Nani aliyemshauri Rais Samia jambo hili ambalo limeleta mateso na aibu kubwa mitaani na mitandaoni?

Hapa ndio nimeona umeuliza maswali yenye kueleweka.
Sasa ni hivi, bei ya mazao au kitu chochote mara nyingi hupanda kutokana na sababu kadhaa. Sababu hizo zinaweza kuwa gharama za mbolea, madawa nk.

Lakini kama gharama imekuja kupanda katika kati ya msimu wa mauzo basi huenda bei ya petrol imepanda na kusababisha gharama ya usafirishaji kuwa juu.
 
Ukielewa nilichoandika wala usingeumiza kichwa na mahasira yako
Jina lako linaendana na kile unachoandika. Ama kweli wewe ni msanii maana hoja za maana kama hizi wewe unaleta usanii wako hapa JF.
 
Watanzania watu wa ajabu sana! Sasa wewe unafikiri ilikuwa sawa kwa demokrasia yako ya uhuru wa vyama vingi kufungiwa?! Au unafikiri demokrasia ni kwa ajili ya Mbowe na Lissu?
Watu wengi sana wanateseka kwasababu ya watu kama wewe mnaojiangalia nafsi zenu tu na hamna huruma na watu wanyonge. Mkishashiba basi!
 
Jina lako linaendana na kile unachoandika. Ama kweli wewe ni msanii maana hoja za maana kama hizi wewe unaleta usanii wako hapa JF.
Sanaa haijawahi kuwa ni tatizo katika jamii. Hamna tofauti na wale ambao wanabadilisha maana ya upinde wa mvua kwa maana ya hovyo kabisa.

Jifunze kujenga hoja member mwenzangu mwenye jina la uharibifu wa mazao
 
CCM wanatumia mbinu ya "DIVIDE AND RULE" maguberi watanielewa... huyo mbowe wawe nae makini sana huyo!
 
Hao wananchi kukaa juani was a democratic process kwa wakati huo, karibu kuwa na mtazamo mpana kwamba msingi WA nchi sio chama kiwe imara au SI imara hiyo ni conditional, jua kwamba msingi WA nchi ni uhuru WA wananchi kufanya mambo Yao kwa mujibu WA sheria.
Nikwambie Rais Samia amefanya mamuzi muhimu na imara sana kwa ajili ya nchi kuruhisu nchi iendelee kukua kimocrasia.
Kuhusu uimara WA vyama kipimo sahihi ni kura wakati WA uchaguzi katika mazingira yaliyo sawa yaan free and fair elections, au labda ufanyike utafiti WA kitaalam kuonyesha wananchi Wana mrengo upi
Usipime maji kwa kutanguliza miguu yote.
 
MaCHADEMA yatazuka huko na mitusi kama mazuzu.
Ila ujumbe y amepata
 
Mikutano yote ya Lisu kuzugumzia kupigwa risasi 36, Mbowe kumshambulia Magufuli kule Mwanza na Zito kudai ndege 10 ziko gereji imekusaidiaje wewe mnyonge?

Je kabla ya mikutano kuruhusiwa kuna polisi walitumwa na serikali kuja kusimama mlangoni kwako kukuzuia usiende kujitafutia riziki yako?

Je kuna mfanyakazi, mfanyabiashara au mnyonge yoyote anaekula na kuishi vizuri kwa sababu ya mikutano?
 
CCM wanatumia mbinu ya "DIVIDE AND RULE" maguberi watanielewa... huyo mbowe wawe nae makini sana huyo!
Mkuu wewe unaona mbali sana ila uliowapa ushauri wameshadhibitiwa akili na huyo huyo Mbowe, so ni vigumu sana kukuelewa.

Ushahidi wa ulichokisema huo hapo videoni
 

Attachments

  • 5218795-900eac709d849ea146fff30dcf48cf3c.mp4
    4.1 MB
Mkuu wewe unaona mbali sana ila uliowapa ushauri wameshadhibitiwa akili na huyo huyo Mbowe, so ni vigumu sana kukuelewa.

Ushahidi wa ulichokisema huo hapo videoni
Kuna kitu ningekiongea hapa ila nafkiri sio sehemu sahihi. Ni hatari pia watu hawawezi kuelewa.

Itoshe tu kusema huyu bwana hayuko kama tunavyomjua. Anaicheza script yake iliyoandaliwa na wakubwa wake wa kazi 😊
 
Kuna kitu ningekiongea hapa ila nafkiri sio sehemu sahihi. Ni hatari pia watu hawawezi kuelewa.

Itoshe tu kusema huyu bwana hayuko kama tunavyomjua. Anaicheza script yake iliyoandaliwa na wakubwa wake wa kazi 😊
Na hivyo ndivyo anavyojipatia kula yake 🀣🀣🀣
 
Huu ndio ukweli wenyew mkuu. Dunia ya sasa haina siri, japo sometimes watu huamua kufunika kombe ili mwanaharam apite.
Siwezi kataa. Huko kuna tapeli chama kikipewa misaada lenyewe linadai limekikopesha chama.

Kila mwaka chama kinalipa madeni hewa.
 
Vyama vyote ni uchwara tu kama maana ya uchwara ni kutokukubalika kwa wananchi !! Hata chama tawala pamoja na kutumia nguvu kubwa za kiuchumi na za kimamlaka bado kinaonyesha kimeshapoteza kabisa mvuto kwa wananchi. !! Ni kweli wananchi wengi wameshaanza kuelimika na endapo wataanza kuzijua haki zao za msingi basi kuanzia mwaka 2025 na kuendelea tutarajie kindumbwendumbwe kwenye uchaguzi Mkuu !!
 
Siwezi kataa. Huko kuna tapeli chama kikipewa misaada lenyewe linadai limekikopesha chama.

Kila mwaka chama kinalipa madeni hewa.
Walifanya kosa kumpa uongozi wa chama. Mtu yeyote anaeishi kwa hadaa mkimpa uongozi lazima awaumize.
 
Uliloongea lina mantiki fulani, nikimaanisha kuwa kuna ukweli mwingi katika andiko lako.
 
Wewe mtoto wa mbunge wa CCM aliyepita bila kupingwe wewe, unahofia ubunge was baba yako utaota mabawa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…