Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 28,297
- 68,017
- Thread starter
-
- #61
Ila ukasema wanatumia mafundisho ya kiyahudi kutekeleza mauaji si ndio ?
Uyahudi pale unapigana dhidi ya dini gani ?
Sheria za vita kumbe ni mafundi ya torati toka lini imekuwa hivyo ?
safi saanaHiyo ni amri sio ombi
Sheria za vita kumbe ni mafundisho ya torati toka lini imekuwa hivyo ?
Mafundisho umeelewa ?Mafundi gani?
Mafundisho ya torati ndio yanaongoza Israel ?Huwezi tenganisha Torati na utawala wa kiyahudi.
Torati ni amri za Muda(mtawala) sio amri za dini.
Mafundisho umeelewa ?
Mafundisho ya torati ndio yanaongoza Israel ?
Sio muisrael si ndio ?Elewa hapo unamzungumzia Myahudi.
Sio muisrael si ndio ?
Hii ni kwa mujibu wako ?Torati sio mafundisho. Ni amri za mungu wa wayahudi aitwaye Yahweh!
Mafundisho ni yale yanayotoka kwa binadamu yanayofafanua Torati au amri au viumbe au maajabu ya Mungu
Ambao wapo waiislam, wakristo na wasio na dini si ndio ?Ndio huyohuyo.
Wew ni choko kabisa
Hii ni kwa mujibu wako ?
Andiko zuri sana hili, vipi binti Kimosso anasemaje katika hilo?
Jifunze mgogoro huo ilianza lini, makubaliano mangapi yametiwa saini kati ya Palestine na Israel.
Jifunze Israel kukalia Palestine kwa mabavu.
Ndio uje na mambo ya ugaidi.
Ambao wapo waiislam, wakristo na wasio na dini si ndio ?
Hii ni kwa mujibu wako wewe ?Torati sio Mafundisho, ni amri na sheria za Yahweh
Wale waliouwawa kwenye tamasha walikuwa na hatia si ndio?Watu wasio na hatia si ndio ?
Sheria za vita zipoje ?
Israel yupo na vita na Palestine toka lini ?