Nani alitarajia kina Halima Mdee wangesaliti vyama vyao?

Nani alitarajia kina Halima Mdee wangesaliti vyama vyao?

Siasa za kweli na zenye manufaa kwa jamii na nchi zahitaji watu waliokomaa na wanaojua mahitaji ya jamii na nchi badala ya maigizo ya kukariri, kutafuta maisha na umaarufu.
Hata hivyo, tulitaka hao wanawake waliomalizia pesa zao kwenye kampeni, Magufuli amebana siasa za upinzani (mbunge mmoja tu), washindwe hata kumudu mahitaji ya kawaida katikati ya misukosuko ya kisiasa? Uamuzi wao ulikuwa wa kipekee kwao (afadhali lawama kuliko fedheha). Kwao ilikuwa mapambano ya kufa na kupona kwa maisha baada ya uchaguzi.
Halima alikuwa na uwezekano mkubwa wa kushinda na alijiamini.
Tatizo kubwa kwa hao wanaume waliosaliti vyama vyao.
Ni watu wa kuwekwa kwenye kundi kama walivyo na kukaa nao kwa akili.
Wote ni wasaliti! Hakuna Jina linguine! Ni wasaliti tu! Kipimo cha wanasiasa wa kweli ni kuishinda hofu ya njaa au njaa yenyewe!
 
Usemi kwamba "adui yako mwombese njaa" una mantiki kubwa sana. Hakuna mbabe wa njaa.

Nani alitarajia kuwa Halima Mdee angepingana na Mwenyekiti wa Chama kilichomlea kisiasa hadi kuwa maarufu kwenye medani za siasa za Tanzania? Alikuwa ni mmoja wa wanachama ambao CHADEMA ilikuwa ikimjivunia kuwa nao.

Lakini alipoona mrija wa ulaji wake upo mikononi mwa watawala, ilimlazimu akubali kuwasikiliza wao badala ya Chama kilichomfunza Siasa.
Wewe ni pimbi aisee,hivi na akili zako unategemea wenye akili timamu watakubali kuendelea kutumika kwa faida ya familia ya Mbowe?
 
Hii mada yale vichwa panzi ya chama chakavu hayataipenda.Yatakuja kuipinga kwa hoja ambazo ata yenyewe hayazielewi ili mradi tu awe kapinga.
 
Mkuu usaliti ni usaliti, hakuna usaliti wa hoja, labda hoja ya usaliti! ni msaliti tu! Tena msaliti kiongozi!
Labda Kama hujui maana ya usaliti,
Hata chama kinapoacha misingi yake iliyokifanya kiaminiwe na wanachama yake ni usaliti pia

Yaani muaminishe watu kwamba huyu MTU ni fisadi muweke Hadi kwenye website ya chama

Halafu kesho mumuite msafi na kumpa nafasi kubwa
Kwa watu wenye akili timamu wanaomua mawili kupinga au kuachia ngaiz

Ndivyo Dr. Slaaa
Akawachia chama chenu kilichopetza. Uelekeo mpaka Leo
 
Mdee alifanya la maana sana kupinga udikteta wa Mbowe.

Mdee ni shujaaa, mwanamke wa shoka

Njaa ndiyo imemfanya mbowe kuanza kupokea ruzuku inayotokana na wabunge aliowaita haramu
Uelewa wako ni mdogo au unapotosha makusudi,ruzuku haihusiani na wabunge wa viti maalumu
 
Labda Kama hujui maana ya usaliti,
Hata chama kinapoacha misingi yake iliyokifanya kiaminiwe na wanachama yake ni usaliti pia

Yaani muaminishe watu kwamba huyu MTU ni fisadi muweke Hadi kwenye website ya chama

Halafu kesho mumuite msafi na kumpa nafasi kubwa
Kwa watu wenye akili timamu wanaomua mawili kupinga au kuachia ngaiz

Ndivyo Dr. Slaaa
Akawachia chama chenu kilichopetza. Uelekeo mpaka Leo
Moja kati ya maamuzi ambayo nahisi Mbowe anayajutia na atayajutia daima katika maisha yake yote ya kisiasa
 
Wanasiasa wengi wa kwetu wanafanyia tumbo tu sio msimamo imara au haki.
Huoni kiongozi ikitokea kashfa katika idara yake hata kama hahusiki moja kwa moja akajiuzulu.
Ni mzee Mwinyi tu katika historia ndio kiongozi alie jiuzulu alipokua waziri wa mambo ya ndani.
 
Majuto ni mjukuu. Hao akina Mama 19 kwa sasa wanajuta sana na wana stress sana. Walidhani kuwa wataendelea kuwapo Bungeni lakini Mungu alimchukua mtetezi wao na hawana la kufanya.
 
Wanasiasa wengi wa kwetu wanafanyia tumbo tu sio msimamo imara au haki.
Huoni kiongozi ikitokea kashfa katika idara yake hata kama hahusiki moja kwa moja akajiuzulu.
Ni mzee Mwinyi tu katika historia ndio kiongozi alie jiuzulu alipokua waziri wa mambo ya ndani.
Sina imani tena na wanasiasa. Nitakuwa nawasikiliza kwa tahadhari sana
 
Moja kati ya maamuzi ambayo nahisi Mbowe anayajutia na atayajutia daima katika maisha yake yote ya kisiasa
Mbowe atajuta kwa misingi ipi wakati alipata hela ndefu kwenye hii dili
 
Dr Slaa ana hoja kubwa sana,
Chama kilisaliti agend ya mafisadi Hadi kukumbatia mafisadi
Mpaka Leo chadema hajawhi kurudi kwenye viwango aalivyset Dr slaa
Kwahiyo ndiyo uende na kusaidia chama kinachotengeneza mafisadi. Slaa alinunuliwa kama kauzu wengine tu walio fika bei
 
Chadema ilishakua imani brother,jaribu kufanya utafiti utaelewa kua tayari ile mbegu ilishakita mizizi mirefu
Hapo nilimaanisha kufa kisera na sio kiitikadi... Sasa unapofanya mambo tofauti unawayumbisha wale uliowalisha itikadi zako.
 
Kwahiyo ndiyo uende na kusaidia chama kinachotengeneza mafisadi. Slaa alinunuliwa kama kauzu wengine tu walio fika beN
Huo ndo uzushi wa kijinga mnaondeleza
Nafasi ya ubolozi sio ya kisiasa ww mjinga hata Cdf anaweza kupewa

Hata hivyo kumuunga mkono Magufuli aliyechukua agenda ya cdm ya kupinga ufisadi alikuwa sahihi pia

Cdm ili irudi kwenye chati yake lazima jopo Zima liliingiza chama porini 2015 liwajibike kuanzia Mbowe
 
Usemi kwamba "adui yako mwombese njaa" una mantiki kubwa sana. Hakuna mbabe wa njaa.

Nani alitarajia kuwa Halima Mdee angepingana na Mwenyekiti wa Chama kilichomlea kisiasa hadi kuwa maarufu kwenye medani za siasa za Tanzania? Alikuwa ni mmoja wa wanachama ambao CHADEMA ilikuwa ikimjivunia kuwa nao.

Lakini alipoona mrija wa ulaji wake upo mikononi mwa watawala, ilimlazimu akubali kuwasikiliza wao badala ya Chama kilichomfunza Siasa.
Hakuna aliyesaliti chama. Ni ugomvi tu wa maokoto!!!

Ndani ya CHADEMA Kuna utaratibu wabunge kuchangia pesa Kila mwezi, usipochangia unaonekana MSALITI.

Mgogoro ni Maokoto tu
 
Back
Top Bottom