Namna ya kukabiliana na magaidi ni kutumia mbinu wanazotumia magaidi

Hivi ndivyo huwa mnafundishwa misikitini jinsi ya kujibu hoja?
Wew ni mpumbavu sana na usichokijua mie sio muislamu, tatizo mnapenda kukurupukia watu kwa kuongozwa na hisia, wew kweli ni bichwa jiwe kabisa si ajabu ulitanguliza miguu kipindi unazaliwa.
 
Wew ni mpumbavu sana na usichokijua mie sio muislamu, tatizo mnapenda kukurupukia watu kwa kuongozwa na hisia, wew kweli ni bichwa jiwe kabisa si ajabu ulitanguliza miguu kipindi unazaliwa.

Mbona mihemuko.
 
Ulisema torati sio mafundisho au sio wewe ?

Turudi mwanzo. Kwa hiyo Israel inaongozwa kwa mafundisho ya Torati ?
 
Mkuu ijapokua sikuchangii bando napia Sina cha kukupangia humu, Ila nipende kusema huyo jamaa ni bichwa panzi, anakupotezea mda tu.
Hata Mimi nimeona jamaa anaboga juu ya shingo sio kichwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…