Namtafuta Rafiki yangu Shunie. Tulipotezana humu mwaka 2015 mwanzoni enzi za JK

Status
Not open for further replies.
Wakuu kidogo nimefarijika kuona tena jina la Shunie 🌹

Ila kinachoniumiza kwanini hataki kujua Mimi ni nani kwamba amesahau ata conversation zetu Kule inbox za enzi hizo tunapendana😭

Kingine kwanini hajaonesha ata kushituka na kuishia ku like tu meseji zangu na kucheka Sana😭

Then kwanini atumie watu waniulize Mimi ni nani kwanini asije mwenyewe inbox kuniuliza. Maana kumbukumbu zipo huko😭

Mwambieni bado nampenda Shunie 🌹

Ninachoomba ata anikumbuke tu inatosha picha zipo inbox aje mwambieni nampenda🌹
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…