Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
To yeye cocastic Nakadori Bantu LadyKuna mfanyabiashara mmoja nilikuwa natazama bidhaa zake Kwa watsap status ...mara akani block...aliamua Ku block wote ambao hatujawahi nunua hizo bidhaa...
Nimewahi sikia inawezekana kutazama Watsap status bila kuonekana....na Vile vile inawezekana nikaendelea kutazama status hata kama kani block.....any help?...
Wakublock uone status.... Sijui ngoja nami nijifunze
Ama badili Kwa namba nyingnBasi kazi sio nyepesi ...kuna mtu aliwahi ni block nikabadili simu nikaona namuona Watsap status
Sina uhakika mkuu, ila huwa wanatumia hizi 3rd party apps kama Gbwhatsapp, OGwhatsapp etcCc Chief-Mkwawa ....kweli?
Kuna vingi sanaaa hakuna cha ajabu hapoHahaha nimecheka kishenzi kumbe kuna hadi anti-view once[emoji23] wazipije bun tu
We utakuwa umeblokiwa na wife ama mchepuko sio bureAnaposti bidhaa tofauti...nataka kuendelea kutazama kuna siku ataposti ntakachopenda ninunue
😎aweeeee me siwezi chache hivyo....Watoto wema wa officials
Tuna privacy chacheeeView attachment 2466574
Kama kweli vilee..Mimi peke yangu ndiyo nimekuelewa kaka sasa fanya hivi huyo demu achana nae atakuumiza ndugu yangu
Ubaya ubayani hioKuna kaka mmoja amenitaka nikakataa akani block
Utelezi atafute wenye mafua Sina makamasi mieYes
Sasa aendelee kukukeep wa nini na mtu alikuja kwa ajili ya utelezi 😂😂
Mimi last seen, ndio utawala. Naacha aone yeyote.Yan wewe unanyimia watu kuona last seen why?
Na unawaachia waone profile?
Me last seen
Profile
About
Only my contacts.
Sasa mtu sijakusave uone profile langu la nini? Hao nawanyima access
Vipi wewe ukificha status view yako na ukaenda kwenye status ya mwingine je yeye atakuona wewe kuwa umeview status yake ebu jaribu hioKuna mfanyabiashara mmoja nilikuwa natazama bidhaa zake Kwa watsap status ...mara akani block...aliamua Ku block wote ambao hatujawahi nunua hizo bidhaa...
Nimewahi sikia inawezekana kutazama Watsap status bila kuonekana....na Vile vile inawezekana nikaendelea kutazama status hata kama kani block.....any help?...
Basi imekula kwako Yakhe,ndo hutoona tena.let it go na move on.Sema nini umeumia sana hadi kuja kutafuta solution jamvini.Ni dalali wa warembo hahaha natazama pisikali na sinunui..
Na mimi ningekuwa na gut kama hizo ingekuwa poa sana. Ukizingua block.Kuna kaka mmoja amenitaka nikakataa akani block