Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 28,297
- 68,017
- Thread starter
-
- #81
Jifunze mgogoro huo ilianza lini, makubaliano mangapi yametiwa saini kati ya Palestine na Israel.
Jifunze Israel kukalia Palestine kwa mabavu.
Ndio uje na mambo ya ugaidi.
Hii ni kwa mujibu wako wewe ?
Kaka una kichwa kizito Sana sorry.Ila ukasema wanatumia mafundisho ya kiyahudi kutekeleza mauaji si ndio ?
Uyahudi pale unapigana dhidi ya dini gani ?
Tamasha gani ?Wale waliouwawa kwenye tamasha walikuwa na hatia si ndio?
Niambie wewe unayejua ? NasubiriUnajua maana ya mafundisho?
Wewe chako chepesi ?Kaka una kichwa kizito Sana sorry.
La kizi mkaziTamasha gani ?
Wew ni mpumbavu sana na usichokijua mie sio muislamu, tatizo mnapenda kukurupukia watu kwa kuongozwa na hisia, wew kweli ni bichwa jiwe kabisa si ajabu ulitanguliza miguu kipindi unazaliwa.Hivi ndivyo huwa mnafundishwa misikitini jinsi ya kujibu hoja?
Kwa nini baba yako na mama yako wakiwa chumbani unakaa mlangoni kusikiliza vya wakubwa wako ?La kizi mkazi
Wew ni mpumbavu sana na usichokijua mie sio muislamu, tatizo mnapenda kukurupukia watu kwa kuongozwa na hisia, wew kweli ni bichwa jiwe kabisa si ajabu ulitanguliza miguu kipindi unazaliwa.
Kuugulia moyoni nayo ni tiba.Wewe chako chepesi ?
Ila ni nini ?
View attachment 2795857
Unataka kuwa mke mdogo na wewe upate hayo mahaba ?Kuugulia moyoni nayo ni tiba.
Unamaaba yakijinga.
Robert=babaKwa nini baba yako na mama yako wakiwa chumbani unakaa mlangoni kusikiliza vya wakubwa wako ?
Niwe mke mwenzio?Unataka kuwa mke mdogo na wewe upate hayo mahaba ?
Mkuu ijapokua sikuchangii bando napia Sina cha kukupangia humu, Ila nipende kusema huyo jamaa ni bichwa panzi, anakupotezea mda tu.Hata wewe unaweza kuwa muisrael ikiwa Mama yako ni muisrael hata kama unaabudu mizimu ya Kolelo
Ulisema torati sio mafundisho au sio wewe ?Torati, sheria, amri, agizo, ndio visawe vinavyorejelea maana moja inayofanana.
Fundisho linaweza kutokea kwenye sheria au amri au agizo.
Jinsi ya kufuata sheria au amri na hukumu ndio huwa mafundisho.
Matokeo ya kuvunja au kushika sheria ndio huweza kuzalisha mafundisho.
Mdogo au mchepuko chagua. Nasubiri jibuNiwe mke
Hata Mimi nimeona jamaa anaboga juu ya shingo sio kichwa.Mkuu ijapokua sikuchangii bando napia Sina cha kukupangia humu, Ila nipende kusema huyo jamaa ni bichwa panzi, anakupotezea mda tu.