Nampenda MADAM B. Napenda awe mke wangu

kiplagati26 hizo ndo sifa alikuwa anahitaji je unaafiki??
 
Last edited by a moderator:
Sii bure'FREEMASONS'wanahusika.
Vp mumpigie debe namna hiyo?mtu mwenyewe kapost kakaa pembeni,alafu eti wapambe ndio wameshupalia.
Hii never seen!hapa FREEMASONS wametia japo ukucha,sasa siwezi kuendelea kushindana na uzi unaokua busted na FREEMASONS,na log out byeeee!
 

Ni chungu lakini dawa. Kunywa tu.
 
Ki ukweli kaka nakupa hongera sana na nina kila sababu ya kukuita komandoo! Maana umeona hakuna sababu yoyote ya kufichaficha wala kukimbilia PM bali umemwaga mambo hadharani ili kila mtu aelewe nini kimeujaza moyo wako. Naweza kuamini kuwa una dhamira ya dhati kwa kuuliza wazi kama Madam B bado ni msichana na hajaolewa. Nimependa jinsi ulivyojilipua.
Komandoo, kila la kheri.
 

hahahhhhahahahhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhh! mbavu zzangu lolz!!
si bure jamaa umeumia sana, haya umeshindwa hoja umekuja na ufreemanson ngoja nione.

ila hii haimaansh ile dili yetu umeicut-off sawa??

ukweli unauma kuliko ugonjwa wenyewe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…