Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi sio chawa ila natamani kumuona Tena katika majukumu ya kulitumikia taifa
Atoke hadharani yeye si ana mdomo yule na sio bubu,aseme alishiriki kukatisha uhai wa watu wangapi na nani alimtuma ndio mengine yatafuata.Mimi Makonda ni mdogo wangu kiumri na hata kiutumishi. Nilikuwepo wakati akihudumu kama mkuu wa mkoa wa Dar. Ni kijana shupavu asiyeyumba katika jambo analoliamini.
Makonda alisaidia sana Jiji la Dar kuwa salama alikimbizana Sana na wauza madawa pamoja na waliotelekeza watoto. Alilimudu Jiji kwelikweli alikuwa mbabe na wakati mwingine mnyenyekevu.
Hotuba zake zilikuwa za kiume kweli kweli mamlaka yake ilimfanya avuke mipaka na kuwa mtu wa amri na visasi Makonda akiamua kumsakama mtu alikuwa haangalii cheo chake au umaarufu wake wengi walikimbia Dar na kufunga biashara zao
Kwa sababu ya kumuogopa Makonda, maduka, mahoteli, yalifungwa Kwa kumkimbia Makonda, labda alijua atakuwa mkuu wa mkoa milele inasemekana hata viongozi wa juu yake hakuwa akiwapa heshima yao Kwa sababu tu alikuwa na mawasiliano ya Moja Kwa Moja na JPM.
Hicho ndio kinamgharimu Leo, walioshika madaraka ni wale alikuwa akiwadharau sana wakati ule wa mwendazake pamoja na yote Mimi naamini tayari amejifunza na tusimuache apotelee kusikojulikana umri wa Makonda bado ni mdogo Sana , mamlaka imsamehe na impe nafasi nyingine. Mimi na mwamini na nimemiss sana heka heka za Paulo, mamlaka imesamehe huyu mwamba asimame Tena awatumikie watanzania na abadilike
Mimi mganguzi namwombea msamaha Paulo Makonda, natamani kumuona Tena katika uongozi na majukumu ya kitaifa, bado ni mtoto na ni kijana, huenda Kuna makosa aliyafanya Kwa sababu ya mihemuko ya ujana.
Naamini amekuwa naiomba mamlaka imkumbuke bado ni mbegu changa tusimzike ila tumfufue na kumfunda Ili aendelee kuitumikia nchi yetu. Narudia Tena namwombea msamaha Paulo Makonda Kwa yote yaliyopelekea apotelee kusikojulikana
Mimi mganguzi kazi yangu ni kuganga Kila jeraha
Wapo wengi sana wanaofaa kuliko yeye.Mimi Makonda ni mdogo wangu kiumri na hata kiutumishi. Nilikuwepo wakati akihudumu kama mkuu wa mkoa wa Dar. Ni kijana shupavu asiyeyumba katika jambo analoliamini.
Makonda alisaidia sana Jiji la Dar kuwa salama alikimbizana Sana na wauza madawa pamoja na waliotelekeza watoto. Alilimudu Jiji kwelikweli alikuwa mbabe na wakati mwingine mnyenyekevu.
Hotuba zake zilikuwa za kiume kweli kweli mamlaka yake ilimfanya avuke mipaka na kuwa mtu wa amri na visasi Makonda akiamua kumsakama mtu alikuwa haangalii cheo chake au umaarufu wake wengi walikimbia Dar na kufunga biashara zao
Kwa sababu ya kumuogopa Makonda, maduka, mahoteli, yalifungwa Kwa kumkimbia Makonda, labda alijua atakuwa mkuu wa mkoa milele inasemekana hata viongozi wa juu yake hakuwa akiwapa heshima yao Kwa sababu tu alikuwa na mawasiliano ya Moja Kwa Moja na JPM.
Hicho ndio kinamgharimu Leo, walioshika madaraka ni wale alikuwa akiwadharau sana wakati ule wa mwendazake pamoja na yote Mimi naamini tayari amejifunza na tusimuache apotelee kusikojulikana umri wa Makonda bado ni mdogo Sana , mamlaka imsamehe na impe nafasi nyingine. Mimi na mwamini na nimemiss sana heka heka za Paulo, mamlaka imesamehe huyu mwamba asimame Tena awatumikie watanzania na abadilike
Mimi mganguzi namwombea msamaha Paulo Makonda, natamani kumuona Tena katika uongozi na majukumu ya kitaifa, bado ni mtoto na ni kijana, huenda Kuna makosa aliyafanya Kwa sababu ya mihemuko ya ujana.
Naamini amekuwa naiomba mamlaka imkumbuke bado ni mbegu changa tusimzike ila tumfufue na kumfunda Ili aendelee kuitumikia nchi yetu. Narudia Tena namwombea msamaha Paulo Makonda Kwa yote yaliyopelekea apotelee kusikojulikana
Mimi mganguzi kazi yangu ni kuganga Kila jeraha
Hana uwezoHawezi kufanya kazi zingine?
Mikono yake imejaa damu za watu wasiokuwa na hatiaMimi sio chawa ila natamani kumuona Tena katika majukumu ya kulitumikia taifa
Hii mbegu ilioza haikumea! Ilizongwa zongwa na malimwengu ya umaarufu ikakosea na kuharibu udongo ambao ulitakiwa irutibishwe nao. Kupitia mbolea ya kemikali iliyomwagwa na dude moja jina lake kwa kifupi JPM mbegu Hii ilibadilika na kuwa sumu kwenye udongo ule uliotakiwa kuwa nyumba yake. Mbegu hii iliendelea kuumiza viumbe hai walioishi udongoni kama Ben Saa nane (hiki kiumbe kiliuawa kabisa), Tundu lissu (Huyu alijeruhiwa kabisa). Mbegu hii;Makonda ina sumu kali inabidi iondolewa udongoni haraka ili kuacha mazao yaote vizuri. Makonda anatakiwa KUNYONGWA. Tunahitaji kuzitambua hizi sumu zinazoitwa mbegu!Mimi Makonda ni mdogo wangu kiumri na hata kiutumishi. Nilikuwepo wakati akihudumu kama mkuu wa mkoa wa Dar. Ni kijana shupavu asiyeyumba katika jambo analoliamini.
Makonda alisaidia sana Jiji la Dar kuwa salama alikimbizana Sana na wauza madawa pamoja na waliotelekeza watoto. Alilimudu Jiji kwelikweli alikuwa mbabe na wakati mwingine mnyenyekevu.
Hotuba zake zilikuwa za kiume kweli kweli mamlaka yake ilimfanya avuke mipaka na kuwa mtu wa amri na visasi Makonda akiamua kumsakama mtu alikuwa haangalii cheo chake au umaarufu wake wengi walikimbia Dar na kufunga biashara zao
Kwa sababu ya kumuogopa Makonda, maduka, mahoteli, yalifungwa Kwa kumkimbia Makonda, labda alijua atakuwa mkuu wa mkoa milele inasemekana hata viongozi wa juu yake hakuwa akiwapa heshima yao Kwa sababu tu alikuwa na mawasiliano ya Moja Kwa Moja na JPM.
Hicho ndio kinamgharimu Leo, walioshika madaraka ni wale alikuwa akiwadharau sana wakati ule wa mwendazake pamoja na yote Mimi naamini tayari amejifunza na tusimuache apotelee kusikojulikana umri wa Makonda bado ni mdogo Sana , mamlaka imsamehe na impe nafasi nyingine. Mimi na mwamini na nimemiss sana heka heka za Paulo, mamlaka imesamehe huyu mwamba asimame Tena awatumikie watanzania na abadilike
Mimi mganguzi namwombea msamaha Paulo Makonda, natamani kumuona Tena katika uongozi na majukumu ya kitaifa, bado ni mtoto na ni kijana, huenda Kuna makosa aliyafanya Kwa sababu ya mihemuko ya ujana.
Naamini amekuwa naiomba mamlaka imkumbuke bado ni mbegu changa tusimzike ila tumfufue na kumfunda Ili aendelee kuitumikia nchi yetu. Narudia Tena namwombea msamaha Paulo Makonda Kwa yote yaliyopelekea apotelee kusikojulikana
Mimi mganguzi kazi yangu ni kuganga Kila jeraha
Ndo uchawa wenyeweMimi sio chawa ila natamani kumuona Tena katika majukumu ya kulitumikia taifa
Taifa gani labda aende huko kwenu Burundi, Watanzania Bwana, hivi hamzionei Huruma Roho za marehemu zilizopotea na madhira ambayo wananchi wameyapitia kutokana watu hawa?. tunahitaji kujenga Tanzania ya watu waliostarabika. yanayotokea kwenye uchaguzi wa Kenya yatufunze na kutuondoa kwenye hizi fikira duni tulizonazo. na hili siyo kwake tu bali hata viongozi wengine linawahusu, na kuwa unaweza kuwa kiongozi bora bila kufanya Dhulma kama viongozi wetu wengi wanavyofikiria au kujificha kwenye kivuli cha Uzalendo.Mimi sio chawa ila natamani kumuona Tena katika majukumu ya kulitumikia taifa
Katika hii dunia usijaribu kuwadhalilisha watu wenye umri mkubwa wanaoitwa wazee !! Fanya yote lakini usijaribu kuwadhalilisha wazee eti kwa sababu tu wewe unao uwezo wa kufanya hivyo !! Ukifanya ujue you gonna pay very big price !!Mimi Makonda ni mdogo wangu kiumri na hata kiutumishi. Nilikuwepo wakati akihudumu kama mkuu wa mkoa wa Dar. Ni kijana shupavu asiyeyumba katika jambo analoliamini.
Makonda alisaidia sana Jiji la Dar kuwa salama alikimbizana Sana na wauza madawa pamoja na waliotelekeza watoto. Alilimudu Jiji kwelikweli alikuwa mbabe na wakati mwingine mnyenyekevu.
Hotuba zake zilikuwa za kiume kweli kweli mamlaka yake ilimfanya avuke mipaka na kuwa mtu wa amri na visasi Makonda akiamua kumsakama mtu alikuwa haangalii cheo chake au umaarufu wake wengi walikimbia Dar na kufunga biashara zao
Kwa sababu ya kumuogopa Makonda, maduka, mahoteli, yalifungwa Kwa kumkimbia Makonda, labda alijua atakuwa mkuu wa mkoa milele inasemekana hata viongozi wa juu yake hakuwa akiwapa heshima yao Kwa sababu tu alikuwa na mawasiliano ya Moja Kwa Moja na JPM.
Hicho ndio kinamgharimu Leo, walioshika madaraka ni wale alikuwa akiwadharau sana wakati ule wa mwendazake pamoja na yote Mimi naamini tayari amejifunza na tusimuache apotelee kusikojulikana umri wa Makonda bado ni mdogo Sana , mamlaka imsamehe na impe nafasi nyingine. Mimi na mwamini na nimemiss sana heka heka za Paulo, mamlaka imesamehe huyu mwamba asimame Tena awatumikie watanzania na abadilike
Mimi mganguzi namwombea msamaha Paulo Makonda, natamani kumuona Tena katika uongozi na majukumu ya kitaifa, bado ni mtoto na ni kijana, huenda Kuna makosa aliyafanya Kwa sababu ya mihemuko ya ujana.
Naamini amekuwa naiomba mamlaka imkumbuke bado ni mbegu changa tusimzike ila tumfufue na kumfunda Ili aendelee kuitumikia nchi yetu. Narudia Tena namwombea msamaha Paulo Makonda Kwa yote yaliyopelekea apotelee kusikojulikana
Mimi mganguzi kazi yangu ni kuganga Kila jeraha
Let them do what suits them lakini ukweli utabaki kuwa ukweli tu !! Kama alikuwa muovu atalipwa tu kwa maovu aliyoyatenda !Ukiona threads kama hizi ujue soon kuna teuzi zitatolewa..stay tune watu wa kitengo huwa na namna nyingi za kutoa info.
#MaendeleoHayanaChama
Mpaka umeamua kumwombea Msamaha hebu YASEME Matendo yote MABAYA aliyoyatenda MAKONDA yakiwemo ya Utekaji Uuaji Ubambikiaji Kesi Uboraji Fedha za WahindiMimi Makonda ni mdogo wangu kiumri na hata kiutumishi. Nilikuwepo wakati akihudumu kama mkuu wa mkoa wa Dar. Ni kijana shupavu asiyeyumba katika jambo analoliamini.
Makonda alisaidia sana Jiji la Dar kuwa salama alikimbizana Sana na wauza madawa pamoja na waliotelekeza watoto. Alilimudu Jiji kwelikweli alikuwa mbabe na wakati mwingine mnyenyekevu.
Hotuba zake zilikuwa za kiume kweli kweli mamlaka yake ilimfanya avuke mipaka na kuwa mtu wa amri na visasi Makonda akiamua kumsakama mtu alikuwa haangalii cheo chake au umaarufu wake wengi walikimbia Dar na kufunga biashara zao
Kwa sababu ya kumuogopa Makonda, maduka, mahoteli, yalifungwa Kwa kumkimbia Makonda, labda alijua atakuwa mkuu wa mkoa milele inasemekana hata viongozi wa juu yake hakuwa akiwapa heshima yao Kwa sababu tu alikuwa na mawasiliano ya Moja Kwa Moja na JPM.
Hicho ndio kinamgharimu Leo, walioshika madaraka ni wale alikuwa akiwadharau sana wakati ule wa mwendazake pamoja na yote Mimi naamini tayari amejifunza na tusimuache apotelee kusikojulikana umri wa Makonda bado ni mdogo Sana , mamlaka imsamehe na impe nafasi nyingine. Mimi na mwamini na nimemiss sana heka heka za Paulo, mamlaka imesamehe huyu mwamba asimame Tena awatumikie watanzania na abadilike
Mimi mganguzi namwombea msamaha Paulo Makonda, natamani kumuona Tena katika uongozi na majukumu ya kitaifa, bado ni mtoto na ni kijana, huenda Kuna makosa aliyafanya Kwa sababu ya mihemuko ya ujana.
Naamini amekuwa naiomba mamlaka imkumbuke bado ni mbegu changa tusimzike ila tumfufue na kumfunda Ili aendelee kuitumikia nchi yetu. Narudia Tena namwombea msamaha Paulo Makonda Kwa yote yaliyopelekea apotelee kusikojulikana
Mimi mganguzi kazi yangu ni kuganga Kila jeraha