Nani anampa kiburi Netanyau? Hamas hatutaki vita iendelee tumeamua yaishe. Analeta Kibri?

Nani anampa kiburi Netanyau? Hamas hatutaki vita iendelee tumeamua yaishe. Analeta Kibri?

Nimeshangaa ... Anachokitaka atakipata tu. Hamas wanasema wanataka vita viishe. Netanyau analeta habari za kiduanzi. Tutaendelea kumchapa huyu Kafir mpaka aombe pooh...

Sisi tunaona inatosha yeye analeta kibri. Ni nini sababu lakini? Si sawa.

Njoo wenzangu tumshambulie huyu Israel.

Ritz , FaizaFoxy Choi Kang Ta

Hawa al jazeera nao wameanza kutumika nini?
Atakuwa mpole tu, Jana Hamas wameua wana jeshi 24 kwa, mpigo,
Wajeda walikuwa wanatega mabomu kwenye jengo ili walilipue, Mpigania haki wa Hamas, akawacheki, akapiga rocket propelled gurunet, mabomu yakawalipukia wajeda! 24 wakafia hapo hapo!
Netanyahu Hana ujanja, sasa, hv Hana uhakika, kama Biden, atashinda urais,November!
Nyumbani ana kesi za, ufisadi kibao zinamkabili!
 
We unadhani kafiri akivaa kanzu hatumjui?
[emoji1787][emoji1787]
Nyie ndio wale wagalatia mnaokwenda kuiba mmevaa kanzu kisha wanapakaziwa waislamu
Sheikh kanzu ni vazi kama vazi jingine. Au huna ufahamu na haya mambo? Unadhani kanzu ni vazi la Kiislamu? 🤣
 
Atakuwa mpole tu, Jana Hamas wameua wana jeshi 24 kwa, mpigo,
Wajeda walikuwa wanatega mabomu kwenye jengo ili walilipue, Mpigania haki wa Hamas, akawacheki, akapiga rocket propelled gurunet, mabomu yakawalipukia wajeda! 24 wakafia hapo hapo!
Netanyahu Hana ujanja, sasa, hv Hana uhakika, kama Biden, atashinda urais,November!
Nyumbani ana kesi za, ufisadi kibao zinamkabili!
Wapalestine tunauawa daily. Inaumiza sana. UN chief blasts Israel’s ‘collective punishment’ of Palestinians in Gaza
 
Nimeshangaa ... Anachokitaka atakipata tu. Hamas wanasema wanataka vita viishe. Netanyau analeta habari za kiduanzi. Tutaendelea kumchapa huyu Kafir mpaka aombe pooh...

Sisi tunaona inatosha yeye analeta kibri. Ni nini sababu lakini? Si sawa.

Njoo wenzangu tumshambulie huyu Israel.

Ritz , FaizaFoxy Choi Kang Ta

Hawa al jazeera nao wameanza kutumika nini?

unavomshobokea bwana wako sasa!!

si utulize kinyeo chako urekebishe ndoa yako iliyokushinda
IMG_4767.jpg
 
Nimeshangaa ... Anachokitaka atakipata tu. Hamas wanasema wanataka vita viishe. Netanyau analeta habari za kiduanzi. Tutaendelea kumchapa huyu Kafir mpaka aombe pooh...

Sisi tunaona inatosha yeye analeta kibri. Ni nini sababu lakini? Si sawa.

Njoo wenzangu tumshambulie huyu Israel.

Ritz , FaizaFoxy Choi Kang Ta

Hawa al jazeera nao wameanza kutumika nini?
Kuna moderator mwislamu humu JF anapenda sana hizi threads,na hazitupwi
 
Nimeshangaa ... Anachokitaka atakipata tu. Hamas wanasema wanataka vita viishe. Netanyau analeta habari za kiduanzi. Tutaendelea kumchapa huyu Kafir mpaka aombe pooh...

Sisi tunaona inatosha yeye analeta kibri. Ni nini sababu lakini? Si sawa.

Njoo wenzangu tumshambulie huyu Israel.

Ritz , FaizaFoxy Choi Kang Ta

Hawa al jazeera nao wameanza kutumika nini?

Mkuu we si ulikua kwene matibabu ya kuacha ushoga imekuaje tena
 
Back
Top Bottom