Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Balozi Ombeni Sefue mwacheni apumzike, msije mkamharibia bure kwa madudu aliyoyafanya akiwa ni KMK ikiwa ni pamoja na sababu zilizofanya atumbuliwe nafasi ya KMK.Aliyepita pia balozi ombeni sefue nae alikuwa balozi na sas aliefariki pia Ni balozi balozi wa Nigeria namuona
Hata kama ni ndugu, lakini Dr. Laurean Ndumbaro hafai nafasi ya KMK kama ilivyoelezwa hapo awali.Hivi huyu jamaa ji ndugu na waziri aliyempokonya nafasi Mh. Kigwa? Dr. Damas Ndumbaro?
Kwa hiyo mkuu umekereka na hilo la uteuzi wa huyo Mkurugenzi wa Fedha tu ambako it's likely una conflict of interest. Maana uzi mzima referrence yako wewe ya kutotosha kwake ni hiyo moja tu. Je uteuzi wa nafasi hiyo haukuhusisha vetting? Je yeye ndiye mwamuzi pekee wa nani ashike nafasi tajwa?Hata kama ni ndugu, lakini Dr. Laurean Ndumbaro hafai nafasi ya KMK kama ilivyoelezwa hapo awali.
Kampeleka mwanamama mmoja hivi kwenda kuwa Mkurugenzi wa Fedha kwenye Board moja hivi ya umma iliyopo kusini wakati huyo mama hana sifa za kuwa Mkurugenzi wa Fedha, huyo mwanamama kasomea Sociology!!!
Je wahasibu wote wameisha Tanzania mpaka apewe huyo mwanamama wakati sifa hana???
Au ww ndo ndumbaro mwenyewe unajipigia debe hapa?!!!Kwa hiyo mkuu umekereka na hilo la uteuzi wa huyo Mkurugenzi wa Fedha tu ambako it's likely una conflict of interest. Maana uzi mzima referrence yako wewe ya kutotosha kwake ni hiyo moja tu. Je uteuzi wa nafasi hiyo haukuhusisha vetting? Je yeye ndiye mwamuzi pekee wa nani ashike nafasi tajwa?
[emoji23][emoji23][emoji23] wewe binafsi umeona msagia kunguni ana hoja nyingine yoyote zaidi ya hiyo aliyoishikilia, in a very objective view ya hili jambo. Je kwa nafasi yake huyo Ndumbaro amesimamia/idhinisha teuzi ngapi akiwa ktk hicho kiti? Kote amefanya kama mtoa hoja anavyojaribu kutuaminisha? [emoji2379] Mwisho wa siku me ni mvuja jasho mmoja tu wa huku Ugwachanya wala sina nilijualo kumhusu Dr. NdumbaroAu ww ndo ndumbaro mwenyewe unajipigia debe hapa?!!!
Cypirian Musiba. Ana uchungu na JIWE kiasi cha kumtukana na kumdhalilisha yeyote anayemkwaza Jiwe.Kwanza poleni sana kwa misiba iliyoikumba nchi yetu.
Pili, watu huelewa uchapakazi wako bila wewe kuwaambia.
Wanaweza wakakupendekeza kama uchapakazi wako ni mzuri au wasikupendekeze kulingana na uchapakazi wako wa hovyo hovyo.
Ile watu wakisema fulani anafaa basi hata usipopewa nafasi hiyo elewa kuwa unafaa na jamii inakukubali hivyo unapaswa kuendeleza imani hiyo kwa jamii inayokuzunguka.
Swali liko hapo juu, wewe wadhani nani anaweza kuvaa kiatu cha Injinia na kwa nini unamfikiria huyo?
Ingawa umri wake imeenda lakini binafsi namfikiria Katibu mkuu wa utumishi Dr. Laurian Ndumbaro
Kwanini:-
Ni mchapa kazi, ana uzoefu wa muda mrefu kazini na ametulia-hana mapepe mapepe.
2........
3........
4......
Tumekwambia Dr. Ndumbaro Laurean hafai kuwa KMK kabisaaa!!!...wala mimi sina hata conflict of interest ya nafasi ya Ukurugenzi wa Fedha aliyopewa huyo mwanamke kwenye taasisi nyeti ya umma iliyopo kusini. Siwezi kuwa na conflict of interest kwasababu; kwanza mimi sio mhasibu na wala sina ugomvi personal wowote na Dr. Laurean Ndumbaro wala huyo mwanamke aliyekubuhu kwa kufanya lobbying!!!Kwa hiyo mkuu umekereka na hilo la uteuzi wa huyo Mkurugenzi wa Fedha tu ambako it's likely una conflict of interest. Maana uzi mzima referrence yako wewe ya kutotosha kwake ni hiyo moja tu. Je uteuzi wa nafasi hiyo haukuhusisha vetting? Je yeye ndiye mwamuzi pekee wa nani ashike nafasi tajwa?
Hata haya nayo ni MajunguTumekwambia Dr. Ndumbaro Laurean hafai kuwa KMK kabisaaa!!!...wala mimi sina hata conflict of interest ya nafasi ya Ukurugenzi wa Fedha aliyopewa huyo mwanamke kwenye taasisi nyeti ya umma iliyopo kusini. Siwezi kuwa na conflict of interest kwasababu; kwanza mimi sio mhasibu na wala sina ugomvi personal wowote na Dr. Laurean Ndumbaro wala huyo mwanamke aliyekubuhu kwa kufanya lobbying!!!
Hatumsemi vibaya tu Dr. Ndumbaro kwa hiyo decision ya kumpa huyo mwanamke hiyo nafasi ya Ukurugenzi wa Fedha wakati hafai, pia tuliongelea hapo awali kuwa Dr. Ndumbaro amekuwa aki-collude na wakuu wa taasisi za umma kuwaumiza watumishi wa umma kwa namna moja ama nyingine, the man is corrupt - naomba uelewe tu hivyo!!
Kwa nafasi nyeti aliyo nayo Dr. Ndumbarona na uelewa wa majukumu yake alitakiwa awe objective katika kupangia kazi watumishi.
Hata kama vetting ilifanyika au haikufanyika kuhusu huyu mama, kama ilifanyika basi watu waliomfanyia ni zero brain kwasababu hata vyeti vya kusomea uhasibu huyo mwanamke hana, hajawi fanya kazi ya uhasibu mahali popote, yeye kasomea Sociology!!!
Watu design ya huyo mwanamke ndio wanaoharibu taasisi za umma kwasababu ni; lobbyist, mpenda majungu, good sliperly katika utendaji kazi na mjanjamjanja tu.
Kwa sasa inatosha!!!
Hili la huyu mwanamama kwenda kuwa mkurugenzi wa fedha limetushangaza wengi. Japo yasemekana alipokuwapo alikuwa kama key witness kwenye kesi iliyomtumbua mkurugenzi wa shirika alilokuwa akifanyia kazi. Huyu dada ana sifa na experience ya kutosha ya mambo ya Rasirimali watu na sio fedha.Hata kama ni ndugu, lakini Dr. Laurean Ndumbaro hafai nafasi ya KMK kama ilivyoelezwa hapo awali.
Kampeleka mwanamama mmoja hivi kwenda kuwa Mkurugenzi wa Fedha kwenye Board moja hivi ya umma iliyopo kusini wakati huyo mama hana sifa za kuwa Mkurugenzi wa Fedha, huyo mwanamama kasomea Sociology!!!
Je wahasibu wote wameisha Tanzania mpaka apewe huyo mwanamama wakati sifa hana???
Declare conflict of interest ndg! Ndumba ndumba...kunaniiij? Mbona watz tupo wengi sana!?Kwa hiyo mkuu umekereka na hilo la uteuzi wa huyo Mkurugenzi wa Fedha tu ambako it's likely una conflict of interest. Maana uzi mzima referrence yako wewe ya kutotosha kwake ni hiyo moja tu. Je uteuzi wa nafasi hiyo haukuhusisha vetting? Je yeye ndiye mwamuzi pekee wa nani ashike nafasi tajwa?
Bujibuji nadhan hii nafas ataitendea hakiKwanza poleni sana kwa misiba iliyoikumba nchi yetu.
Pili, watu huelewa uchapakazi wako bila wewe kuwaambia.
Wanaweza wakakupendekeza kama uchapakazi wako ni mzuri au wasikupendekeze kulingana na uchapakazi wako wa hovyo hovyo.
Ile watu wakisema fulani anafaa basi hata usipopewa nafasi hiyo elewa kuwa unafaa na jamii inakukubali hivyo unapaswa kuendeleza imani hiyo kwa jamii inayokuzunguka.
Swali liko hapo juu, wewe wadhani nani anaweza kuvaa kiatu cha Injinia na kwa nini unamfikiria huyo?
Ingawa umri wake imeenda lakini binafsi namfikiria Katibu mkuu wa utumishi Dr. Laurian Ndumbaro
Kwanini:-
Ni mchapa kazi, ana uzoefu wa muda mrefu kazini na ametulia-hana mapepe mapepe.
2........
3........
4......
Yaani hata maneno ndiyo huwa yanamwingia sana Jiwe kiasi huwa anaamua kuwakomesheni, sasa subiri Ndumbaro aukwae ukatibu mkuu kiongozi! Hii yote jiwe atakuwa anataka kukukomesha tu!Tumekwambia Dr. Ndumbaro Laurean hafai kuwa KMK kabisaaa!!!...wala mimi sina hata conflict of interest ya nafasi ya Ukurugenzi wa Fedha aliyopewa huyo mwanamke kwenye taasisi nyeti ya umma iliyopo kusini. Siwezi kuwa na conflict of interest kwasababu; kwanza mimi sio mhasibu na wala sina ugomvi personal wowote na Dr. Laurean Ndumbaro wala huyo mwanamke aliyekubuhu kwa kufanya lobbying!!!