Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 10,931
- 24,816
Nimeshangaa ... Anachokitaka atakipata tu. Hamas wanasema wanataka vita viishe. Netanyau analeta habari za kiduanzi. Tutaendelea kumchapa huyu Kafir mpaka aombe pooh...
Sisi tunaona inatosha yeye analeta kibri. Ni nini sababu lakini? Si sawa.
Njoo wenzangu tumshambulie huyu Israel.
Ritz , FaizaFoxy Choi Kang Ta
Hawa al jazeera nao wameanza kutumika nini?
Sisi tunaona inatosha yeye analeta kibri. Ni nini sababu lakini? Si sawa.
Njoo wenzangu tumshambulie huyu Israel.
Ritz , FaizaFoxy Choi Kang Ta
Hawa al jazeera nao wameanza kutumika nini?