Nani ana akili kuliko wote JF?

Unaakili kweli. Unapimaje akili ya mmoja kulinganisha na wengine. Namaanisha how do you measure?
 
Akili ukimaanisha uwezo wa kuvumbua kitu hakijawahi kuwepo?

Au akili ukimaanisha kutoa fafanuzi kwa mambo ambayo yapo lakini muuliza swali anakuwa hajui?
 
Hahah ngoja tumshtue bwana Haji afungue akaunti, ili upqte mtu wa kupambana naye jukwaa la soka...
Huyo kaishafungiwa huko TFF kwaku misbehave ataweza ku handle hisia humu kwenye ban nyingi za kukera kama chenga za chama?
 
Huyo kaishafungiwa huko TFF kwaku misbehave ataweza ku handle hisia humu kwenye ban nyingi za kukera kama chenga za chama?

Huku si unajua tena ukipigwa nyundo unaibuka na id nyingine...
 
Pale CLUB HOUSE kuna mtu anaitwa Panyar yaani ni Google ,,hatareeee
 
Car Enthusiast😀
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…