Nani alitarajia kina Halima Mdee wangesaliti vyama vyao?

Nani alitarajia kina Halima Mdee wangesaliti vyama vyao?

Hakuna aliyesaliti chama. Ni ugomvi tu wa maokoto!!!

Ndani ya CHADEMA Kuna utaratibu wabunge kuchangia pesa Kila mwezi, usipochangia unaonekana MSALITI.

Mgogoro ni Maokoto tu
Waliwezaje kuwa wabunge wa viti maalum bila idhini ya vyama vyao?
 
Back
Top Bottom