Offshore Seamen
JF-Expert Member
- Mar 9, 2018
- 5,489
- 14,091
Ludovic Mwananzila
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haunisumbui kama unavyomsumbua bwana mkubwaUpuuzi na ukabila unakusumbua!!!
Wa gwan yah rastafar 🤣🤣🤣acheni hizo propaganda fake kuhusu bangi nyie ndio mnafanya bangi ionekane ni mbaya wakati hata pafu moja ujawai kuvuta.
Huyu aliyeleta hii mada hayo ni mawazo yake, trust me Hakuna mvuta bangi hata mmoja anaweza kua na mawazo ya kikuda kama hayo, so stop to criticize marijuana
katibu mkuu ni nafasi inayohitaji mtu mwenye uwezo mkubwa wa kielimuna akili ya kuchakata Mambo,kumbuka huyu ndie kiungo wa Baraza la mawaziri,huyu ndie anaye sort out na ku organize Mambo yote ya wizara zote.Hii nafasi inahitaji akili kubwa .hii nafasi ni ngumu kuliko hata uwaziri mkuu.Tuliambiwa nafasi za kuteuliwa haziangalii elimu bali uwezo. Kwa Tanzania tu.
mzee wa fulsa.ataifanya hiyo nafasi iwe taasisi yake.akistaafu atamshauri RAIS amteue mwanae .[emoji23][emoji23][emoji23]Freeman mbowe
Kiruuuu!!!,mzee wa kunengua???.Mi naona Kangi Lugola atafaa zaidi
Pascal atakuwa Mlingotini anapikwa!
Hahahaaaaa nimeipenda hyo paragraph ya kwanzaMh. Rais, mimi ni mpinzani wako mkubwa sana maana ulinitumbua bila sababu maalum, ila kuna machache ntakuunga mkono.
Nikiwa serikalini, nilifanya kazi na John Kijazi pamoja na Allan kijazi. Nakiri kwamba hawa watu nj waadilifu wa hali ya juu. Allan ni kama kaka yake.
Najua unawapenda watu waadilifu. Kwa maslahi mapana ya taifa, mteue, Allan Kijazi awe katibu mkuu kiongozi. Tafadhali sana. Huyu mtu muadilifu kupitiliza. Ukienda Tanapa yuko safi miaka yote amesimamia taasisi.
Mpinzani wako, mfia nchi.
Au Dr. Agnes Kijazi mkurugenzi wa Hali ya hewa na makamu wa mkurugenzi mkuu wa WMO!Mh. Rais, mimi ni mpinzani wako mkubwa sana maana ulinitumbua bila sababu maalum, ila kuna machache ntakuunga mkono.
Nikiwa serikalini, nilifanya kazi na John Kijazi pamoja na Allan kijazi. Nakiri kwamba hawa watu nj waadilifu wa hali ya juu. Allan ni kama kaka yake.
Najua unawapenda watu waadilifu. Kwa maslahi mapana ya taifa, mteue, Allan Kijazi awe katibu mkuu kiongozi. Tafadhali sana. Huyu mtu muadilifu kupitiliza. Ukienda Tanapa yuko safi miaka yote amesimamia taasisi.
Mpinzani wako, mfia nchi.
Mh. Rais, mimi ni mpinzani wako mkubwa sana maana ulinitumbua bila sababu maalum, ila kuna machache ntakuunga mkono.
Nikiwa serikalini, nilifanya kazi na John Kijazi pamoja na Allan kijazi. Nakiri kwamba hawa watu nj waadilifu wa hali ya juu. Allan ni kama kaka yake.
Najua unawapenda watu waadilifu. Kwa maslahi mapana ya taifa, mteue, Allan Kijazi awe katibu mkuu kiongozi. Tafadhali sana. Huyu mtu muadilifu kupitiliza. Ukienda Tanapa yuko safi miaka yote amesimamia taasisi.
Mpinzani wako, mfia nchi.
Hii nafasi ya Makonda!Mh. Rais, mimi ni mpinzani wako mkubwa sana maana ulinitumbua bila sababu maalum, ila kuna machache ntakuunga mkono.
Nikiwa serikalini, nilifanya kazi na John Kijazi pamoja na Allan kijazi. Nakiri kwamba hawa watu nj waadilifu wa hali ya juu. Allan ni kama kaka yake.
Najua unawapenda watu waadilifu. Kwa maslahi mapana ya taifa, mteue, Allan Kijazi awe katibu mkuu kiongozi. Tafadhali sana. Huyu mtu muadilifu kupitiliza. Ukienda Tanapa yuko safi miaka yote amesimamia taasisi.
Mpinzani wako, mfia nchi.