Namwombea msamaha Paul Makonda, ni damu changa iliyozikwa mapema

Namwombea msamaha Paul Makonda, ni damu changa iliyozikwa mapema

Mganguzi

JF-Expert Member
Joined
Aug 3, 2022
Posts
1,604
Reaction score
3,715
Mimi Makonda ni mdogo wangu kiumri na hata kiutumishi. Nilikuwepo wakati akihudumu kama mkuu wa mkoa wa Dar. Ni kijana shupavu asiyeyumba katika jambo analoliamini.

Makonda alisaidia sana Jiji la Dar kuwa salama alikimbizana Sana na wauza madawa pamoja na waliotelekeza watoto. Alilimudu Jiji kwelikweli alikuwa mbabe na wakati mwingine mnyenyekevu.

Hotuba zake zilikuwa za kiume kweli kweli mamlaka yake ilimfanya avuke mipaka na kuwa mtu wa amri na visasi Makonda akiamua kumsakama mtu alikuwa haangalii cheo chake au umaarufu wake wengi walikimbia Dar na kufunga biashara zao

Kwa sababu ya kumuogopa Makonda, maduka, mahoteli, yalifungwa Kwa kumkimbia Makonda, labda alijua atakuwa mkuu wa mkoa milele inasemekana hata viongozi wa juu yake hakuwa akiwapa heshima yao Kwa sababu tu alikuwa na mawasiliano ya Moja Kwa Moja na JPM.

Hicho ndio kinamgharimu Leo, walioshika madaraka ni wale alikuwa akiwadharau sana wakati ule wa mwendazake pamoja na yote Mimi naamini tayari amejifunza na tusimuache apotelee kusikojulikana umri wa Makonda bado ni mdogo Sana , mamlaka imsamehe na impe nafasi nyingine. Mimi na mwamini na nimemiss sana heka heka za Paulo, mamlaka imesamehe huyu mwamba asimame Tena awatumikie watanzania na abadilike

Mimi mganguzi namwombea msamaha Paulo Makonda, natamani kumuona Tena katika uongozi na majukumu ya kitaifa, bado ni mtoto na ni kijana, huenda Kuna makosa aliyafanya Kwa sababu ya mihemuko ya ujana.

Naamini amekuwa naiomba mamlaka imkumbuke bado ni mbegu changa tusimzike ila tumfufue na kumfunda Ili aendelee kuitumikia nchi yetu. Narudia Tena namwombea msamaha Paulo Makonda Kwa yote yaliyopelekea apotelee kusikojulikana

Mimi mganguzi kazi yangu ni kuganga Kila jeraha
 
Mimi makonda ni mdogo wangu kiumri na hata kiutumishi .nilikuwepo wakati akihudumu kama mkuu wa mkoa wa dar.ni kijana shupavu asiyeyumba katika jambo analoliamini. Makonda alisaidia sana Jiji la dar kuwa salama .alikimbizana Sana na wauza madawa pamoja na waliotelekeza watoto. alilimudu Jiji kwelikweli .alikuwa mbabe na wakati mwingine mnyenyekevu. Hotuba zake zilikuwa za kiume kweli kweli ,mamlaka yake ilimfanya avuke mipaka na kuwa mtu wa amri na visasi ,makonda akiamua kumsakama mtu alikuwa haangalii cheo chake au umaarufu wake .wengi walikimbia dar na kufunga biashara zao Kwa sababu ya kumuogopa makonda ,maduka,mahoteli ,yalifungwa Kwa kumkimbia makonda, labda alijua atakuwa mkuu wa mkoa milele .inasemekana hata viongozi wa juu yake hakuwa akiwapa heshima yao Kwa sababu tu alikuwa na mawasiliano ya Moja Kwa Moja na jpm. Hicho ndio kinamghalimu Leo ,walioshika madaraka ni wale alikuwa akiwadharau sana wakati ule wa mwendazake ,. pamoja na yote Mimi naamini tayari amejifunza na tusimuache apotelee kusikojulikana ,.umri wa makonda bado ni mdogo Sana ,mamlaka imsamehe na impe nafasi nyingine .Mimi na mwamini na nimemiss sana heka heka za paulo.mamlaka imsamehe huyu mwamba asimame Tena awatumikie watanzania na abadilike ,Mimi mganguzi namwombea msamaha Paulo makonda ,natamani kumuona Tena katika uongozi na majukumu ya kitaifa ,bado ni mtoto na nikijana ,huenda Kuna makosa aliyafanya Kwa sababu ya mihemuko ya ujana ...naamini amekuwa naiomba mamlaka imkumbuke bado ni mbegu changa tusimzike ila tumfufue na kumfunda Ili aendelee kuitumikia nchi yetu .narudia Tena namwombea msamaha Paulo makonda Kwa yote yaliyopelekea apotelee kusikojulikana Mimi mganguzi kazi yangu ni kuganga Kila jeraha
Unayemuombea msamaha hana mdomo?

Azungumze asikike yeye mwenyewe.

Uchawa mzigo
 
Mimi makonda ni mdogo wangu kiumri na hata kiutumishi .nilikuwepo wakati akihudumu kama mkuu wa mkoa wa dar.ni kijana shupavu asiyeyumba katika jambo analoliamini. Makonda alisaidia sana Jiji la dar kuwa salama .alikimbizana Sana na wauza madawa pamoja na waliotelekeza watoto. alilimudu Jiji kwelikweli .alikuwa mbabe na wakati mwingine mnyenyekevu. Hotuba zake zilikuwa za kiume kweli kweli ,mamlaka yake ilimfanya avuke mipaka na kuwa mtu wa amri na visasi ,makonda akiamua kumsakama mtu alikuwa haangalii cheo chake au umaarufu wake .wengi walikimbia dar na kufunga biashara zao Kwa sababu ya kumuogopa makonda ,maduka,mahoteli ,yalifungwa Kwa kumkimbia makonda, labda alijua atakuwa mkuu wa mkoa milele .inasemekana hata viongozi wa juu yake hakuwa akiwapa heshima yao Kwa sababu tu alikuwa na mawasiliano ya Moja Kwa Moja na jpm. Hicho ndio kinamghalimu Leo ,walioshika madaraka ni wale alikuwa akiwadharau sana wakati ule wa mwendazake ,. pamoja na yote Mimi naamini tayari amejifunza na tusimuache apotelee kusikojulikana ,.umri wa makonda bado ni mdogo Sana ,mamlaka imsamehe na impe nafasi nyingine .Mimi na mwamini na nimemiss sana heka heka za paulo.mamlaka imsamehe huyu mwamba asimame Tena awatumikie watanzania na abadilike ,Mimi mganguzi namwombea msamaha Paulo makonda ,natamani kumuona Tena katika uongozi na majukumu ya kitaifa ,bado ni mtoto na nikijana ,huenda Kuna makosa aliyafanya Kwa sababu ya mihemuko ya ujana ...naamini amekuwa naiomba mamlaka imkumbuke bado ni mbegu changa tusimzike ila tumfufue na kumfunda Ili aendelee kuitumikia nchi yetu .narudia Tena namwombea msamaha Paulo makonda Kwa yote yaliyopelekea apotelee kusikojulikana Mimi mganguzi kazi yangu ni kuganga Kila jeraha

Huyo ALIFUTWA ktk Ulimwengu wa Roho kisiasa.

We unakazana kumuombea msamaha mtu asokuwepo siasani🙃🙃🙃🙃🙃
 
,maduka,mahoteli ,yalifungwa Kwa kumkimbia makonda, labda alijua atakuwa mkuu wa mkoa milele .inasemekana hata viongozi wa juu yake hakuwa akiwapa heshima yao Kwa sababu tu alikuwa na mawasiliano ya Moja Kwa Moja na jpm. Hicho ndio kinamghalimu Leo ,walioshika madaraka ni wale alikuwa akiwadharau sana wakati ule wa mwendazake ,. pamoja na yote Mimi naamini tayari amejifunza na tusimuache apotelee kusikojulikana ,.umri wa makonda bado ni mdogo Sana ,mamlaka imsamehe na impe nafasi nyingine .Mimi na mwamini na nimemiss sana heka heka za paulo.mamlaka imsamehe huyu mwamba asimame Tena awatumikie watanzania na abadilike ,Mimi mganguzi namwombea msamaha Paulo makonda ,natamani kumuona Tena katika uongozi na majukumu ya kitaifa ,bado ni mtoto na nikijana ,huenda Kuna makosa aliyafanya Kwa sababu ya mihemuko ya ujana ...naamini amekuwa naiomba mamlaka imkumbuke bado ni mbegu changa tusimzike ila tumfufue na kumfunda Ili aendelee kuitumikia nchi yetu .narudia Tena namwombea msamaha Paulo makonda Kwa yote yaliyopelekea apotelee kusikojulikana Mimi mganguzi kazi yangu ni kuganga Kila jeraha
Hekima na Busara ndivyo vitu vinavyotakiwa katika kuwaongoza binaadamu

Jamaa alikuwa mshamba wa maisha,mshamba wa madaraka..

Mtu kama Makonda hatakiwi kuongoza hata Mbwa,kwani hata hao wanaweza kumgeukia na kumg'anta..

Sio kila mtu ana uwezo wa kuwa kiongozi,Makonda na baba yake Magufuli ni kitu kibaya sana kuwahi kutokea Tanzania
 
Kwani mkuu asamehewe kwani alipewq adhabu gani? Yani mtu kuwekwa benchi kwwnye uongozi ni adhabu? Si afanye shughuli nyingine za kawaida au ni lazima ateuliwe kuongoza?

Acha ujinga na upambavu nchi ina watu wengi na tayari wanaongoza vizuri tu si lazima mtu mmoja akifeli achaguliwe tena. Hii nchi ina watu wa hovyo mleta uzi ni mmoja wapo.
 
Mimi makonda ni mdogo wangu kiumri na hata kiutumishi .nilikuwepo wakati akihudumu kama mkuu wa mkoa wa dar.ni kijana shupavu asiyeyumba katika jambo analoliamini. Makonda alisaidia sana Jiji la dar kuwa salama .alikimbizana Sana na wauza madawa pamoja na waliotelekeza watoto. alilimudu Jiji kwelikweli .alikuwa mbabe na wakati mwingine mnyenyekevu. Hotuba zake zilikuwa za kiume kweli kweli ,mamlaka yake ilimfanya avuke mipaka na kuwa mtu wa amri na visasi ,makonda akiamua kumsakama mtu alikuwa haangalii cheo chake au umaarufu wake .wengi walikimbia dar na kufunga biashara zao Kwa sababu ya kumuogopa makonda ,maduka,mahoteli ,yalifungwa Kwa kumkimbia makonda, labda alijua atakuwa mkuu wa mkoa milele .inasemekana hata viongozi wa juu yake hakuwa akiwapa heshima yao Kwa sababu tu alikuwa na mawasiliano ya Moja Kwa Moja na jpm. Hicho ndio kinamghalimu Leo ,walioshika madaraka ni wale alikuwa akiwadharau sana wakati ule wa mwendazake ,. pamoja na yote Mimi naamini tayari amejifunza na tusimuache apotelee kusikojulikana ,.umri wa makonda bado ni mdogo Sana ,mamlaka imsamehe na impe nafasi nyingine .Mimi na mwamini na nimemiss sana heka heka za paulo.mamlaka imsamehe huyu mwamba asimame Tena awatumikie watanzania na abadilike ,Mimi mganguzi namwombea msamaha Paulo makonda ,natamani kumuona Tena katika uongozi na majukumu ya kitaifa ,bado ni mtoto na nikijana ,huenda Kuna makosa aliyafanya Kwa sababu ya mihemuko ya ujana ...naamini amekuwa naiomba mamlaka imkumbuke bado ni mbegu changa tusimzike ila tumfufue na kumfunda Ili aendelee kuitumikia nchi yetu .narudia Tena namwombea msamaha Paulo makonda Kwa yote yaliyopelekea apotelee kusikojulikana Mimi mganguzi kazi yangu ni kuganga Kila jeraha
Usituletee laana na madhira ambayo tulianza kusahau.

We unafikiri pasipo maombi magufuri angekufa? Nakuambia angeluwepo na angeendelea kuua watu.

Na watu wengi wangekuwa na kesi nyingi za either kusingiziwa kumtukana au kwa uonezi tu.
 
Mimi Makonda ni mdogo wangu kiumri na hata kiutumishi. Nilikuwepo wakati akihudumu kama mkuu wa mkoa wa Dar. Ni kijana shupavu asiyeyumba katika jambo analoliamini.

Makonda alisaidia sana Jiji la dar kuwa salama alikimbizana Sana na wauza madawa pamoja na waliotelekeza watoto. alilimudu Jiji kwelikweli alikuwa mbabe na wakati mwingine mnyenyekevu.

Hotuba zake zilikuwa za kiume kweli kweli mamlaka yake ilimfanya avuke mipaka na kuwa mtu wa amri na visasi Makonda akiamua kumsakama mtu alikuwa haangalii cheo chake au umaarufu wake wengi walikimbia Dar na kufunga biashara zao

Kwa sababu ya kumuogopa Makonda, maduka, mahoteli, yalifungwa Kwa kumkimbia Makonda, labda alijua atakuwa mkuu wa mkoa milele inasemekana hata viongozi wa juu yake hakuwa akiwapa heshima yao Kwa sababu tu alikuwa na mawasiliano ya Moja Kwa Moja na JPM.

Hicho ndio kinamgharimu Leo, walioshika madaraka ni wale alikuwa akiwadharau sana wakati ule wa mwendazake pamoja na yote Mimi naamini tayari amejifunza na tusimuache apotelee kusikojulikana umri wa Makonda bado ni mdogo Sana , mamlaka imsamehe na impe nafasi nyingine. Mimi na mwamini na nimemiss sana heka heka za Paulo, mamlaka imesamehe huyu mwamba asimame Tena awatumikie watanzania na abadilike

Mimi mganguzi namwombea msamaha Paulo Makonda, natamani kumuona Tena katika uongozi na majukumu ya kitaifa, bado ni mtoto na ni kijana, huenda Kuna makosa aliyafanya Kwa sababu ya mihemuko ya ujana.

Naamini amekuwa naiomba mamlaka imkumbuke bado ni mbegu changa tusimzike ila tumfufue na kumfunda Ili aendelee kuitumikia nchi yetu. Narudia Tena namwombea msamaha Paulo Makonda Kwa yote yaliyopelekea apotelee kusikojulikana

Mimi mganguzi kazi yangu ni kuganga Kila jeraha
Mikono inanuka damu ....msamaha kwa damu za watu ? Waliopoteza wapendwa wao itakuwaje?alipe kwa damu zilizomwagika
 
Mimi Makonda ni mdogo wangu kiumri na hata kiutumishi. Nilikuwepo wakati akihudumu kama mkuu wa mkoa wa Dar. Ni kijana shupavu asiyeyumba katika jambo analoliamini.

Makonda alisaidia sana Jiji la dar kuwa salama alikimbizana Sana na wauza madawa pamoja na waliotelekeza watoto. alilimudu Jiji kwelikweli alikuwa mbabe na wakati mwingine mnyenyekevu.

Hotuba zake zilikuwa za kiume kweli kweli mamlaka yake ilimfanya avuke mipaka na kuwa mtu wa amri na visasi Makonda akiamua kumsakama mtu alikuwa haangalii cheo chake au umaarufu wake wengi walikimbia Dar na kufunga biashara zao

Kwa sababu ya kumuogopa Makonda, maduka, mahoteli, yalifungwa Kwa kumkimbia Makonda, labda alijua atakuwa mkuu wa mkoa milele inasemekana hata viongozi wa juu yake hakuwa akiwapa heshima yao Kwa sababu tu alikuwa na mawasiliano ya Moja Kwa Moja na JPM.

Hicho ndio kinamgharimu Leo, walioshika madaraka ni wale alikuwa akiwadharau sana wakati ule wa mwendazake pamoja na yote Mimi naamini tayari amejifunza na tusimuache apotelee kusikojulikana umri wa Makonda bado ni mdogo Sana , mamlaka imsamehe na impe nafasi nyingine. Mimi na mwamini na nimemiss sana heka heka za Paulo, mamlaka imesamehe huyu mwamba asimame Tena awatumikie watanzania na abadilike

Mimi mganguzi namwombea msamaha Paulo Makonda, natamani kumuona Tena katika uongozi na majukumu ya kitaifa, bado ni mtoto na ni kijana, huenda Kuna makosa aliyafanya Kwa sababu ya mihemuko ya ujana.

Naamini amekuwa naiomba mamlaka imkumbuke bado ni mbegu changa tusimzike ila tumfufue na kumfunda Ili aendelee kuitumikia nchi yetu. Narudia Tena namwombea msamaha Paulo Makonda Kwa yote yaliyopelekea apotelee kusikojulikana

Mimi mganguzi kazi yangu ni kuganga Kila jeraha
Nenda akuoe huyo makonda
 
Mimi Makonda ni mdogo wangu kiumri na hata kiutumishi. Nilikuwepo wakati akihudumu kama mkuu wa mkoa wa Dar. Ni kijana shupavu asiyeyumba katika jambo analoliamini.

Makonda alisaidia sana Jiji la dar kuwa salama alikimbizana Sana na wauza madawa pamoja na waliotelekeza watoto. alilimudu Jiji kwelikweli alikuwa mbabe na wakati mwingine mnyenyekevu.

Hotuba zake zilikuwa za kiume kweli kweli mamlaka yake ilimfanya avuke mipaka na kuwa mtu wa amri na visasi Makonda akiamua kumsakama mtu alikuwa haangalii cheo chake au umaarufu wake wengi walikimbia Dar na kufunga biashara zao

Kwa sababu ya kumuogopa Makonda, maduka, mahoteli, yalifungwa Kwa kumkimbia Makonda, labda alijua atakuwa mkuu wa mkoa milele inasemekana hata viongozi wa juu yake hakuwa akiwapa heshima yao Kwa sababu tu alikuwa na mawasiliano ya Moja Kwa Moja na JPM.

Hicho ndio kinamgharimu Leo, walioshika madaraka ni wale alikuwa akiwadharau sana wakati ule wa mwendazake pamoja na yote Mimi naamini tayari amejifunza na tusimuache apotelee kusikojulikana umri wa Makonda bado ni mdogo Sana , mamlaka imsamehe na impe nafasi nyingine. Mimi na mwamini na nimemiss sana heka heka za Paulo, mamlaka imesamehe huyu mwamba asimame Tena awatumikie watanzania na abadilike

Mimi mganguzi namwombea msamaha Paulo Makonda, natamani kumuona Tena katika uongozi na majukumu ya kitaifa, bado ni mtoto na ni kijana, huenda Kuna makosa aliyafanya Kwa sababu ya mihemuko ya ujana.

Naamini amekuwa naiomba mamlaka imkumbuke bado ni mbegu changa tusimzike ila tumfufue na kumfunda Ili aendelee kuitumikia nchi yetu. Narudia Tena namwombea msamaha Paulo Makonda Kwa yote yaliyopelekea apotelee kusikojulikana

Mimi mganguzi kazi yangu ni kuganga Kila jeraha
Umetueleza mengi lakini hujasema sifa yake kubwa kuwa ni "Opportunist".
 
Mimi Makonda ni mdogo wangu kiumri na hata kiutumishi. Nilikuwepo wakati akihudumu kama mkuu wa mkoa wa Dar. Ni kijana shupavu asiyeyumba katika jambo analoliamini.

Makonda alisaidia sana Jiji la dar kuwa salama alikimbizana Sana na wauza madawa pamoja na waliotelekeza watoto. alilimudu Jiji kwelikweli alikuwa mbabe na wakati mwingine mnyenyekevu.

Hotuba zake zilikuwa za kiume kweli kweli mamlaka yake ilimfanya avuke mipaka na kuwa mtu wa amri na visasi Makonda akiamua kumsakama mtu alikuwa haangalii cheo chake au umaarufu wake wengi walikimbia Dar na kufunga biashara zao

Kwa sababu ya kumuogopa Makonda, maduka, mahoteli, yalifungwa Kwa kumkimbia Makonda, labda alijua atakuwa mkuu wa mkoa milele inasemekana hata viongozi wa juu yake hakuwa akiwapa heshima yao Kwa sababu tu alikuwa na mawasiliano ya Moja Kwa Moja na JPM.

Hicho ndio kinamgharimu Leo, walioshika madaraka ni wale alikuwa akiwadharau sana wakati ule wa mwendazake pamoja na yote Mimi naamini tayari amejifunza na tusimuache apotelee kusikojulikana umri wa Makonda bado ni mdogo Sana , mamlaka imsamehe na impe nafasi nyingine. Mimi na mwamini na nimemiss sana heka heka za Paulo, mamlaka imesamehe huyu mwamba asimame Tena awatumikie watanzania na abadilike

Mimi mganguzi namwombea msamaha Paulo Makonda, natamani kumuona Tena katika uongozi na majukumu ya kitaifa, bado ni mtoto na ni kijana, huenda Kuna makosa aliyafanya Kwa sababu ya mihemuko ya ujana.

Naamini amekuwa naiomba mamlaka imkumbuke bado ni mbegu changa tusimzike ila tumfufue na kumfunda Ili aendelee kuitumikia nchi yetu. Narudia Tena namwombea msamaha Paulo Makonda Kwa yote yaliyopelekea apotelee kusikojulikana

Mimi mganguzi kazi yangu ni kuganga Kila jeraha
Kuna siku makosa yake yakiwekwa hadharani hapa kuna watu watakimbia wakose pa kujificha... Kwanza mpaka sasa keshahurumiwa na kusamehewa sana ndio maana hayuko gerezani
Bado taifa lina vijana wengine shupavu na weledi kuliko yeye mara mia zaidi hawa ndio wakupewa nafasi na si wale wenye kashfa za kila aina

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi Makonda ni mdogo wangu kiumri na hata kiutumishi. Nilikuwepo wakati akihudumu kama mkuu wa mkoa wa Dar. Ni kijana shupavu asiyeyumba katika jambo analoliamini.

Makonda alisaidia sana Jiji la dar kuwa salama alikimbizana Sana na wauza madawa pamoja na waliotelekeza watoto. alilimudu Jiji kwelikweli alikuwa mbabe na wakati mwingine mnyenyekevu.

Hotuba zake zilikuwa za kiume kweli kweli mamlaka yake ilimfanya avuke mipaka na kuwa mtu wa amri na visasi Makonda akiamua kumsakama mtu alikuwa haangalii cheo chake au umaarufu wake wengi walikimbia Dar na kufunga biashara zao

Kwa sababu ya kumuogopa Makonda, maduka, mahoteli, yalifungwa Kwa kumkimbia Makonda, labda alijua atakuwa mkuu wa mkoa milele inasemekana hata viongozi wa juu yake hakuwa akiwapa heshima yao Kwa sababu tu alikuwa na mawasiliano ya Moja Kwa Moja na JPM.

Hicho ndio kinamgharimu Leo, walioshika madaraka ni wale alikuwa akiwadharau sana wakati ule wa mwendazake pamoja na yote Mimi naamini tayari amejifunza na tusimuache apotelee kusikojulikana umri wa Makonda bado ni mdogo Sana , mamlaka imsamehe na impe nafasi nyingine. Mimi na mwamini na nimemiss sana heka heka za Paulo, mamlaka imesamehe huyu mwamba asimame Tena awatumikie watanzania na abadilike

Mimi mganguzi namwombea msamaha Paulo Makonda, natamani kumuona Tena katika uongozi na majukumu ya kitaifa, bado ni mtoto na ni kijana, huenda Kuna makosa aliyafanya Kwa sababu ya mihemuko ya ujana.

Naamini amekuwa naiomba mamlaka imkumbuke bado ni mbegu changa tusimzike ila tumfufue na kumfunda Ili aendelee kuitumikia nchi yetu. Narudia Tena namwombea msamaha Paulo Makonda Kwa yote yaliyopelekea apotelee kusikojulikana

Mimi mganguzi kazi yangu ni kuganga Kila jeraha
Kwenye nchi za kueleweka uko duniani hata kuwa na raia jamii ya makonda tu ni kero kubwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi Makonda ni mdogo wangu kiumri na hata kiutumishi. Nilikuwepo wakati akihudumu kama mkuu wa mkoa wa Dar. Ni kijana shupavu asiyeyumba katika jambo analoliamini.

Makonda alisaidia sana Jiji la dar kuwa salama alikimbizana Sana na wauza madawa pamoja na waliotelekeza watoto. alilimudu Jiji kwelikweli alikuwa mbabe na wakati mwingine mnyenyekevu.

Hotuba zake zilikuwa za kiume kweli kweli mamlaka yake ilimfanya avuke mipaka na kuwa mtu wa amri na visasi Makonda akiamua kumsakama mtu alikuwa haangalii cheo chake au umaarufu wake wengi walikimbia Dar na kufunga biashara zao

Kwa sababu ya kumuogopa Makonda, maduka, mahoteli, yalifungwa Kwa kumkimbia Makonda, labda alijua atakuwa mkuu wa mkoa milele inasemekana hata viongozi wa juu yake hakuwa akiwapa heshima yao Kwa sababu tu alikuwa na mawasiliano ya Moja Kwa Moja na JPM.

Hicho ndio kinamgharimu Leo, walioshika madaraka ni wale alikuwa akiwadharau sana wakati ule wa mwendazake pamoja na yote Mimi naamini tayari amejifunza na tusimuache apotelee kusikojulikana umri wa Makonda bado ni mdogo Sana , mamlaka imsamehe na impe nafasi nyingine. Mimi na mwamini na nimemiss sana heka heka za Paulo, mamlaka imesamehe huyu mwamba asimame Tena awatumikie watanzania na abadilike

Mimi mganguzi namwombea msamaha Paulo Makonda, natamani kumuona Tena katika uongozi na majukumu ya kitaifa, bado ni mtoto na ni kijana, huenda Kuna makosa aliyafanya Kwa sababu ya mihemuko ya ujana.

Naamini amekuwa naiomba mamlaka imkumbuke bado ni mbegu changa tusimzike ila tumfufue na kumfunda Ili aendelee kuitumikia nchi yetu. Narudia Tena namwombea msamaha Paulo Makonda Kwa yote yaliyopelekea apotelee kusikojulikana

Mimi mganguzi kazi yangu ni kuganga Kila jeraha
Ukiona threads kama hizi ujue soon kuna teuzi zitatolewa..stay tune watu wa kitengo huwa na namna nyingi za kutoa info.

#MaendeleoHayanaChama
 
Sabaya nae ni mdogo wangu lakini yupo Jela akipambana na kesi hewa ;

Sasa sijui unasemaje kuhusiana na hilo ambapo huyu yeye anaombewasamaha mitandaoni na sio akiwa huko kama sabaya.

Hii ndio tuite double standards au??
 
Back
Top Bottom