Nani aliwachagua kuwa viongozi wa dunia? G7 ni viongozi wa nchi 7 tu si zaidi ya hapo

Nani aliwachagua kuwa viongozi wa dunia? G7 ni viongozi wa nchi 7 tu si zaidi ya hapo

China anaongea Nini?. Makampuni ya kimarekani ndio yamejaa china. Trump alitaka kuyaondoa ayarudishe marekani China akawa mpole. Maana hayo ndio yameifanya china ikue kiuchumi.
Wamarekani wamepeleka mitaji China yes, lakini wachina pia wana intellectual na technical capability sawa au hata zaidi ya Marekani hasa kwenye emerging technologies kama AI na nyinginezo. Mi wala sina ushabiki wa nani zaidi au bora kati ya mmarekani na China. Ila sitaki pia tuaminishwe kwamba eti mtu akishakuwa na nguvu ya kiuchumi basi akupangie hata mambo yako ya jikoni.
 
Mbona habari yenyewe ya kuchonga?. Hakuna wa kuwadindia G7. China aendelee na BRICS aache maneno.
Hao G7 ndio wanataka kuidindia China sasa kwa taarifa yako.

Mojawapo ya agenda yao kwenye kikao chao cha mwaka huu pale Japan ilikuwa ni ku-agree new initiatives to fight Chinese economic coercion

Ijapokuwa hawakuitaja China direct lakini ilikuwa wazi waliilenga China.

Ukuzi wa China unawaumiza sana vichwa hao wanaojiita G7
 
Hao G7 ndo wanataka kuidindia China sasa kwa taarifa yako.

Mojawapo ya agenda yao kwenye kikao chao cha mwaka huu pale Japan kilikuwa ni ku-take new iniciatives to fight Chinese economic coercion

Ijapokuwa hawakuitaja China direct lakini ilikuwa wazi waliilenga China.

Ukuzi wa China unawaamiza sana kichwa hao wanaojiita G7
Na inashangaza sana. Sijui nini kinawaaminisha hawa wanaojiita G7 kufikiri ni kosa nchi zingine kuinuka kiuchumi? Na hapa tustuke wabongo kudhani kwamba hayo malengo ya UN SDGs yana nia ya dhati ya kuziinua nchi hizi zetu kiuchumi.
 
Na inashangaza sana. Sijui nini kinawaaminisha hawa wanaojiita G7 kufikiri ni kosa nchi zingine kuinuka kiuchumi? Na hapa tustuke wabongo kudhani kwamba hayo malengo ya UN SDGs yana nia ya dhati ya kuziinua nchi hizi zetu kiuchumi.
Hao jamaa wanataka sera zao hasa Marekani ndo zifuatwe na mataifa yote

Kwa mfano Marekani akitaka taifa fulani liwekewe vikwazo vya kiuchumi basi mataifa yote duniani yakubaliane naye

Mchina anatumia coercion measures kama vile Marekani anavyotumia economic sanctions.

Ila akifanya Mchina wao hawataki wanasema anaharibu kimakusudi global chain supply na eti ni kinyume na terms za Shirika la Biashara Duniani, WTO (World Trade Organization)

Cheki mifano ya trade coercion zilizofanywa na China ambazo wao wanazipinga, ila angekuwa ni Mmarekani wote wangemsikiliza basha wao wangemuunga mkono

Screenshot_20230520-120911_WPS Office.jpg
 
Sawa kabisa, ni propaganda tu na kuna watu wanaamini hilo. Ukitaka kuongea na viongozi wa dunia basi ni pale unapoongea kwenye viunga vya umoja wa mataifa New York. Tatizo vyombo vyenu vya habari ni dhaifu sana na vinategemea vyombo vyao kupata habari
Mwelekeo wa kidunia wa Neo-colonialiasm.....
 
Wamarekani wamepeleka mitaji China yes, lakini wachina pia wana intellectual na technical capability sawa au hata zaidi ya Marekani hasa kwenye emerging technologies kama AI na nyinginezo. Mi wala sina ushabiki wa nani zaidi au bora kati ya mmarekani na China. Ila sitaki pia tuaminishwe kwamba eti mtu akishakuwa na nguvu ya kiuchumi basi akupangie hata mambo yako ya jikoni.
[emoji2956]
 
Viongozi wa G7 naona wameamua kujibatiza kama viongozi wa dunia!! Vyombo vya habari vya magharibi viko mstari wa mbele kuwatangaza kama viongozi wa dunia. Watu husema kuwa uongo ukisemwa sana, na watu wakaumezea hubadilika pole pole kuwa ukweli.

Dunia lazima ikatae sasa kuwa marais wa Marekani, kanada, uingereza, ujerumani, Italia, ufaransa,na Japani ni marais wa nchi hizo tu wala viongozi wa dunia. Vinginevyo hawa G7 wataona dunia imewakubali kama viongozi wao, na hapo ndipo watapata nguvu ya kuweka sheria na taratibu zao ili kulinda maslahi yao tu na bila kujali maslahi ya nchi zingine. BBC wanasema Zelensky kazungumza na viongozi wa dunia (world leaders).

Zelensky's talks with world leaders

View attachment 2628783
EPACopyright: EPA
In the last few minutes, we've just heard from Volodymyr Zelensky about his meetings with world leaders at the G7 summit, including the UK, Italian and Indian prime ministers.

Hasa Marekani huwa inajihesabu kama kiongozi wa dunia wakati siyo!! Dunia ina mataifa 193 yanayotambuliwa rasmi na umoja wa mataifa. Haiwezekani mataifa 7 (G7) yakajitangazia kuwa ni viongozi nwa dunia. HAPANA.
The bilderberg group
 
Nilishindwa kuwaelewa mwanzani ilikuwa G8, kwa maana kwamba ni umoja wa nchi zilizoendelea kiviwanda 8 wakiwemo Urusi. Ghafla Urusi wakatolewa ikabaki G7 sasa sijui viwanda vya Urusi vilikufa vyote ghafla[emoji3][emoji3]..
Sio tu viwanda ndo vitakuweka G7 vipo vitu vingine ikiwepo kujali humam rights ndio maana China hayupo humo , hayo mataifa yote yaangalie vzr yana mifumo mizur ya kisiasa , China na Urusi haina mifumo imara ya kisiasa
 
Kuna wanaoitwa "maskini jeuri". Wanajali heshima yao na hawako tayari kuiuza kwa gharama yoyote!! Watakuambia "potelea mbali na pesa yako". Watu kama mwalimu Nyerere, Robert Mugabe, Fideral Castro nk.
Una uhakika hao walikuwa masikini jeuri?
 
Hivi ndio WanavyotKa uamini ila uhalisia Vita tu ya Ukraine na Urusi imesababisha Dunia Nzima mfumuko wa bei, Hela haikusaidii Chochote kama hupati mahitaji ya Ki Binadamu.

Mfano Leo Congo ama Africa kwa Ujumla waamue kujifungia hakuna kitu kutoka ama kuingia Tutaishi bila tatizo lolote ila Hao unaowaita mataifa yenye nguvu ndio wataanza kuhaha.
Na we mkuu hebu acha misihara bwana ulishaambiwa bosi hanuniwi we unakumbuka majuzi tu Biden acha g7 aliwaita Marais wa Africa amewakusanya kama vitoto vyake vya kuzaa na Kila raisi aliyeitwa pale katika amejaa kichwa. Ni nani rais hapa kwetu Africa na ni wa nchi gani ana ubavu huo? Kwenye msiba wa malkia wamepandishwa kwenye daldala utadhani sio hawa wanaongozwa na ving'ora na mikwara mingi huku kwetu.
Tusijaribu kudanganya watu historia inaonyesha kwamba kila aliyejaribu kuja kinyume na hawa jamaa wananchi wake walibeba gharama ya hiyo misimamo ila mwisho wa siku mtawala akibadilika lazima atawalegezea tu
 
Nakubaliana na point zako nyingi isipokuwa pale uliposema Tanzania haiisaidii chchote USA. Hivi ukae ukijua kuwa mi binafsi na watanzania kama wote hivi wanaweza kuishi (na tunaishi) bila msaada wa Marekani. So usije kujidanganya kamwe kwamba kuna model ya aina moja ya maisha ya utoshelevu hapa duniani. Vivyo hivyo kanuni za maisha na utawala wa dunia wanazoziweka Marekani na washirika wake zitakuwa na nguvu only kama umejiweka akili kutawaliwa na hizo kanuni. Mfano mdogo ni jinsi walivyotaka kuweka makanuni ya jinsi ya kuishi baada ya corona. Ukiwa mpuuzi utaishi kama wanavyotaka wao uishi.
Maisha yako ni bila teknolojia ya gari, ndege, simu na zingine ni sawasawa na bure...kama wangegundua hizo tech na wakakataa kuzitoa nje ili zikae kwa ajili ya wanannchi wao pekee...sisi huku Dunia ya tatu tungebaki kama kondoo.
 
Maisha yako ni bila teknolojia ya gari, ndege, simu na zingine ni sawasawa na bure...kama wangegundua hizo tech na wakakataa kuzitoa nje ili zikae kwa ajili ya wanannchi wao pekee...sisi huku Dunia ya tatu tungebaki kama kondoo.
Hivi unajiona kweli hicho ulichokisema? Ukiachilia mbali kwamba ugunduzi wao wa teknolojia hauna maana kama hawatatafuta masoko ya hizo tech nje ya mipaka yao, still you can bet kwamba kuna tech wanazo sisi hatuna na hatutakuja kuzipata (mfano tech za kwenda Mars, n.k) yet tunaishi maisha yetu na tunadunda. Utoshelevu wa mtu hautokani na material prosperity kama ulikuwa hujui. Na kuna maisha waliyaishi watu wa zama za kale na wakaishi miaka mingi sana kuliko utakayoishi wewe na kaiphone kako.
 
Baada ya Marekani inafuatiwa na China ndio taifa la pili kwa kuichangia UN na taasisi zake

UN regular budget 2023:

USA 🇺🇸 (22%),
China 🇨🇳 (15.25%),
Japan 🇯🇵 (8.03%)
Germany 🇩🇪 (6.11%)
Tatizo vijana wanalishwa sana propaganda, na wanawaona US miungu watu!
China hata ifanye jema kiasi gani,watajifanya hawaoni!
 
That said sikukatishi tamaa usijitaftie connections zako na wamagharibi kama hiyo itakusaidia mkate wa mezani. Ila as for me (na nina uhakika na watanzania kama wote hivi) hatuweki matumaini ya maisha yetu kwa kudra za G7. Mungu katupa afya bure, akili bure na nguvu za mwili bure na tunavitumia hivyo kufanya kazi kwa bidii hili mkono uende kinywani, huku tukimshukuru moyoni kwa zawadi ya maisha haya. Hakuna nafasi ya kujipumbaza na ma G7 na magenge maslahi mengine kama hayo.
 
  • Thanks
Reactions: Ame
Mrusi yuko kama jibwa KUBWA lisilo ng'ata hana faida kimataifa
Epuka kuropoka hovyo hovyo!Hawa ndio top ten wanaochangia UN!

  1. United States (27.89%)
  2. China (15.21%)
  3. Japan (8.56%)
  4. Germany (6.09%)
  5. United Kingdom (5.79%)
  6. France (5.61%)
  7. Italy (3.30%)
  8. Russian Federation (3.04%)
  9. Canada (2.73%)
  10. Republic of Korea (2.26%)
 
Back
Top Bottom