Nani anampa kiburi Netanyau? Hamas hatutaki vita iendelee tumeamua yaishe. Analeta Kibri?

Nani anampa kiburi Netanyau? Hamas hatutaki vita iendelee tumeamua yaishe. Analeta Kibri?

Hana kiburi wala nini bali hana pa kutokea na wamemchoka
Nyumba yake imezingirwa na wayahudi wakidai ndugu zao mateka
Na bunge limevamiwa na wengine
Ni aibu sio kiburi
 
Hakuna mtafaruku huko Israel
Bunge la Israel limekataa Mpango wa kusitisha uchaguzi wakati huu wa Vita , ni Wabunge 18 TU Kati ya 120 waliorishia wazo wa uchaguzi
 
Kuhusu mtafaruku
Baraza la mawaziri maalumu Kwa kipindi hiki Cha Vita linaundwa na Vyama vya tofauti vya siasa na linaongozwa na Netanyau na huo ndiyo utaratibu wao
 
Msilolijuwa ni kuwa Hamas walikuwa na mazungumzo ya siri na Urusi na Urusi imechukuwa dhamana, kuwa wao watahakikisha usalama unapatikana, Hamas wakubaliane na plan yao. Na Plan yao Urusi ni hiyo ya Hamas kutangaza kukubali yaishe. Wakati huohu Warusi walikuwa na mazungumzo ya siri na ndiyo maana ukaona majeshi ya Mazayuni yamejitowa Ghaza.

Kinachoendelea sasa hivi ni mvutano wa ndani wa Israel baina ya wanasiasa, raia na upande mwengine jeshi lao limegawanyika, wapo wanaomuunga mkono nyau na wapo wanaomuunga mkono waziri wa vita.

Huko kuna mtafaruku wa hali ya juu.

Habri za ukweli za Hamas unazisikiliza kutoka kwa mazayuni? Waongo wanafik hao?
Kuna mdahalo kati yako na ngabu njoo basi utiririke huko
 
Nimeshangaa ... Anachokitaka atakipata tu. Hamas wanasema wanataka vita viishe. Netanyau analeta habari za kiduanzi. Tutaendelea kumchapa huyu Kafir mpaka aombe pooh...

Sisi tunaona inatosha yeye analeta kibri. Ni nini sababu lakini? Si sawa.

Njoo wenzangu tumshambulie huyu Israel.

Ritz , FaizaFoxy Choi Kang Ta

Hawa al jazeera nao wameanza kutumika nini?
Hamas husema na kurudia kushambulia Israel
 
Hawajakubali. Hamas walikuwa wanajibu uongo wa nyau kuwa Hamas hawataki mapatano. Wakati wao ndiyo hawataki mapatano.

Hamas uzi ule ule na jana si umeona walichokifanya?
TUsiache kuwatetea Hamas hata iweje. Hawa Makafir watatushinda vitani sisi tuwashinde hata kwenye media. Hasa huku JF. Tuwatetee ndugu zetu. Inshallah tutalipwa akhera.
 
TUsiache kuwatetea Hamas hata iweje. Hawa Makafir watatushinda vitani sisi tuwashinde hata kwenye media. Hasa huku JF. Tuwatetee ndugu zetu. Inshallah tutalipwa akhera.
 
TUsiache kuwatetea Hamas hata iweje. Hawa Makafir watatushinda vitani sisi tuwashinde hata kwenye media. Hasa huku JF. Tuwatetee ndugu zetu. Inshallah tutalipwa akhera.
We unadhani kafiri akivaa kanzu hatumjui?
[emoji1787][emoji1787]
Nyie ndio wale wagalatia mnaokwenda kuiba mmevaa kanzu kisha wanapakaziwa waislamu
 
Nimeshangaa ... Anachokitaka atakipata tu. Hamas wanasema wanataka vita viishe. Netanyau analeta habari za kiduanzi. Tutaendelea kumchapa huyu Kafir mpaka aombe pooh...

Sisi tunaona inatosha yeye analeta kibri. Ni nini sababu lakini? Si sawa.

Njoo wenzangu tumshambulie huyu Israel.

Ritz , FaizaFoxy Choi Kang Ta

Hawa al jazeera nao wameanza kutumika nini?
We km unapenda waislamu si ukubalj kuolewa tu na hao wazee hapo mtaani.?
ya nini kujipendekeza wakati unajua we kafiri? Njoo kwenye Dini ya Haki tukufunze kuoga na namna ya kuishi na mume.
 
Mwendawazim kweli, kwaio reference ni thread iliyoletwa na gaidi kafir mwenzio, nlidhani unaleta referençe yenye audio and video anayoongea TheMan himself,Mr Netanyahu...
 
Hamas alibeep sasa anapigiwa wacha apokee mvua hayo makombora israeli moto wa kuotea mbali mimi niliwapa hamas na hisbora miezi mitatu tu kuanzia januari na mwezi wa kwanza unaelekea kwisha bado miwili hamasi na hizibora watakuwa wadogo kama pilitone
 
Back
Top Bottom