kahtaan
JF-Expert Member
- Jul 11, 2009
- 18,760
- 11,343
Weka source yako hapa wapi Hamas wametaka vita iishe?Nimeshangaa ... Anachokitaka atakipata tu. Hamas wanasema wanataka vita viishe. Netanyau analeta habari za kiduanzi. Tutaendelea kumchapa huyu Kafir mpaka aombe pooh...
Sisi tunaona inatosha yeye analeta kibri. Ni nini sababu lakini? Si sawa.
Njoo wenzangu tumshambulie huyu Israel.
Ritz , FaizaFoxy Choi Kang Ta
Hawa al jazeera nao wameanza kutumika nini?
Mnajaza server za JF bure tu kuanzisha Uzi utumbo.
Anaetaka Vita iishe ni RAIA WA ISRAEL ambao mpk sasa Kuna mateka wao hawajulikani walipo.
Hata Google pia mnashindwa kuitumia wakati haina gharama ?
Duh...