Komeo Lachuma
JF-Expert Member
- Oct 31, 2014
- 7,926
- 17,030
MARAIS WETU NA AKILI WAPI NA WAPIWale wasanii mnao wapeleka Korea Kusini kwenda kujichekesha chekesha vipi? wana tija kwa Taifa? Raisi alifanya Ziara India na Deligate kubwa kuliko ya wenyeji, yaani Ukumbi ulijaaa wageni kana kwamba mkutano unafanyukia Mlimani city kumbe ni New Delh India.
Ziara za Raisi nje ya nchi zimejaaa idadi ya watu wanao bebwa tu wakale Bata kwenye Ziara na hawana tija kwa Taifa. Ni bora hata hao Wazimbabwe.
nchi sio yako, hela inayotumika hujatoa kodi, wenye nchi yao wapo kimya, wewe huku unalalama, kama sio wivu ni nn?Unasema kweli
Ni wivu tu Bossnchi sio yako, hela inayotumika hujatoa kodi, wenye nchi yao wapo kimya, wewe huku unalalama, kama sio wivu ni nn?
Hata samia ushaidi upo ni wa bandari, hifadhi za wanyama, airports zote za Tanzania waarabu wanazimiliki sasa nani bora nyerere au samia kwa maana zamani nakutawalwa na waingereza miaka ya nyerere tulikuwa nakila kitu hakuna udhibitisho wowoteNi kama nilivyoandika, tumedanganywa vya kutosha. Nyerere alikuwa ni picha tu Ikulu, aliyekuwa anatutawala ni mzungu Muingereza, kwa miaka yote ya Nyerere.
Waafrika bado tunatawaliwa mpaka tugeuke tuwe kama anavyofanya Ibrahim traore wa Burkina Faso.
Anaebisha namuwekea ushahidi.
ndo maana nakupendaNi wivu tu Boss
Nakupenda pia Boss!ndo maana nakupenda
Wakati wakipita juu ya mto wakiwa kwenye boti kila mmoja alijiuliza mbona wengi sana baadaye inatoka taarifa kuwa wanamichezo ni 9 na ma-afsa wa serikali kutoka wizara mbalimbali ni 67 na watakaa kwa siku 16 zote za olimpiki hapa paris.
Sijajua Bongo aka nchi ya kitu kidogo tumepeleka wangapi maana wasanii tu tunapeleka nje kwa kodi zetu , MUNGU ATUSAIDIE
USSR
Sijui sisi watu toka hili BARA, tuna SHIDA gani kichwani..AIBU!
"Let us agreed that Blacks cannot rule themselves, Whites are born in order to rule and Blacks are born to be ruled."watu weusi wamelaanika
Unabisha nini?Mimi nabisha
"Let us agreed that Blacks cannot rule themselves, Whites are born in order to rule and Blacks are born to be ruled."
Pieter W. Botha, a former President of South Africa during the Apartheid era.
Hatujakaa foleni ya chakula wakati wa Samia, tuulize tuliouishi wakati wa Nyerere tulikumbwa na nini?Hata samia ushaidi upo ni wa bandari, hifadhi za wanyama, airports zote za Tanzania waarabu wanazimiliki sasa nani bora nyerere au samia kwa maana zamani nakutawalwa na waingereza miaka ya nyerere tulikuwa nakila kitu hakuna udhibitisho wowote
Kwa hiyo Samia naye nani anamcontrol?Ni kama nilivyoandika, tumedanganywa vya kutosha. Nyerere alikuwa ni picha tu Ikulu, aliyekuwa anatutawala ni mzungu Muingereza, kwa miaka yote ya Nyerere.
Waafrika bado tunatawaliwa mpaka tugeuke tuwe kama anavyofanya Ibrahim Traore wa Burkina Faso.
Anaebisha namuwekea ushahidi.
Halafu ujinga mkubwa kuliko wote Ni UdiniMwafrika kwenda Ulaya kwa mabwana wakubwa zake ni sifa kubwa.
Sote tuna uhuru wa kujiliwaza tu, lakini tunaendeshwa na wazungu, tena tulivyotawaliwa sasa kiutumwa mambo leo ni pabaya zaidi kuliko utumwa wa kununuliwa kwa shanga na vioo.
Tumejazwa ujinga na umetujaa.
Wapo wengi hadi sasa wanapanga foleni kwa chakulaHatujakaa foleni ya chakula wakati wa Samia, tuulize tuliouishi wakati wa Nyerere tulikumbwa na nini?