Nani anahitaji mapokezi makubwa ya heshima, ni Rais Samia ambaye siku zote anapambana kujenga uchumi au Tundu Lissu anayekirudia kivuli chake?

Nani anahitaji mapokezi makubwa ya heshima, ni Rais Samia ambaye siku zote anapambana kujenga uchumi au Tundu Lissu anayekirudia kivuli chake?

Uchumi upi? Kilo ya maharage elfu 4, chele elfu 5 a kilo etc etc! Una akili kiduchu!
Leo kuna gazeti wameandika maneno "sekta ya kilimo yakua Toka asilimia 2 hadi 3.4"?!!
Jambo linaloshangaza sana na bado tuko mbali hivi asilimia 1.4 ni jbo la kujisifia.
Hii Ina maana hadi tufike asilimia 20 Dunia imeenda kwao!!
 
Ni swali tu ndugu zangu ambalo limekuwa likininitatanisha sana na leo nimeona nishiriki nanyi kulijadili.

Nimeona Tundu Lissu akiomba watu wakahudhurie mkutano wa hadhara uliotishwa na chama chake, ni jambo jema kama kiongozi wa kisiasa.

Pia, nimeona watu wakihimizana wakampokee Lissu akitua uwanja wa ndege hapa ndipo kwenye ukakasi na kupelekea kuuliza swali hili: Je, ni nani anayestahili mapokezi ya heshima kati ya Dkt.Samia ambaye siku zote ameshiriki pamoja nasi kupambana kujenga uchumi wetu au ni Tundu Lissu ambaye alikikimbia kivuli chake mwenyewe na sasa anakirudia?

N.B: Hata mwana mpotevu alipokelewa kwa shangwe na sherehe kubwa lakini mtoto aliyekuwepo siku zote nyumbani na babaye ndiye aliyeahidiwa urithi wa kila kitu.
Lissu ndio shujaa wa wanyonge na anapaswa kupokelewa kwa shangwe na heshima kubwa.
 
Ni swali tu ndugu zangu ambalo limekuwa likininitatanisha sana na leo nimeona nishiriki nanyi kulijadili.

Nimeona Tundu Lissu akiomba watu wakahudhurie mkutano wa hadhara uliotishwa na chama chake, ni jambo jema kama kiongozi wa kisiasa.

Pia, nimeona watu wakihimizana wakampokee Lissu akitua uwanja wa ndege hapa ndipo kwenye ukakasi na kupelekea kuuliza swali hili: Je, ni nani anayestahili mapokezi ya heshima kati ya Dkt.Samia ambaye siku zote ameshiriki pamoja nasi kupambana kujenga uchumi wetu au ni Tundu Lissu ambaye alikikimbia kivuli chake mwenyewe na sasa anakirudia?

N.B: Hata mwana mpotevu alipokelewa kwa shangwe na sherehe kubwa lakini mtoto aliyekuwepo siku zote nyumbani na babaye ndiye aliyeahidiwa urithi wa kila kitu.
Ni hapo atapowasili Lisu ndipo utaelewa zaid... Naishia hapo!!
 
Back
Top Bottom