Namtafutia mchumba (mwanaume) rafiki yangu

Namtafutia mchumba (mwanaume) rafiki yangu

Status
Not open for further replies.
Unavyosaidia kuconnect siku ys siki utasaidia kushika mguu?? nijue kwanza kabla sijaunga mkono juhudi
 
Hebu pita kushoto kwanza
Siku hizi kutafuta mwenza kwenye mitandao siyo jambo la ajabu. Infact mimi huwa nadhani ndiyo njia pekee ya kupata watu ambao wako serious. Japo mtu unatakiwa uwe na tahadhari sana sana kwa sababu mwanzoni wanakuja watu wengi wenye nia ''ovu'' lakini unaweza kuwachuja. Kikwazo kingine ni kuwa kuna watu, hasa wanaume wana tabia ya 'kuumba'' mwanamke kwa kutumia kigezo cha maandishi yake hapa. Yaani mtu anajenga sura fulani just kwa kutumia swaga za mwanadada, jinsi anavyochangia post hapa. Na wengi huwa na kawaida ya kuweka high expectections, kuwa huyu lazima awe mzuri sana na mwenye uwezo. Mimi nadhani mke au mume mtarajiwa unaweza kumjenga na kumfanya awe utakavyo mradi tu mmependana. TAHADHARI. usipende kuvutiwa na sura kwanza au mali. Jali kilichomo ndani yake na how potential she/has...
 
Siku hizi kutafuta mwenza kwenye mitandao siyo jambo la ajabu. Infact mimi huwa nadhani ndiyo njia pekee ya kupata watu ambao wako serious. Japo mtu unatakiwa uwe na tahadhari sana sana kwa sababu mwanzoni wanakuja watu wengi wenye nia ''ovu'' lakini unaweza kuwachuja. Kikwazo kingine ni kuwa kuna watu, hasa wanaume wana tabia ya 'kuumba'' mwanamke kwa kutumia kigezo cha maandishi yake hapa. Yaani mtu anajenga sura fulani just kwa kutumia swaga za mwanadada, jinsi anavyochangia post hapa. Na wengi huwa na kawaida ya kuweka high expectections, kuwa huyu lazima awe mzuri sana na mwenye uwezo. Mimi nadhani mke au mume mtarajiwa unaweza kumjenga na kumfanya awe utakavyo mradi tu mmependana. TAHADHARI. usipende kuvutiwa na sura kwanza au mali. Jali kilichomo ndani yake na how potential she/has...
Bro umeongea vizuri sana sana
 
Msenge tuu wewe...nakwambia ww kwangu ww ni msenge na haitabadilika...sitakaa kukusujudu ww uliekosa akili nilikwambia pale juu utasema yote..ila ww ni kibiriti ngoma wa kiume..nitakutusi vile unaleta matusi yani nakwambia hivi ni tit fo tat..Usitaje jina la Mungu kwny huo mdomo wako unaonuka k vant...
Ukaidi wangu ni kwa watu kama wewe punga zeze...
No plz, usifike huku haitakusaidia.

Hebu rudi nyumbani upesi plz plz.
Mambo haya ya matusi hana afya
 
Siku hizi kutafuta mwenza kwenye mitandao siyo jambo la ajabu. Infact mimi huwa nadhani ndiyo njia pekee ya kupata watu ambao wako serious. Japo mtu unatakiwa uwe na tahadhari sana sana kwa sababu mwanzoni wanakuja watu wengi wenye nia ''ovu'' lakini unaweza kuwachuja. Kikwazo kingine ni kuwa kuna watu, hasa wanaume wana tabia ya 'kuumba'' mwanamke kwa kutumia kigezo cha maandishi yake hapa. Yaani mtu anajenga sura fulani just kwa kutumia swaga za mwanadada, jinsi anavyochangia post hapa. Na wengi huwa na kawaida ya kuweka high expectections, kuwa huyu lazima awe mzuri sana na mwenye uwezo. Mimi nadhani mke au mume mtarajiwa unaweza kumjenga na kumfanya awe utakavyo mradi tu mmependana. TAHADHARI. usipende kuvutiwa na sura kwanza au mali. Jali kilichomo ndani yake na how potential she/has...
U nailed it
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom