki havithaminiwi tena, kwani haviwezi kusajili line nchini Tanzania ni Aibu kubwa wakati Nchi zingine wanavitumia na kama vitambulisho sahihi lakini kwa Tanzania kitambulisho cha kura kinadharauliwa wakati ndicho kilitumika kuwaingiza ccm ikulu. Wapiga kura wote walitumia hivyo vitambulisho kupigia kura na kama ni feki ina maana uchaguzi urudiwe upya kwani wapiga kura ni feki.Unaweza kujiuliza maswali 200,na usipate jibu hata moja juu ya taifa la Tanzania hasa watu wake.
Hivi hawa ni Binadamu kutoka sayari hii ya Dunia au ni viumbe kutoka Planet X?
Binadamu aliyekamilika ni lazima awe na kumbukumbu za kutosha juu ya kila Tukio analopitia.
Tanzania hii hakuna tena anayekumbuka juu ya vitambulisho vya kupigia kura na Driving Licence kuwa vyote vina mfumo wa Biometric (unaohifadhi alama za vidole).
95% ya Watanzania wana vitambulisho vya kupigia kura vyenye mfumo wa Biometric sawa tu na Vitambulisho vya Taifa, lakini leo hii eti hivyo Vitambulisho havitakiwi kusajilia line za simu hadi viwe Vitambulisho vya Taifa.
Eti lengo ni kudhibiti uhalifu, sasa binadamu mmoja ana fingerprints ngapi kama ID za kura ambazo pia zilipatikana kama Vitambulisho vya Taifa kwa njia hiyo hiyo ya alama za vidole leo tena havifai?
Wenye akili wameshasoma mchezo, kuna kitu kinatafutwa hapo, kwa sababu fingerprints tayari watu walishachukuliwa kwenye Vitambulisho vya kura na Driving Licence, sasa kuna haja gani ya kutesa watu kiasi hiki?
Details za kila raia na fingerprints zake zipo Tayari kupitia Vitambulisho vya kura. Taifa lenye mamilioni ya wajinga wamesahau kuwa information zao zilishachukuliwa na fingerprints pia.
Neno la Mungu katika Kitabu cha Mithali linasema "Mwanangu mtafute sana Elimu na wala Usimwache aende zake”.
Poleni Watanzania.
Sent using Jamii Forums mobile app