Namna ya kuwaona wachawi kwa kutumia Kisamvu

Nitafanya ili nione ulimwengu ulivyo na mambo aise na kama wanatembea uchi ndio ntaenjoy zaidi ili nione walivyoumbika
 
Mkuu nimependa hii verse ya mwisho β€œUkitaka kuona ya gizani just tumia light”
 
MREJESHOO....

Baada ya kusoma uzi nikaenda kwa jirabi Mama mwaju nikachuma kisamvu nikafata masharti ya Uzi pale kwenye kupata usoni sana nikaisi kama nimeweka uso kwenye ziwa la pilipili macho yaliwasha SANAAAA nkavumilia baada ya apo Uso ukawa umekakamaa vby sana nikasubr ukauke ukakauka ila bado ulkua umekakamaa 7bu kisamvu kina utomvu mzito sana.....Basi nikatoka ndani nishuhudie ao viumbe patupu nikaenda sokoni patupu nikaenda barabarani patupu nikarudi zangu kunawa uso mfyuu
 
nahitaji hii.kitu
 
Hiki kikao cha mkoa kinakuwa kama kikao cha kamati ya ulinzi na usalama cha mkoa, RCC kinachoendeshwa na mkuu wa mkoa?
Yani unajadiliwa kimapana..na kikosi kazi cha kukushughulikia kinaundwa...na mrejesho inabidi wapeleke kwa mkuu wao kuhusu kazi waliyopewa
 
Yaani kutumia mbinu ya kuzimu kuwaona watumishi wake? Nehi

Mimi nimeona mpaka majini, mapepo na Malaika lakini sijawahi kunuizia kuwaona.

Hapa ninaishi kwa neema kwani nimeshapitia deathrow zaidi ya mara tatu na sifi.

Mungu ndiye mpango mzima
Duuh hadi malaika na mapepo [emoji23][emoji23]

Wewe kweli msanii
 
Yani unajadiliwa kimapana..na kikosi kazi cha kukushughulikia kinaundwa...na mrejesho inabidi wapeleke kwa mkuu wao kuhusu kazi waliyopewa
Nafikiri kwa sisi tunaomwamini Mungu wakikuwekea RCC yao, basi na malaika kule mbinguni wanakaa kwenye RCC.......sasa hapo ndo itajulikana kama viwavi jeshi nao wanavaa kombati au laa!
 
Mi nataka kuona wapi watu wanaficha hela ktk maeneo ninayoweza kuyafikia na kuzichukua bila Masharti.
Mtakuja kufa kizembe sana [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…