Namna ambavyo bila kujua unatumia kipato chako kuwalipa wengine bila ya kujilipa wewe kwanza

Kwa fikra inaonekana ni rahisi lakini uhalisia ni tofauti mshahara unaisha kabla ya kuupokea.
 
Kwa fikra inaonekana ni rahisi lakini uhalisia ni tofauti mshahara unaisha kabla ya kuupokea.
Hakuna mafanikio rahisi mkuu.

Ukisema ni ngumu,ni ngumu,ni ngumu na siku zinaenda pia
 
Ndo matatizo ya kusoma Sana Ayo mavitabu yenu.

Matuletea vitu tofauti na uhalisia wa maisha yetu mtaani.
 
alafu ukimpa scenario kama iyo ya laki mbili ambao ni uhalisia bado anangangania theories zake
Kama unashindwa kusave hata 2000 tsh kwenye laki mbili basi unahitaji maombi.

Akiba ni chochote unachosave sio lazima iwe 10%.

Unaweza kuamua kusave hata 2.5% ya laki mbili na bado hyo inakuwa yako.
 
"Kiasi hiki hautakiwi kukigusa kwa lolote litakalotokea,badala yake zile 90% zilizobaki ndio utumie kwa mambo unayoyaona hayaepukiki".

Kwa hiyo kumlipa Landlord, mangi dukani na konda wa daladala ni mambo yanayoepukika? Watu wasevu hela bila kujiumiza.
 
Mkuu hapo kwenye madeni umeeleza vyema sana. Hii comment yako iwekwe kwenye rasimu ya Warioba.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…