Nani anampa kiburi Netanyau? Hamas hatutaki vita iendelee tumeamua yaishe. Analeta Kibri?

Nani anampa kiburi Netanyau? Hamas hatutaki vita iendelee tumeamua yaishe. Analeta Kibri?

Chizi Maarifa

JF-Expert Member
Joined
Jul 29, 2013
Posts
10,931
Reaction score
24,816
Nimeshangaa ... Anachokitaka atakipata tu. Hamas wanasema wanataka vita viishe. Netanyau analeta habari za kiduanzi. Tutaendelea kumchapa huyu Kafir mpaka aombe pooh...

Sisi tunaona inatosha yeye analeta kibri. Ni nini sababu lakini? Si sawa.

Njoo wenzangu tumshambulie huyu Israel.

Ritz , FaizaFoxy Choi Kang Ta

Hawa al jazeera nao wameanza kutumika nini?
 
Nimeshangaa ... Anachokitaka atakipata tu. Hamas wanasema wanataka vita viishe. Netanyau analeta habari za kiduanzi. Tutaendelea kumchapa huyu Kafir mpaka aombe pooh...

Sisi tunaona inatosha yeye analeta kibri. Ni nini sababu lakini? Si sawa.

Njoo wenzangu tumshambulie huyu Israel.

Ritz , FaizaFoxy Choi Kang Ta


Hawa al jazeera nao wameanza kutumika nini?
Operation futa Hamas
 
Nimeshangaa ... Anachokitaka atakipata tu. Hamas wanasema wanataka vita viishe. Netanyau analeta habari za kiduanzi. Tutaendelea kumchapa huyu Kafir mpaka aombe pooh...

Sisi tunaona inatosha yeye analeta kibri. Ni nini sababu lakini? Si sawa.

Njoo wenzangu tumshambulie huyu Israel.

Ritz , FaizaFoxy Choi Kang Ta

Hawa al jazeera nao wameanza kutumika nini?
Vita haviishi mpaka malengo ya Israel yatimie nafikiri mnajua malengo ni kuwafuta Hamas na kuwarejesha mateka kwa mujibu wa Netanyahuu
 
Nimeshangaa ... Anachokitaka atakipata tu. Hamas wanasema wanataka vita viishe. Netanyau analeta habari za kiduanzi. Tutaendelea kumchapa huyu Kafir mpaka aombe pooh...

Sisi tunaona inatosha yeye analeta kibri. Ni nini sababu lakini? Si sawa.

Njoo wenzangu tumshambulie huyu Israel.

Ritz , FaizaFoxy Choi Kang Ta

Hawa al jazeera nao wameanza kutumika nini?
Hadi watakapoangamizwa....
 
Nimeshangaa ... Anachokitaka atakipata tu. Hamas wanasema wanataka vita viishe. Netanyau analeta habari za kiduanzi. Tutaendelea kumchapa huyu Kafir mpaka aombe pooh...

Sisi tunaona inatosha yeye analeta kibri. Ni nini sababu lakini? Si sawa.

Njoo wenzangu tumshambulie huyu Israel.

Ritz , FaizaFoxy Choi Kang Ta

Hawa al jazeera nao wameanza kutumika nini?
Tulia na uandike Kwa utulivu kidogo basi,hata hueleweki yaani
 
Tutamchapa sana Israel... Mpaka atachakaa.... Subiribi muone... Mbwa hawa. Wataisha.... Nasubiria wenzangu waje hapa kuwachana.
FaizaFoxy Ritz na ChoiceVariable mbona mmepotea ndugu zanguni? Mmeona hiyo taarifa ya al jazeera? Mmeielewaje? Tupambane na makafir jamani. Mbona mnapotea mnaniacha peke yangu?
Ohoo! Na ww liamshe mwanangu. Ngoma hii haichezeki tena. Hali imeshakuwa sio hali. 😠
 
Msilolijuwa ni kuwa Hamas walikuwa na mazungumzo ya siri na Urusi na Urusi imechukuwa dhamana, kuwa wao watahakikisha usalama unapatikana, Hamas wakubaliane na plan yao. Na Plan yao Urusi ni hiyo ya Hamas kutangaza kukubali yaishe. Wakati huohu Warusi walikuwa na mazungumzo ya siri na ndiyo maana ukaona majeshi ya Mazayuni yamejitowa Ghaza.

Kinachoendelea sasa hivi ni mvutano wa ndani wa Israel baina ya wanasiasa, raia na upande mwengine jeshi lao limegawanyika, wapo wanaomuunga mkono nyau na wapo wanaomuunga mkono waziri wa vita.

Huko kuna mtafaruku wa hali ya juu.

Habri za ukweli za Hamas unazisikiliza kutoka kwa mazayuni? Waongo wanafik hao?
 
Msilolijuwa ni kuwa Hamas walikuwa na mazungumzo ya siri na Urusi na Urusi imechukuwa dhamana, kuwa wao watahakikisha usalama unapatikana, Hamas wakubaliane na plan yao. Na Plan yao Urusi ni hiyo ya Hamas kutangaza kukubali yaishe. Wakati huohu Warusi walikuwa na mazungumzo ya siri na ndiyo maana ukaona majeshi ya Mazayuni yamejitowa Ghaza.

Kinachoendelea sasa hivi ni mvutano wa ndani wa Israel baina ya wanasiasa, raia na upande mwengine jeshi lao limegawanyika, wapo wanaomuunga mkono nyau na wapo wanaomuunga mkono waziri wa vita.

Huko kuna mtafaruku wa hali ya juu.

Habri za ukweli za Hamas unazisikiliza kutoka kwa mazayuni? Waongo wanafik hao?
Kwa hiyo Hamas sasa hivi wanamtegemea Urusi, sio Iran tena?

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
 
Msilolijuwa ni kuwa Hamas walikuwa na mazungumzo ya siri na Urusi na Urusi imechukuwa dhamana, kuwa wao watahakikisha usalama unapatikana, Hamas wakubaliane na plan yao. Na Plan yao Urusi ni hiyo ya Hamas kutangaza kukubali yaishe. Wakati huohu Warusi walikuwa na mazungumzo ya siri na ndiyo maana ukaona majeshi ya Mazayuni yamejitowa Ghaza.

Kinachoendelea sasa hivi ni mvutano wa ndani wa Israel baina ya wanasiasa, raia na upande mwengine jeshi lao limegawanyika, wapo wanaomuunga mkono nyau na wapo wanaomuunga mkono waziri wa vita.

Huko kuna mtafaruku wa hali ya juu.

Habri za ukweli za Hamas unazisikiliza kutoka kwa mazayuni? Waongo wanafik hao?
Inaonekana unafahamu mambo ya ndani sana ya hamas.

Upo kitengo gani hapo hamas ?

Cha mabomu au ?
 
Msilolijuwa ni kuwa Hamas walikuwa na mazungumzo ya siri na Urusi na Urusi imechukuwa dhamana, kuwa wao watahakikisha usalama unapatikana, Hamas wakubaliane na plan yao. Na Plan yao Urusi ni hiyo ya Hamas kutangaza kukubali yaishe. Wakati huohu Warusi walikuwa na mazungumzo ya siri na ndiyo maana ukaona majeshi ya Mazayuni yamejitowa Ghaza.

Kinachoendelea sasa hivi ni mvutano wa ndani wa Israel baina ya wanasiasa, raia na upande mwengine jeshi lao limegawanyika, wapo wanaomuunga mkono nyau na wapo wanaomuunga mkono waziri wa vita.

Huko kuna mtafaruku wa hali ya juu.

Habri za ukweli za Hamas unazisikiliza kutoka kwa mazayuni? Waongo wanafik hao?
Kweli kuna vilaza. Kwahiyo wewe unaamini Russia wako tayar kwa dhamana ya usalama wa Gaza City. Kwahiyo Al-Jazeera na RT cku hiz zinatoa taarifa za mazayuni
 
Nimeshangaa ... Anachokitaka atakipata tu. Hamas wanasema wanataka vita viishe. Netanyau analeta habari za kiduanzi. Tutaendelea kumchapa huyu Kafir mpaka aombe pooh...

Sisi tunaona inatosha yeye analeta kibri. Ni nini sababu lakini? Si sawa.

Njoo wenzangu tumshambulie huyu Israel.

Ritz , FaizaFoxy Choi Kang Ta

Hawa al jazeera nao wameanza kutumika nini?
Kama mna uwezo wa kumchapa kelelee za nn huku subirini haijapoa mpaka mseme pooo
 
Back
Top Bottom