Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 28,297
- 68,017
- Thread starter
- #61
Ila ukasema wanatumia mafundisho ya kiyahudi kutekeleza mauaji si ndio ?
Uyahudi pale unapigana dhidi ya dini gani ?
Huwezi tenganisha Torati na utawala wa kiyahudi.
Torati ni amri za Muda(mtawala) sio amri za dini.