Namna ya shambulizi la Israel huko Isfahan-Iran inathibitisha Israel wamedhamiria na wanawaalika Iran kwa vita kamili.

{}
 
 
Kuna kambi za jeshi la Marekani zinazojifanya zinapambana na kundi la Islamic State huko Syria. Zilijaribu kutoa ushirikiano wa kudhibiti makombora ya Iran yenye nguvu lakini wakashindwa.
{}
 
Yani kila anacho ongea America ni kweli? Kama ni kweli yule kondoo Netanyahu si angeanza kujisifia kwenye press conference na kuitishia Iran na show off zake za kubweka bweka.
 
Malengo ya Israel katika hili shambilio lao ni yepi?
 
Acheni kujifariji hakuna shambulizi lolote lililo fanyika ndani ya Iran zaidi ya vidrone vilivyo tunguliwa mjini Isfahan.
asijaribu kujibu shambulizi kubwa, mzigo mkubwa utashushwa tehran mpaka iran iombe amani
 
Cool down.
inaonekana uko na stress sana. kila mtu ana stress zake sasa hizi zako naona unataka kuhamishia kwa watu wengine.

stress ni sehemu ya maisha, na kuichukulia positively inaweza kusaidia kutoboa.

usikate tamaa kirahisi.

cool down
 
We ni mpumbavu watu wanapigwa vizuri tu saa hii huko
 
Reactions: 511
Hauwezi kuitokomeza Hamas na Houth Iran ikiendelea kubaki na nguvu.

Sasa hawa Mazayuni wanataka wakate mzizi kwanza.

Hakuna namna likiibuka la Istael na Iran lazima Marekani na uingereza waingie wazimawazima. Na ndicho kinatafutwa.
 
Endelea kujifariji.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…