Makonda is coming to power safari hii mtamkoma ambao hamku mu wish happy birthdayHata maiti hajaoshwa mmeshaanza kuvizia nafasi?
DR. LAUREAN NDUMBARO HAFAI KUWA KMK.HUYO ANAFAA ZAIDI JAPO MZEE WETU HUWA HAPANGIWI
Hivi yupo au kapata uteuzi ubalozi?Umemsahau Pascal Mayalla
Huyu boya atateuliwa kweliDr.Abbas ndio katibu mkuu kiongozi(proposed)
Yupo kweli?
Au apewe ShiloleNadhani sasa ni wakati mwafaka MASANJA akashika hii nafasi,
Nawasilisha.
Namba moja anafaaWafuatao wanaweza kuteuliwa
1. Kusiluka katibu ofisi ya Rais
2. Ngusa ktb wa Rais na mniikulu
3. Prof Gabriel Km wizara mifugo
4. Ras Tabora
5- Ras mtwara
6.Kwakuwa Kijazi alitokea ubalozi india tusishange kuona Balozi mmojawapo
7. Kama ni mwanasiasa basi awe na historia ya utendaji
Hii ramli yako huenda ikawa kweli.Dr.Abbas ndio katibu mkuu kiongozi(proposed)