Mzee wa kupambania
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 21,111
- 53,092
Baada ya Marekani inafuatiwa na China ndio taifa la pili kwa kuichangia UN na taasisi zakeKelele za Mchina zina nguvu ndogo sana. US ilipeleka pendekezo UN la kutaka China itambulike kama Taifa tajiru ili mchango wake UN uongezwe, China ilikataa katakata na kudai kuwa ukubwa wa pato la China unasababishwa na uwingi wa watu, na siyo kipato kikubwa cha wananchi wake, na kwamba wachina wengi wanaishi kwenye umaskini mkubwa.
Sasa kama hutaki kugharamia hizo taasisi za kimataifa, huwezi kuwa na nguvu sawa na hao wanaozutegemeza.
UN regular budget 2023:
USA 🇺🇸 (22%),
China 🇨🇳 (15.25%),
Japan 🇯🇵 (8.03%)
Germany 🇩🇪 (6.11%)