Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nje ntiti ndani ntiti .... ni kweli hao watu huwa wafupi na vibongeHapana si mkuryia mzee ni ntu ya ntwara
Weeeh unafikiru ni vita vita amna mzee ni mikiki kwenye 18Nje ntiti ndani ntiti .... ni kweli hao watu huwa wafupi na vibonge
Hilo la vita sasa[emoji1787] sina uhakika
Mkuu hapana mademu zote nagonga wanaombaga poo ila huyu naomba mimi na bado anakazaPiga shoo mkuu
We tangulia yangu utaikuta huko hukoNasubiria Tanzia yako
Mwanangu mule mule 100%😄😄😄Ndo hizi za kivita?
View attachment 2707870
Kataa Huduma zake ili mambo yasiwe MengiWe tangulia yangu utaikuta huko huko
Sijui kapatwa na nini aiseehHome Boy umebadili mtindo wako wa kuandika
Rudi asili yako home Boy
Apo tayari ushafanya maamuzi mkuu sioni jingne la kukushauri.Nilishamwambia yeye ni Queen of mizangamuo ivo ntamtumia kwenye sekta hiyo anasema sawa lakini akaniambia anatamani angekua mke kabisa
Sure mzeeBinadamu ni dhaifu Mkuu
Na yeye anataka apite na weweWadada wa mjinisi wakuchukulia siriazi mzee tunapitaga tuu
Mtu anaforce kuja gheto na mwambia usije sina hela ye anasema anazo anakuja anajipikilisha hata kama sitokuwepo ye hajali unakuata kesha leta na vituKataa Huduma zake ili mambo yasiwe Mengi
Rest Easy ComradeMtu anaforce kuja gheto na mwambia usije sina hela ye anasema anazo anakuja anajipikilisha hata kama sitokuwepo ye hajali unakuata kesha leta na vitu
Amna kambi hapaNa yeye anataka apite na wewe
Hii ni hatari mzee maana wanawake wa hiz mambo najua hamnaga aiseehRest Easy Comrade
Aniroge kwa lipi wakat nshamwambia simuoi??Halafu mkirogwa mnaanza kusumbua watu. Umbwaaa nyie.