Nampenda MADAM B. Napenda awe mke wangu

nani huyo?? ukinzisha timbwili na mjeda wewe utakuwa poyoyo
ukimchana live mpenzi wako wa zamani wewe utakuwa miongoni mwa wale wanaume ambao ni majinga ya kuzaliwa


hilo somo nimeshampatia ,nadhani ameshaachana na hayo mambo ya vidole juu......... wanaume tunapaswa kuwa na high level ya utulivu kwenye haya mambo.....
 
Ndoo kitakuwa kikao changu cha kwanza cha sendoff kuhudhuria cha mwanachama wa JF na atakuwa mtu wa pili kuniona kuwa ahaa wewe ndoo Mpitagwa. Mimi hisia zangu zinanituma kabisa kwamba hawa watu watafika mbali. Wapewe nafasi tu.
 
Kwa kuwa yeye anatembelea TZF 11, basi anajua kila mtu ana huo usafiri.
Watu siku hz twatembelea M4C 4.
Hahaha.
uwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii yaani anatumia TZ11? hahahahhaah! mie natumia TZ 04
 
ndoo kitakuwa kikao changu cha kwanza cha sendoff kuhudhuria cha mwanachama wa jf na atakuwa mtu wa pili kuniona kuwa ahaa wewe ndoo mpitagwa. Mimi hisia zangu zinanituma kabisa kwamba hawa watu watafika mbali. Wapewe nafasi tu.

kwani nani tena amewah kukuona??
 
Copy kwa Ben Saanane
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…