Namanage Account za Forex

Out of this shit bse you shit yourself infront of traders. Big boys kama bankers wenyewe wanatumia indicators kama moving average halafu unatokea pimbi mweupe hapa unaongea ujuha.

Papasi mwekundu wee
Huna hadhi ya kubishana na Mimi wewe takataka.

Kafie mtaroni.

Shwaini.
 
Huwa nawaacha tu pimbi kama hao. Professional traders wengi hata kama anatumia price action kwa kiasi kikubwa bado huwa wanaindicator za kuwasidia ku-confirm hiyo price action. Not complicated indicators, they use mostly moving averages. That's all.
Indicators Zina lag.

Msiwe mnakaza fuvu sawa vijana.

Unapasaa utumie indicators zilizopo kwenye bichwa lako sawa bwana mdogo.

Huo ubongo wako ulioza na na hayo macho Yako kuwe na connection upate indicators asilia.

Sawa mlugaluga.
 
Indicators Zina lag.

Msiwe mnakaza fuvu sawa vijana.

Unapasaa utumie indicators zilizopo kwenye bichwa lako sawa bwana mdogo.

Huo ubongo wako ulioza na na hayo macho Yako kuwe na connection upate indicators asilia.

Sawa mlugaluga.
Naijua vizuri sana price action pengine kuliko wewe unavyoijua.
 
Kwa mentality yako mleta mada nakushauri jiunge FREEMASON tu, achana na FOREX utakufa mapema
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Sawa mkuu
Bado tuna siku nyingi kuumaliza huu mwaka, keep going utatoboa tu japo msoto wa forex sio poa usikie kwa mwenzako tu usiombe ukupitie utajuta kuijua forex

MINDSET/PSYCHOLOGY IS EVERYTHING IN TRADING
 
Bado tuna siku nyingi kuumaliza huu mwaka, keep going utatoboa tu japo msoto wa forex sio poa usikie kwa mwenzako tu usiombe ukupitie utajuta kuijua forex

MINDSET/PSYCHOLOGY IS EVERYTHING IN TRADING
Haaa ila we jamaa ndo zero kabisa...embu nipe concept ambayo unadhani unaijua siijui...maana wabongo kwa kujifanyaga maexpert hamjambo
 
Ongeza maarifa kidogo.
 

Attachments

  • IMG-20220817-WA0040.jpg
    32.9 KB · Views: 9
Kwann unahitaj investors wakat unawez trade

Na then umedai ata account ndogo unaweza
 
Hujui usemalo kijana.
Pole sana, trade pesa yako na sio ya mtu kama unajipenda.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…