Kumbe CCM ni bosheni tu, serikali inaongozwa na mabeberu!Hivi unaona Watanzania siyo Waafrika?
Sisi ndiyo afadjali ya Wazimbabwe hata tukipeleka wawili tu.
Nchi tuliyodanganywa na Rais wa kwanza kuwa tunajitawala kumbe Ikulu kuna mzungu anaiendesha nchi kwa miaka yote unatuona wa maana sana?
Tanzania ni wanafik wakubwa.
Sisi fedha yetu na maliasili zote kashika nani?Sikubishii kwa sababu scenario za West Afrika inafanana na hichi unachokisema hapa,
Ila nahitaji kujifunza zaidi, maana kuna vitu vingine tunaweza kuwalaumu viongozi wetu kumbe ni matatizo ambayo hata wao wanaogopa kutuambia!!
Mfano kule West Africa hawako huru kwa kuwa mfaransa ameshikiria kila fedha yao!!1
hayo yalikuwa wakati wa Nyerere, sasa hivi mabeberu wamtukamata kwenye uchumi, kwa misingi waliyoiweka wakati wsa utawala wa miaka 24 ya awali.Kumbe CCM ni bosheni tu, serikali inaongozwa na mabeberu!
This is funny 😁Kwanza anahakikisha tunajitegemea kwa chakula.
Lazima uone hivyo, sikushangai ni shule za kusomea ujinga.This is funny 😁
Sawa bibi, mwerevu ni wewe tu hapa JF.Lazima uone hivyo, sikushangai ni shule za kusomea ujinga.
Ni vyema sana umelielewa hilo.Sawa bibi, mwerevu ni wewe tu hapa JF.
Duh nilikuwa silijui hiliHivi unaona Watanzania siyo Waafrika?
Sisi ndiyo afadjali ya Wazimbabwe hata tukipeleka wawili tu.
Nchi tuliyodanganywa na Rais wa kwanza kuwa tunajitawala kumbe Ikulu kuna mzungu anaiendesha nchi kwa miaka yote unatuona wa maana sana?
Tanzania ni wanafik wakubwa.
Mkuu unashangaa kuona wingi wa maafisa wa serikali katika msafara huo kuliko idadi kiduchu ya wanamichezo! Hushangai wingi wa maafisa wa serikali sambamba na magari yao ya kifahari katika msafara wa Rais pale kila aendapo mikoani!?Wakati wakipita juu ya mto wakiwa kwenye boti kila mmoja alijiuliza mbona wengi sana baadaye inatoka taarifa kuwa wanamichezo ni 9 na ma-afsa wa serikali kutoka wizara mbalimbali ni 67 na watakaa kwa siku 16 zote za olimpiki hapa paris.
Sijajua Bongo aka nchi ya kitu kidogo tumepeleka wangapi maana wasanii tu tunapeleka nje kwa kodi zetu , MUNGU ATUSAIDIE
USSR
Donald Trump aheshimiwe, we need to get colonializedWakati wakipita juu ya mto wakiwa kwenye boti kila mmoja alijiuliza mbona wengi sana baadaye inatoka taarifa kuwa wanamichezo ni 9 na ma-afsa wa serikali kutoka wizara mbalimbali ni 67 na watakaa kwa siku 16 zote za olimpiki hapa paris.
Sijajua Bongo aka nchi ya kitu kidogo tumepeleka wangapi maana wasanii tu tunapeleka nje kwa kodi zetu , MUNGU ATUSAIDIE
USSR
upo kwa moyo wangu mpaka useme hvo?Chai.
Usinifokee boss!😂upo kwa moyo wangu mpaka useme hvo?