Namwombea msamaha Paul Makonda, ni damu changa iliyozikwa mapema

Namwombea msamaha Paul Makonda, ni damu changa iliyozikwa mapema

Mimi sio chawa ila natamani kumuona Tena katika majukumu ya kulitumikia taifa
Yeye pekee nchi hii ndo mwenye uwezo wa kulitumikia taifa?

Kama ni ujana ndiyo uliokuwa unamsumbua mbona kuna vijana wadogo zaidi yale tena walipewa majukumu makubwa ya uwaziri na hawakufanya alichokifanya.
 
Mimi Makonda ni mdogo wangu kiumri na hata kiutumishi. Nilikuwepo wakati akihudumu kama mkuu wa mkoa wa Dar. Ni kijana shupavu asiyeyumba katika jambo analoliamini.

Makonda alisaidia sana Jiji la Dar kuwa salama alikimbizana Sana na wauza madawa pamoja na waliotelekeza watoto. Alilimudu Jiji kwelikweli alikuwa mbabe na wakati mwingine mnyenyekevu.

Hotuba zake zilikuwa za kiume kweli kweli mamlaka yake ilimfanya avuke mipaka na kuwa mtu wa amri na visasi Makonda akiamua kumsakama mtu alikuwa haangalii cheo chake au umaarufu wake wengi walikimbia Dar na kufunga biashara zao

Kwa sababu ya kumuogopa Makonda, maduka, mahoteli, yalifungwa Kwa kumkimbia Makonda, labda alijua atakuwa mkuu wa mkoa milele inasemekana hata viongozi wa juu yake hakuwa akiwapa heshima yao Kwa sababu tu alikuwa na mawasiliano ya Moja Kwa Moja na JPM.

Hicho ndio kinamgharimu Leo, walioshika madaraka ni wale alikuwa akiwadharau sana wakati ule wa mwendazake pamoja na yote Mimi naamini tayari amejifunza na tusimuache apotelee kusikojulikana umri wa Makonda bado ni mdogo Sana , mamlaka imsamehe na impe nafasi nyingine. Mimi na mwamini na nimemiss sana heka heka za Paulo, mamlaka imesamehe huyu mwamba asimame Tena awatumikie watanzania na abadilike

Mimi mganguzi namwombea msamaha Paulo Makonda, natamani kumuona Tena katika uongozi na majukumu ya kitaifa, bado ni mtoto na ni kijana, huenda Kuna makosa aliyafanya Kwa sababu ya mihemuko ya ujana.

Naamini amekuwa naiomba mamlaka imkumbuke bado ni mbegu changa tusimzike ila tumfufue na kumfunda Ili aendelee kuitumikia nchi yetu. Narudia Tena namwombea msamaha Paulo Makonda Kwa yote yaliyopelekea apotelee kusikojulikana

Mimi mganguzi kazi yangu ni kuganga Kila jeraha
1660301543097.png

Kafufue hawa halafu uje! Angalia vizuri hapo Albert Bashite unamuona?
 
Mimi Makonda ni mdogo wangu kiumri na hata kiutumishi. Nilikuwepo wakati akihudumu kama mkuu wa mkoa wa Dar. Ni kijana shupavu asiyeyumba katika jambo analoliamini.

Makonda alisaidia sana Jiji la Dar kuwa salama alikimbizana Sana na wauza madawa pamoja na waliotelekeza watoto. Alilimudu Jiji kwelikweli alikuwa mbabe na wakati mwingine mnyenyekevu.

Hotuba zake zilikuwa za kiume kweli kweli mamlaka yake ilimfanya avuke mipaka na kuwa mtu wa amri na visasi Makonda akiamua kumsakama mtu alikuwa haangalii cheo chake au umaarufu wake wengi walikimbia Dar na kufunga biashara zao

Kwa sababu ya kumuogopa Makonda, maduka, mahoteli, yalifungwa Kwa kumkimbia Makonda, labda alijua atakuwa mkuu wa mkoa milele inasemekana hata viongozi wa juu yake hakuwa akiwapa heshima yao Kwa sababu tu alikuwa na mawasiliano ya Moja Kwa Moja na JPM.

Hicho ndio kinamgharimu Leo, walioshika madaraka ni wale alikuwa akiwadharau sana wakati ule wa mwendazake pamoja na yote Mimi naamini tayari amejifunza na tusimuache apotelee kusikojulikana umri wa Makonda bado ni mdogo Sana , mamlaka imsamehe na impe nafasi nyingine. Mimi na mwamini na nimemiss sana heka heka za Paulo, mamlaka imesamehe huyu mwamba asimame Tena awatumikie watanzania na abadilike

Mimi mganguzi namwombea msamaha Paulo Makonda, natamani kumuona Tena katika uongozi na majukumu ya kitaifa, bado ni mtoto na ni kijana, huenda Kuna makosa aliyafanya Kwa sababu ya mihemuko ya ujana.

Naamini amekuwa naiomba mamlaka imkumbuke bado ni mbegu changa tusimzike ila tumfufue na kumfunda Ili aendelee kuitumikia nchi yetu. Narudia Tena namwombea msamaha Paulo Makonda Kwa yote yaliyopelekea apotelee kusikojulikana

Mimi mganguzi kazi yangu ni kuganga Kila jeraha
unaomba msamaha kwa ajili ya ben saa8 au risasi kwa tundulisu au kwa ajili ya kipi?
kati ya wajinga wasiostahili kuwepo kwenye utumishi wa umma bashite ni mmoja wapo. nafikiri hata maza ameliona hilo na siku akimrudisha ndio atajua kama ni liability kwake. kwasababu majority hawataki kusikia hicho kitu. sauti ya wengi iheshimiwe.
 
Sema ni "Madam" mmoja anamlinda huyu mwendawazimu alitakiwa kuwa eneo chafu sana kutokana na mambo machafu sana aliyoyafanya tena jambazi sabaya angeonekana ana nafuu! Ila siku zaja atakuwa ktk mikono ya watesi wake!
 
Hali ya usalama kwa Dar sio nzuri na raia wanaishi kwa mashaka mithili ya raia wa Ukraine waliopo kwenye vita vikali.

Makonda yupo serious na maisha ya wananchi wake ndio maana alipambana kukaboliana uhalifu wa kila namna.

Sasa ni wakati muafaka kumshawishi mama yetu Rais Samia amrejeshe Jembe mchapakazi Paul Makonda.
 
Watu wengine sijui wana akili gani, yaani mtu alishalaaniwa kwa kuwa kinara wa genge la mauaji la wasiojulikana na kuna watu amewaua na wengine amejeruhi wewe bado unamsifia tu muuaji kama huyo, hadi Marekani wamempiga marufuku kukanyaga ardhi yao..!!

Wewe ni mtu moja wa hovyo na mpumbavu wa kutupwa. Bure kabisa.
 
Hali ya usalama kwa Dar sio nzuri na raia wanaishi kwa mashaka mithili ya raia wa Ukraine waliopo kwenye vita vikali.

Makonda yupo serious na maisha ya wananchi wake ndio maana alipambana kukaboliana uhalifu wa kila namna.

Sasa ni wakati muafaka kumshawishi mama yetu Rais Samia amrejeshe Jembe mchapakazi Paul Makonda.
BullSh...
T!
 
Kwanini usianzie Kilimanjaro ukaandamana bwana General akafutiwa kesi na kuteuliwa ukuu wa wiraya Hai?[emoji848]
 
Hali ya usalama kwa Dar sio nzuri na raia wanaishi kwa mashaka mithili ya raia wa Ukraine waliopo kwenye vita vikali.

Makonda yupo serious na maisha ya wananchi wake ndio maana alipambana kukaboliana uhalifu wa kila namna.

Sasa ni wakati muafaka kumshawishi mama yetu Rais Samia amrejeshe Jembe mchapakazi Paul Makonda.
Buda huwa unahangaika sana na konda boy
 
Hali ya usalama kwa Dar sio nzuri na raia wanaishi kwa mashaka mithili ya raia wa Ukraine waliopo kwenye vita vikali.

Makonda yupo serious na maisha ya wananchi wake ndio maana alipambana kukaboliana uhalifu wa kila namna.

Sasa ni wakati muafaka kumshawishi mama yetu Rais Samia amrejeshe Jembe mchapakazi Paul Makonda.
Kiukweli Mama ni msikivu mno. Wananchi walimlilia Kamanda Muliro akamleta. Sasa hivi tukimlilia Makonda atamleta tu! Mama tunamuomba Makonda arudi kuwa RC wa Dar es Salaam! Sikia kilio chetu Mama!!
 
Kama lipo la kumkumbusha Samia, ni kuagiza serikali imfungulie makonda mashtaka ya jinai uhujumu uchumi nk, sawa na Sabaya.

Seikali imekuwa na kigugumizi katika hili hadi watu tunahisi mengine yasiyofaa
 
Back
Top Bottom