Namtafutia mwanangu nafasi ya shule ya serikali form one 2025

Namtafutia mwanangu nafasi ya shule ya serikali form one 2025

Aisee hizi selection za ajabu sana, mwanangu Ako na A zooote na amepangwa shule ya changanyikeni tu na amemaliza shule ya serikali, japo Kuna wenzake unakuta Wana A nne lakini wapepangwa shule teule, kiukweli inakatisha tamaa. Shule alomalizia ni Dsm wilaya ya ilala, sasa ni hivi Mimi natafuta nafasi shule ya bweni iwe nzuri kidogo kitaaluma, mi najua humu mnajuana na walimu wengi na Kuna walimu pia........
Ya soda ipo kama utataka, ntashukuru kama ntapata nafasi aisee!!!
Nipe option za Shule unazotaka Mkuu, tuanze kupambania kombe
 
Aisee hizi selection za ajabu sana, mwanangu Ako na A zooote na amepangwa shule ya changanyikeni tu na amemaliza shule ya serikali, japo Kuna wenzake unakuta Wana A nne lakini wapepangwa shule teule, kiukweli inakatisha tamaa. Shule alomalizia ni Dsm wilaya ya ilala, sasa ni hivi Mimi natafuta nafasi shule ya bweni iwe nzuri kidogo kitaaluma, mi najua humu mnajuana na walimu wengi na Kuna walimu pia........
Ya soda ipo kama utataka, ntashukuru kama ntapata nafasi aisee!!!
nitafte 0762053934
 
Aisee hizi selection za ajabu sana, mwanangu Ako na A zooote na amepangwa shule ya changanyikeni tu na amemaliza shule ya serikali, japo Kuna wenzake unakuta Wana A nne lakini wapepangwa shule teule, kiukweli inakatisha tamaa. Shule alomalizia ni Dsm wilaya ya ilala, sasa ni hivi Mimi natafuta nafasi shule ya bweni iwe nzuri kidogo kitaaluma, mi najua humu mnajuana na walimu wengi na Kuna walimu pia........
Ya soda ipo kama utataka, ntashukuru kama ntapata nafasi aisee!!!
Rushwa kizazi hadi kizazi, Tz taifa lililopotea!
 
Msichokijua ni kuwa nafasi ya kwenda shule za bweni hutolewa kihalmashauri mgawo sawa au kuzidi kidogo katika baadhi ya halmashauri nafasi zikitosha waliobaki wanapelekwa kata despite ufaulu wao mkubwa halmashauri zingine zina ufaulu wa chini inapelekea wanachukuliwa wenye A za chini (sababu ndiyo walioongoza ) huku Kwetu kuna wanafunzi wanachukuliwa hadi msalato na wana A 4 madaba mwaka jana kuna dogo alienda msalato na ana wastani wa B na ana A moja siku nyingine msomeshe mwanao kwenye halmashauri zenye wajinga wengi 😆
 
Haina form one hadi four mkuu
Ilikuwa form one hadi form six. Wamebadilisha? Lini? Ni muda kidogo umepita tangu tulimpeleka kijana wa rafiki yangu pale Tosamaganga Secondary School.

Ni bonge moja la shule ya boarding ya wavulana tu
 
Msichokijua ni kuwa nafasi ya kwenda shule za bweni hutolewa kihalmashauri mgawo sawa au kuzidi kidogo katika baadhi ya halmashauri nafasi zikitosha waliobaki wanapelekwa kata despite ufaulu wao mkubwa halmashauri zingine zina ufaulu wa chini inapelekea wanachukuliwa wenye A za chini (sababu ndiyo walioongoza ) huku Kwetu kuna wanafunzi wanachukuliwa hadi msalato na wana A 4 madaba mwaka jana kuna dogo alienda msalato na ana wastani wa B na ana A moja siku nyingine msomeshe mwanao kwenye halmashauri zenye wajinga wengi 😆
Hili ni neno kuu. Alishike vizuri. Tofauti na hapo hizo shule zitakuwa zinajaa watu wa shule za miji.
 
Aisee hizi selection za ajabu sana, mwanangu Ako na A zooote na amepangwa shule ya changanyikeni tu na amemaliza shule ya serikali, japo Kuna wenzake unakuta Wana A nne lakini wapepangwa shule teule, kiukweli inakatisha tamaa. Shule alomalizia ni Dsm wilaya ya ilala, sasa ni hivi Mimi natafuta nafasi shule ya bweni iwe nzuri kidogo kitaaluma, mi najua humu mnajuana na walimu wengi na Kuna walimu pia........
Ya soda ipo kama utataka, ntashukuru kama ntapata nafasi aisee!!!
Fuatilia KAMWALA SEC ipo mwanga kilimanjaro
 
Back
Top Bottom