Namwombea msamaha Paul Makonda, ni damu changa iliyozikwa mapema

Namwombea msamaha Paul Makonda, ni damu changa iliyozikwa mapema

Mimi ninavyojua ni kuwa alikwenda kujaribu bahati yake Kigamboni kikaumana...sasa msamaha unaombwa kwa nani?. kwani angefanikiwa saa hii si angekuwa Mbunge.
 
Huyo anatakiwa akamatwe
Kwa kufoji chetu
Haiwezekani wengine wafukuzwe yeye abaki na wewe ndiye mwenyewe
 
Mimi Makonda ni mdogo wangu kiumri na hata kiutumishi. Nilikuwepo wakati akihudumu kama mkuu wa mkoa wa Dar. Ni kijana shupavu asiyeyumba katika jambo analoliamini.

Makonda alisaidia sana Jiji la Dar kuwa salama alikimbizana Sana na wauza madawa pamoja na waliotelekeza watoto. Alilimudu Jiji kwelikweli alikuwa mbabe na wakati mwingine mnyenyekevu.

Hotuba zake zilikuwa za kiume kweli kweli mamlaka yake ilimfanya avuke mipaka na kuwa mtu wa amri na visasi Makonda akiamua kumsakama mtu alikuwa haangalii cheo chake au umaarufu wake wengi walikimbia Dar na kufunga biashara zao

Kwa sababu ya kumuogopa Makonda, maduka, mahoteli, yalifungwa Kwa kumkimbia Makonda, labda alijua atakuwa mkuu wa mkoa milele inasemekana hata viongozi wa juu yake hakuwa akiwapa heshima yao Kwa sababu tu alikuwa na mawasiliano ya Moja Kwa Moja na JPM.

Hicho ndio kinamgharimu Leo, walioshika madaraka ni wale alikuwa akiwadharau sana wakati ule wa mwendazake pamoja na yote Mimi naamini tayari amejifunza na tusimuache apotelee kusikojulikana umri wa Makonda bado ni mdogo Sana , mamlaka imsamehe na impe nafasi nyingine. Mimi na mwamini na nimemiss sana heka heka za Paulo, mamlaka imesamehe huyu mwamba asimame Tena awatumikie watanzania na abadilike

Mimi mganguzi namwombea msamaha Paulo Makonda, natamani kumuona Tena katika uongozi na majukumu ya kitaifa, bado ni mtoto na ni kijana, huenda Kuna makosa aliyafanya Kwa sababu ya mihemuko ya ujana.

Naamini amekuwa naiomba mamlaka imkumbuke bado ni mbegu changa tusimzike ila tumfufue na kumfunda Ili aendelee kuitumikia nchi yetu. Narudia Tena namwombea msamaha Paulo Makonda Kwa yote yaliyopelekea apotelee kusikojulikana

Mimi mganguzi kazi yangu ni kuganga Kila jeraha
Atoke hadharani yeye si ana mdomo yule na sio bubu,aseme alishiriki kukatisha uhai wa watu wangapi na nani alimtuma ndio mengine yatafuata.
 
Hili taifa halitegemei mtu mmoja au watu kumi, lina watu wengi wa kufanya kazi. Huyo
mtu wako mwambie akalime bustani.
 
Mimi Makonda ni mdogo wangu kiumri na hata kiutumishi. Nilikuwepo wakati akihudumu kama mkuu wa mkoa wa Dar. Ni kijana shupavu asiyeyumba katika jambo analoliamini.

Makonda alisaidia sana Jiji la Dar kuwa salama alikimbizana Sana na wauza madawa pamoja na waliotelekeza watoto. Alilimudu Jiji kwelikweli alikuwa mbabe na wakati mwingine mnyenyekevu.

Hotuba zake zilikuwa za kiume kweli kweli mamlaka yake ilimfanya avuke mipaka na kuwa mtu wa amri na visasi Makonda akiamua kumsakama mtu alikuwa haangalii cheo chake au umaarufu wake wengi walikimbia Dar na kufunga biashara zao

Kwa sababu ya kumuogopa Makonda, maduka, mahoteli, yalifungwa Kwa kumkimbia Makonda, labda alijua atakuwa mkuu wa mkoa milele inasemekana hata viongozi wa juu yake hakuwa akiwapa heshima yao Kwa sababu tu alikuwa na mawasiliano ya Moja Kwa Moja na JPM.

Hicho ndio kinamgharimu Leo, walioshika madaraka ni wale alikuwa akiwadharau sana wakati ule wa mwendazake pamoja na yote Mimi naamini tayari amejifunza na tusimuache apotelee kusikojulikana umri wa Makonda bado ni mdogo Sana , mamlaka imsamehe na impe nafasi nyingine. Mimi na mwamini na nimemiss sana heka heka za Paulo, mamlaka imesamehe huyu mwamba asimame Tena awatumikie watanzania na abadilike

Mimi mganguzi namwombea msamaha Paulo Makonda, natamani kumuona Tena katika uongozi na majukumu ya kitaifa, bado ni mtoto na ni kijana, huenda Kuna makosa aliyafanya Kwa sababu ya mihemuko ya ujana.

Naamini amekuwa naiomba mamlaka imkumbuke bado ni mbegu changa tusimzike ila tumfufue na kumfunda Ili aendelee kuitumikia nchi yetu. Narudia Tena namwombea msamaha Paulo Makonda Kwa yote yaliyopelekea apotelee kusikojulikana

Mimi mganguzi kazi yangu ni kuganga Kila jeraha
Wapo wengi sana wanaofaa kuliko yeye.
 
Mimi Makonda ni mdogo wangu kiumri na hata kiutumishi. Nilikuwepo wakati akihudumu kama mkuu wa mkoa wa Dar. Ni kijana shupavu asiyeyumba katika jambo analoliamini.

Makonda alisaidia sana Jiji la Dar kuwa salama alikimbizana Sana na wauza madawa pamoja na waliotelekeza watoto. Alilimudu Jiji kwelikweli alikuwa mbabe na wakati mwingine mnyenyekevu.

Hotuba zake zilikuwa za kiume kweli kweli mamlaka yake ilimfanya avuke mipaka na kuwa mtu wa amri na visasi Makonda akiamua kumsakama mtu alikuwa haangalii cheo chake au umaarufu wake wengi walikimbia Dar na kufunga biashara zao

Kwa sababu ya kumuogopa Makonda, maduka, mahoteli, yalifungwa Kwa kumkimbia Makonda, labda alijua atakuwa mkuu wa mkoa milele inasemekana hata viongozi wa juu yake hakuwa akiwapa heshima yao Kwa sababu tu alikuwa na mawasiliano ya Moja Kwa Moja na JPM.

Hicho ndio kinamgharimu Leo, walioshika madaraka ni wale alikuwa akiwadharau sana wakati ule wa mwendazake pamoja na yote Mimi naamini tayari amejifunza na tusimuache apotelee kusikojulikana umri wa Makonda bado ni mdogo Sana , mamlaka imsamehe na impe nafasi nyingine. Mimi na mwamini na nimemiss sana heka heka za Paulo, mamlaka imesamehe huyu mwamba asimame Tena awatumikie watanzania na abadilike

Mimi mganguzi namwombea msamaha Paulo Makonda, natamani kumuona Tena katika uongozi na majukumu ya kitaifa, bado ni mtoto na ni kijana, huenda Kuna makosa aliyafanya Kwa sababu ya mihemuko ya ujana.

Naamini amekuwa naiomba mamlaka imkumbuke bado ni mbegu changa tusimzike ila tumfufue na kumfunda Ili aendelee kuitumikia nchi yetu. Narudia Tena namwombea msamaha Paulo Makonda Kwa yote yaliyopelekea apotelee kusikojulikana

Mimi mganguzi kazi yangu ni kuganga Kila jeraha
Hii mbegu ilioza haikumea! Ilizongwa zongwa na malimwengu ya umaarufu ikakosea na kuharibu udongo ambao ulitakiwa irutibishwe nao. Kupitia mbolea ya kemikali iliyomwagwa na dude moja jina lake kwa kifupi JPM mbegu Hii ilibadilika na kuwa sumu kwenye udongo ule uliotakiwa kuwa nyumba yake. Mbegu hii iliendelea kuumiza viumbe hai walioishi udongoni kama Ben Saa nane (hiki kiumbe kiliuawa kabisa), Tundu lissu (Huyu alijeruhiwa kabisa). Mbegu hii;Makonda ina sumu kali inabidi iondolewa udongoni haraka ili kuacha mazao yaote vizuri. Makonda anatakiwa KUNYONGWA. Tunahitaji kuzitambua hizi sumu zinazoitwa mbegu!
 
Nenda ukawaombe msamaha wale ambao ndugu zao walinyimwa haki ya kuishi.

Makonda aliwanyima baadhi ya watu haki ya kuishi (USA government statement). Ni kauli ambayo haikuwahi kupingwa na mamlaka yoyote ya Tanzania.
 
Mpe kazi kwenye Company Yako ya kuuza nsenene Europe. Naamini kwa sifa hizo ulizo mpamba Nazo kwa kusaidiwa na michwezi wa John Joseph, atakusaidia kukuza mauzo ya biashara Yako.
 
Gwajiboi alitoa muongozo mbona siku ile ana mfuta DAB kwenye ulimwengu wa siasa alimuamuru aombe msamaha kisha ajiuzuru baada ya hapo arudi shule akatafute vyeti vyake kisha arudi atakua katakasika hakuna short cut
 
Mimi sio chawa ila natamani kumuona Tena katika majukumu ya kulitumikia taifa
Taifa gani labda aende huko kwenu Burundi, Watanzania Bwana, hivi hamzionei Huruma Roho za marehemu zilizopotea na madhira ambayo wananchi wameyapitia kutokana watu hawa?. tunahitaji kujenga Tanzania ya watu waliostarabika. yanayotokea kwenye uchaguzi wa Kenya yatufunze na kutuondoa kwenye hizi fikira duni tulizonazo. na hili siyo kwake tu bali hata viongozi wengine linawahusu, na kuwa unaweza kuwa kiongozi bora bila kufanya Dhulma kama viongozi wetu wengi wanavyofikiria au kujificha kwenye kivuli cha Uzalendo.
 
Mimi Makonda ni mdogo wangu kiumri na hata kiutumishi. Nilikuwepo wakati akihudumu kama mkuu wa mkoa wa Dar. Ni kijana shupavu asiyeyumba katika jambo analoliamini.

Makonda alisaidia sana Jiji la Dar kuwa salama alikimbizana Sana na wauza madawa pamoja na waliotelekeza watoto. Alilimudu Jiji kwelikweli alikuwa mbabe na wakati mwingine mnyenyekevu.

Hotuba zake zilikuwa za kiume kweli kweli mamlaka yake ilimfanya avuke mipaka na kuwa mtu wa amri na visasi Makonda akiamua kumsakama mtu alikuwa haangalii cheo chake au umaarufu wake wengi walikimbia Dar na kufunga biashara zao

Kwa sababu ya kumuogopa Makonda, maduka, mahoteli, yalifungwa Kwa kumkimbia Makonda, labda alijua atakuwa mkuu wa mkoa milele inasemekana hata viongozi wa juu yake hakuwa akiwapa heshima yao Kwa sababu tu alikuwa na mawasiliano ya Moja Kwa Moja na JPM.

Hicho ndio kinamgharimu Leo, walioshika madaraka ni wale alikuwa akiwadharau sana wakati ule wa mwendazake pamoja na yote Mimi naamini tayari amejifunza na tusimuache apotelee kusikojulikana umri wa Makonda bado ni mdogo Sana , mamlaka imsamehe na impe nafasi nyingine. Mimi na mwamini na nimemiss sana heka heka za Paulo, mamlaka imesamehe huyu mwamba asimame Tena awatumikie watanzania na abadilike

Mimi mganguzi namwombea msamaha Paulo Makonda, natamani kumuona Tena katika uongozi na majukumu ya kitaifa, bado ni mtoto na ni kijana, huenda Kuna makosa aliyafanya Kwa sababu ya mihemuko ya ujana.

Naamini amekuwa naiomba mamlaka imkumbuke bado ni mbegu changa tusimzike ila tumfufue na kumfunda Ili aendelee kuitumikia nchi yetu. Narudia Tena namwombea msamaha Paulo Makonda Kwa yote yaliyopelekea apotelee kusikojulikana

Mimi mganguzi kazi yangu ni kuganga Kila jeraha
Katika hii dunia usijaribu kuwadhalilisha watu wenye umri mkubwa wanaoitwa wazee !! Fanya yote lakini usijaribu kuwadhalilisha wazee eti kwa sababu tu wewe unao uwezo wa kufanya hivyo !! Ukifanya ujue you gonna pay very big price !!
 
Ukiona threads kama hizi ujue soon kuna teuzi zitatolewa..stay tune watu wa kitengo huwa na namna nyingi za kutoa info.

#MaendeleoHayanaChama
Let them do what suits them lakini ukweli utabaki kuwa ukweli tu !! Kama alikuwa muovu atalipwa tu kwa maovu aliyoyatenda !
 
Mimi Makonda ni mdogo wangu kiumri na hata kiutumishi. Nilikuwepo wakati akihudumu kama mkuu wa mkoa wa Dar. Ni kijana shupavu asiyeyumba katika jambo analoliamini.

Makonda alisaidia sana Jiji la Dar kuwa salama alikimbizana Sana na wauza madawa pamoja na waliotelekeza watoto. Alilimudu Jiji kwelikweli alikuwa mbabe na wakati mwingine mnyenyekevu.

Hotuba zake zilikuwa za kiume kweli kweli mamlaka yake ilimfanya avuke mipaka na kuwa mtu wa amri na visasi Makonda akiamua kumsakama mtu alikuwa haangalii cheo chake au umaarufu wake wengi walikimbia Dar na kufunga biashara zao

Kwa sababu ya kumuogopa Makonda, maduka, mahoteli, yalifungwa Kwa kumkimbia Makonda, labda alijua atakuwa mkuu wa mkoa milele inasemekana hata viongozi wa juu yake hakuwa akiwapa heshima yao Kwa sababu tu alikuwa na mawasiliano ya Moja Kwa Moja na JPM.

Hicho ndio kinamgharimu Leo, walioshika madaraka ni wale alikuwa akiwadharau sana wakati ule wa mwendazake pamoja na yote Mimi naamini tayari amejifunza na tusimuache apotelee kusikojulikana umri wa Makonda bado ni mdogo Sana , mamlaka imsamehe na impe nafasi nyingine. Mimi na mwamini na nimemiss sana heka heka za Paulo, mamlaka imesamehe huyu mwamba asimame Tena awatumikie watanzania na abadilike

Mimi mganguzi namwombea msamaha Paulo Makonda, natamani kumuona Tena katika uongozi na majukumu ya kitaifa, bado ni mtoto na ni kijana, huenda Kuna makosa aliyafanya Kwa sababu ya mihemuko ya ujana.

Naamini amekuwa naiomba mamlaka imkumbuke bado ni mbegu changa tusimzike ila tumfufue na kumfunda Ili aendelee kuitumikia nchi yetu. Narudia Tena namwombea msamaha Paulo Makonda Kwa yote yaliyopelekea apotelee kusikojulikana

Mimi mganguzi kazi yangu ni kuganga Kila jeraha
Mpaka umeamua kumwombea Msamaha hebu YASEME Matendo yote MABAYA aliyoyatenda MAKONDA yakiwemo ya Utekaji Uuaji Ubambikiaji Kesi Uboraji Fedha za Wahindi
Kujimilikisha Viwanja vya Wahindi Kunyang'Anya Magari mazuri ya Wafanyabiashara
Kudhalilisha Watu akiwemo Mzee Lowassa kuwataja kwa Uongo wauza Madawa Kumpiga Makofi Mzee Warioba n.k
 
Back
Top Bottom