Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu yaani ninusurike kushambuliwa na koboko halafu nikishapata ngozi yake waje wazee wa PGO waseme ni nyara ya Jamuhuri waitaifishe halafu tuanze mchakato wa mashitaka....hapana aiseeHutaki utajiri mkuu!
Huko lumbe, kaliua Tabora watu wanafuga koboko kama paka au mbwa!
Hapo sasa nimekupata mkuuUsiniquote vibaya mkuu mi nimeleta fursa jukwaani anayehitaji afatilie vibali cjasema mimi ndio mnunuzi wa hizo ngozi! Ila yupo mnunuzi ni mtailand!
hadi kanunguyeye ni government trophy, adhabu yake ni 20 years au ulipe three times the value. Nungu yeye thamani yake ni 100USD.
Mwaka 2015 nilikuwa na dili la miba ya karunguyeye nilipewa na mtailand mmoja nikafatilia vibali issue ikaja kuwapata hao nguyeye acha kabisa mkuu!
Zinahitajika ngozi za nyoka wafuatao;
1- kifutu 55'' to 61'' shs 380,000/= kwa ngozi
2- sawaka 155'' to 655'' shs 200,000/= kwa ngozi
3-nyoka wa kijani(boomslang) 100'' to 155'' shs 400,000/= kwa ngozi
4- koboko 255'' to 400'' shs 600,000/= kwa ngozi
5-moma 100'' to 200'' shs 300,000/= kwa ngozi
* Mjulishe rafiki naye amjulishe rafiki watanzania tuchangamkie fursa hiyo? NB msiache kufatilia vibali View attachment 2072627
Had ww wanakumilikiSerikali nayo haichii kamba yaani kila kitu chake[emoji23][emoji23]
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]naona unawatafutia watu vita na maliasili bila kujua
Ukipita karibu yao unadhani watakuonea huruma ?Sasa mkishawatoa ngozi zao , wao mnawaacha na nini? Acheni ukatili kwa wanyama[emoji848]
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]daaaaHata mbuu ni mali yake safirisha uone
Sasa why uwachokoze kwa kupita karibu yao, kila mtu aendelee na maisha yake uone kama kutakua na matatizoUkipita karibu yao unadhani watakuonea huruma ?