JUAN MANUEL
JF-Expert Member
- Nov 26, 2010
- 7,808
- 16,972
Atakuwa mpole tu, Jana Hamas wameua wana jeshi 24 kwa, mpigo,Nimeshangaa ... Anachokitaka atakipata tu. Hamas wanasema wanataka vita viishe. Netanyau analeta habari za kiduanzi. Tutaendelea kumchapa huyu Kafir mpaka aombe pooh...
Sisi tunaona inatosha yeye analeta kibri. Ni nini sababu lakini? Si sawa.
Njoo wenzangu tumshambulie huyu Israel.
Ritz , FaizaFoxy Choi Kang Ta
Hawa al jazeera nao wameanza kutumika nini?
Wajeda walikuwa wanatega mabomu kwenye jengo ili walilipue, Mpigania haki wa Hamas, akawacheki, akapiga rocket propelled gurunet, mabomu yakawalipukia wajeda! 24 wakafia hapo hapo!
Netanyahu Hana ujanja, sasa, hv Hana uhakika, kama Biden, atashinda urais,November!
Nyumbani ana kesi za, ufisadi kibao zinamkabili!