Namna ya shambulizi la Israel huko Isfahan-Iran inathibitisha Israel wamedhamiria na wanawaalika Iran kwa vita kamili.

Namna ya shambulizi la Israel huko Isfahan-Iran inathibitisha Israel wamedhamiria na wanawaalika Iran kwa vita kamili.

Mashekhe ubwabwa wa JF wamehorojoka muda mrefu humu JF kuwa Israel hawezi rusha hata jiwe Iran leo wana kazi ya kuhamisha magoli kukataa waizrael walichofanya aisee kuukataa ukweli hakujawahi na haitotokea kushinde huwa ni suala la muda tu....
Dunia imezoea Israel anaposhambuliwa na vikundi vidogo vidogo huwa analipa kisasi mara kumi yake na madhara makubwa.

Sasa safari hii kashambuliwa na Iran na mamia ya drones na missiles na yalileta madhara kwenye kambi kuu mbili za kijeshi za Israel.

Yeye Israel karusha vidrones vitatu na vyote vimedunguliwa angani na defence system ya Iran hivyo hakuna madhara yoyote.

Ndo watu na wataalamu wa vita wanahoji je, ni uoga wa Israel dhidi ya Iran ndiyo maana kajibu kinyonge hivyo ili angalau tu kuficha aibu?
 
Hili Shambulizi lilipangwa kwa mkakati kama vile jeshi lililoko vitani serious na sio kama michezo ya kidali poo anayojaribu kufanya Iran
wachambuzi na wataalamu wa masuala ya kijeshi wanasema hivi:

Israel's strike on Iran: Crisis shows how badly Iran and Israel understand each other​



Israel's attack on Iran was not the fierce response that US President Joe Biden and other western leaders had feared.


They have been urging Israel to draw a line under the dangerous series of events that started with Israel's assassination of a senior Iranian general in Damascus on 1 April.




Nb: Tuache ujuwaji wa kishamba!


Nb: Tupunguze mahaba na tukubali uhalisia wa mambo!
 
Hakuna hata ndege ya Israel au Missiles kutoka Israel waongo tu, ni vidrone vidogo vitatu vilirushwa ndani ya ziran na vibaraka wao na viliangushwa hakuna hata madhara walio pata Iran.

Western media, Arab media na Israel media ndio walijidai Israel karusha Missiles waongo kabisa.
Hata mleta mada kaandika huku nafsi yake ikiwa inamsuta ndani kwa ndani. Ila ndo hivyo kaona bora na yeye ajitutumue kuandikia taifa pendwa.
 
Dunia imezoea Israel anaposhambuliwa na vikundi vidogo vidogo huwa analipa kisasi mara kumi yake na madhara makubwa.

Sasa safari hii kashambuliwa na Iran na mamia ya drones na missiles na yalileta madhara kwenye kambi kuu mbili za kijeshi za Israel.

Yeye Israel karusha vidrones vitatu na vyote vimedunguliwa angani na defence system ya Iran hivyo hakuna madhara yoyote.

Ndo watu na wataalamu wa vita wanahoji je, ni uoga wa Israel dhidi ya Iran ndiyo maana kajibu kinyonge hivyo ili angalau tu kuficha aibu?
sawa na wairan wanafanya mazoezi makali mnoo kama unavyomuona huyo
GLCOPzmXwAESe9F.jpeg
lazima mazayuni wafutike duniani
 
  • Kicheko
Reactions: 511
Tukio la Jana la Israel kushambulia kwa ndege nchini Iran kujibu shambulizi la drones la Iran lililotangulia ni la kiwango cha juu kuashiria vita kamili . Hili Shambulizi lilipangwa kwa mkakati kama vile jeshi lililoko vitani serious na sio kama michezo ya kidali poo anayojaribu kufanya Iran. Hili ni shambulizi la mkakati mpana ukilitizama kwa sababu

Moja, Kuna chenga ya kijeshi waliofanyiwa Iran, ''military deception''(MILDEC) na serikali ya Israel. Chenga ya kijeshi ni kitendo cha kumuaminisha kiuongo adui kwamba utafanya au hautafanya jambo fulani ili kumchanganya afanye namna itakavyokuwa na faida kwako, ni kama kumpoteza maboya. Baada ya shambulio la Iran serikali ya Israel ilikaa vikao vingi na taarifa za mwisho za vikao hivyo zilizotoka ziliashiria Israel hawatafanya shambulizi lolote ndani ya Iran hivi karibuni lakini muda mfupi tu wameshambulia. Hii ni tofauti na vile Iran ilivyofanya shambulizi la kupanga la droni na kulitekeleza kwa siku nzima ikiwapa Israel na washirika wake muda mrefu wa kutosha kujipanga kukabiliana nalo.

Mbili, wamepiga karibia katikati kabisa ya Iran na zaidi wamepiga eneo muhuimu na la kimkakatil la Iran kijeshi na kiulinzi. Isfahan ni eneo ambalo kuna miradi ya nuclear, kambi kubwa ya jeshi na viwanda vya uzalishaji silaha zikiwemo droni. Hili ni onyo kwa Iran kwamba wamedhamiria vita na wanaweza kufika na kupiga popote katika nchi hiyo yenye ukubwa wa eneo mara mbili ya Tanzania.

Tatu, Israel wamepiga nchi tatu kwa wakati mmoja kwa mkupuo. Katika siku moja wameshambulia Syria, Iraq na Iran kuwaonyesha wa-Iran kwamba wako tayari kwa lolote.
Sasa tutegemee majibu kutoka kwa Iran.

Nne, Israel imeonyesha kwamba inaweza kufanya maamuzi yake peke yake kama nchi huru bila kujali washirika wake wa Marekani na Ulaya linapokuja suala la ulinzi, vita na pride ya nchi yao. Pamoja na msimamo wa Marekani na Uingereza wa kwamba hawataiunga Israel katika mashambulizi ya Iran kwa sasa, Israel imeendelea mbele na kufanya mashambulizi yenyewe kama ilivyopanga na kuona inafaa bila kujali msimamo wa washirika wake.

View: https://twitter.com/uzmabatoolnaqvi/status/1781252713172312178?t=2svha0-2DXI6hUnAkqAiBA&s=19
 
sawa na wairan wanafanya mazoezi makali mnoo kama unavyomuona huyoView attachment 2968271 lazima mazayuni wafutike duniani
Mwanajeshi wa jeshi bora duniani akidhibitiwa na kijana ambae hana kifaru, ndege ya kijeshi wala meli ya ya kivita.

Msaada wote wanaopewa na mabwana zao Marekani na Uingereza unashindwa kuwasaidia kupambana na vijana wasiokuwa na silaha 😂😂😂
 

Attachments

  • IMG_20240107_140414.jpg
    IMG_20240107_140414.jpg
    57.1 KB · Views: 3
Kufuga chatu nyumbani kwako ni sawa na kuishi na kifo muda wowote...wenye scope
 
Sehemu pekee ambapo milipuko ilisikika ni karibu na kambi ya jeshi la anga iliyoko mjini Isfahan na milipuko hiyo ili sababishwa na kutunguliwa kwa drone na hizo drone haijajulikana iwapo ni za Israel au hapana, hakuna shambulizi lolote lililo fanyika ndani ya Iran.
ulikuwepo au unasoma quran
 
  • Kicheko
Reactions: 511
Acheni kujifariji hakuna shambulizi lolote lililo fanyika ndani ya Iran zaidi ya vidrone vilivyo tunguliwa mjini Isfahan.
Vyombo vya habari vya Iran vimesema vimeona milipuko mikubwa kwenye kambi za jeshi .Live.Lakini serikali ya Iran inasema hiyo milipuko ni kweli ilikuwepo ila ilikuwa milipuko ya mitambo ya Iran ya kurusha makombora ya kulipua hivyo vidrones vya Israel ha ha ha ha 😂

Vidrones vinajibiwa kwa milipuko mikubwa ardhini kwenye ardhi ya vituo vya jeshi la Iran😄 🤣 😂 😆 😄 🤣

Message sent
 
Kila mtu wakiwemo viongozi wa Israel yenyewe wameona aibu kulizungumzia hili shambulio kutokana na kushindwa kufikia malengo.

Shambulio lililozuiliwa kiulani na Iran yenyewe bila madhara yoyote, unaweza kumfananishaje na lile lililoshindwa kuzuiwa na nchi zaidi ya 8 na likapiga target iliyokusudiwa!

Shambulio la Iran liliishtua na kushangaa dunia jinsi lilivyofanikiwa kupenya ngome za ulinzi za mataifa kama US, UK, France, Germany, Saudi Arabia, Jordan, Iraq, Syria na Israel yenyewe. Hili la Israel watu wengi duniani hawajui kama limetokea maana halikuleta madhara. Lakini pia limeivua nguo Israel kwa shambulio lake kuzuiwa na nchi moja tu (Iran) bila msaada wa US wala UK.
Syria Tenaa????
Syria jngeisaidiaje Israel waketi yenyewe ndio inapigwa kila siku??
 
Tukio la Jana la Israel kushambulia kwa ndege nchini Iran kujibu shambulizi la drones la Iran lililotangulia ni la kiwango cha juu kuashiria vita kamili . Hili Shambulizi lilipangwa kwa mkakati kama vile jeshi lililoko vitani serious na sio kama michezo ya kidali poo anayojaribu kufanya Iran. Hili ni shambulizi la mkakati mpana ukilitizama kwa sababu

Moja, Kuna chenga ya kijeshi waliofanyiwa Iran, ''military deception''(MILDEC) na serikali ya Israel. Chenga ya kijeshi ni kitendo cha kumuaminisha kiuongo adui kwamba utafanya au hautafanya jambo fulani ili kumchanganya afanye namna itakavyokuwa na faida kwako, ni kama kumpoteza maboya. Baada ya shambulio la Iran serikali ya Israel ilikaa vikao vingi na taarifa za mwisho za vikao hivyo zilizotoka ziliashiria Israel hawatafanya shambulizi lolote ndani ya Iran hivi karibuni lakini muda mfupi tu wameshambulia. Hii ni tofauti na vile Iran ilivyofanya shambulizi la kupanga la droni na kulitekeleza kwa siku nzima ikiwapa Israel na washirika wake muda mrefu wa kutosha kujipanga kukabiliana nalo.

Mbili, wamepiga karibia katikati kabisa ya Iran na zaidi wamepiga eneo muhuimu na la kimkakatil la Iran kijeshi na kiulinzi. Isfahan ni eneo ambalo kuna miradi ya nuclear, kambi kubwa ya jeshi na viwanda vya uzalishaji silaha zikiwemo droni. Hili ni onyo kwa Iran kwamba wamedhamiria vita na wanaweza kufika na kupiga popote katika nchi hiyo yenye ukubwa wa eneo mara mbili ya Tanzania.

Tatu, Israel wamepiga nchi tatu kwa wakati mmoja kwa mkupuo. Katika siku moja wameshambulia Syria, Iraq na Iran kuwaonyesha wa-Iran kwamba wako tayari kwa lolote.
Sasa tutegemee majibu kutoka kwa Iran.

Nne, Israel imeonyesha kwamba inaweza kufanya maamuzi yake peke yake kama nchi huru bila kujali washirika wake wa Marekani na Ulaya linapokuja suala la ulinzi, vita na pride ya nchi yao. Pamoja na msimamo wa Marekani na Uingereza wa kwamba hawataiunga Israel katika mashambulizi ya Iran kwa sasa, Israel imeendelea mbele na kufanya mashambulizi yenyewe kama ilivyopanga na kuona inafaa bila kujali msimamo wa washirika wake.
Ungekaa kimya unatumia nguvu nyingi wakati Iran alishamaliza kazi yake siku nyingi nyie sindiyo mlikuwa mnaena Iran warushe hata jiwe Israel waone😁
 
Back
Top Bottom