Nani anampa kiburi Netanyau? Hamas hatutaki vita iendelee tumeamua yaishe. Analeta Kibri?

Nani anampa kiburi Netanyau? Hamas hatutaki vita iendelee tumeamua yaishe. Analeta Kibri?

Nimeshangaa ... Anachokitaka atakipata tu. Hamas wanasema wanataka vita viishe. Netanyau analeta habari za kiduanzi. Tutaendelea kumchapa huyu Kafir mpaka aombe pooh...

Sisi tunaona inatosha yeye analeta kibri. Ni nini sababu lakini? Si sawa.

Njoo wenzangu tumshambulie huyu Israel.

Ritz , FaizaFoxy Choi Kang Ta

Hawa al jazeera nao wameanza kutumika nini?
Weka source yako hapa wapi Hamas wametaka vita iishe?
Mnajaza server za JF bure tu kuanzisha Uzi utumbo.

Anaetaka Vita iishe ni RAIA WA ISRAEL ambao mpk sasa Kuna mateka wao hawajulikani walipo.

Hata Google pia mnashindwa kuitumia wakati haina gharama ?

Duh...
 
Katajaje tena nimekiona sehem nataka kuisoma imenipotea
Netanyahu anataka mateka waachiwe na vita isitishwe kwa miezi miwili huku wakijadili kuhusu misaada Gaza.
Hamas inasema vita iishe kabisa mateka wabadilishwe na wafungwa wote 6k wa Kipalestina na Hamas ibaki kuiongoza Gaza.
Takwa lisipotimia ngoma inogile.
 
Weka source yako hapa wapi Hamas wametaka vita iishe?
Mnajaza server za JF bure tu kuanzisha Uzi utumbo.

Anaetaka Vita iishe ni RAIA WA ISRAEL ambao mpk sasa Kuna mateka wao hawajulikani walipo.

Hata Google pia mnashindwa kuitumia wakati haina gharama ?

Duh...
 
Weka source yako hapa wapi Hamas wametaka vita iishe?
Mnajaza server za JF bure tu kuanzisha Uzi utumbo.

Anaetaka Vita iishe ni RAIA WA ISRAEL ambao mpk sasa Kuna mateka wao hawajulikani walipo.

Hata Google pia mnashindwa kuitumia wakati haina gharama ?

Duh...
Lugha ya Malkia changamoto? Au Al Jazeera tuanze kutowaamini siku hizi?
Screenshot_2024-01-22-17-03-57-753_com.instagram.android~2.jpg
 
Msilolijuwa ni kuwa Hamas walikuwa na mazungumzo ya siri na Urusi na Urusi imechukuwa dhamana, kuwa wao watahakikisha usalama unapatikana, Hamas wakubaliane na plan yao. Na Plan yao Urusi ni hiyo ya Hamas kutangaza kukubali yaishe. Wakati huohu Warusi walikuwa na mazungumzo ya siri na ndiyo maana ukaona majeshi ya Mazayuni yamejitowa Ghaza.

Kinachoendelea sasa hivi ni mvutano wa ndani wa Israel baina ya wanasiasa, raia na upande mwengine jeshi lao limegawanyika, wapo wanaomuunga mkono nyau na wapo wanaomuunga mkono waziri wa vita.

Huko kuna mtafaruku wa hali ya juu.

Habri za ukweli za Hamas unazisikiliza kutoka kwa mazayuni? Waongo wanafik hao?
Daah, umeongea kwa upole sana!
 
Kwa nini uombe makubaliano wakati unammudu adui?
Mandela alipotoa msamaha kwa makaburu baada ya kuwa Rais alishindwa na nani?

Nyie watoto majadiliano km haya yako nje ya uwezo wa elimu zenu.
Mtaumia vichwa.
 
Mandela alipotoa msamaha kwa makaburu baada ya kuwa Rais alishindwa na nani?
Mandela hakuomba msamaha ila alitoa msamaha, kwa hiyo hapo hakuwa mnyonge kwa kushindwa maana alikuwa kwenye powers (utawala). Hamas wanaomba negotiations huku wakiwa hawana powers zozote, na wanayetaka kufanya naye negotiations ndiye mwenye powers, na bahati mbaya hana mpango nao.
Nadhani kwa comment hii utamaliza kuchanganyikiwa
 
Daah, umeongea kwa upole sana!
Unataka niongee vipi? Au unanisoma kwa uonga?


Netanyahu ndiye kaomba poo baada ya juchezea kichapo. Hamas ni vijana wanaofanya maamuzi kwa heshima na adabu. Hata mateka wao waliowaachia wamedhihirisha hilo. Huna uwezo wa kuwashinda, hata wewe ukienda kuwasiadia mashoga za../ wenz...
 
Netanyahu anataka mateka waachiwe na vita isitishwe kwa miezi miwili huku wakijadili kuhusu misaada Gaza.
Hamas inasema vita iishe kabisa mateka wabadilishwe na wafungwa wote 6k wa Kipalestina na Hamas ibaki kuiongoza Gaza.
Takwa lisipotimia ngoma inogile.
Hehee safi kabisa mwaka huu mpaka bungo litemwe
Hamas kashikilia bomba kisawa sawa yaani
Kuna vijamaa vitaja sema kwamba hamas yataka vita vimalizike
 
Unataka niongee vipi? Au unanisoma kwa uonga?


Netanyahu ndiye kaomba poo baada ya juchezea kichapo. Hamas ni vijana wanaofanya maamuzi kwa heshima na adabu. Hata mateka wao waliowaachia wamedhihirisha hilo. Huna uwezo wa kuwashinda, hata wewe ukienda kuwasiadia mashoga za../ wenz...
Screenshot_2024-01-22-17-03-57-753_com.instagram.android~2.jpg



Tuendelee kuwapambania wenzetu humu JF tuwatie moyo.
 
Msilolijuwa ni kuwa Hamas walikuwa na mazungumzo ya siri na Urusi na Urusi imechukuwa dhamana, kuwa wao watahakikisha usalama unapatikana, Hamas wakubaliane na plan yao. Na Plan yao Urusi ni hiyo ya Hamas kutangaza kukubali yaishe. Wakati huohu Warusi walikuwa na mazungumzo ya siri na ndiyo maana ukaona majeshi ya Mazayuni yamejitowa Ghaza.

Kinachoendelea sasa hivi ni mvutano wa ndani wa Israel baina ya wanasiasa, raia na upande mwengine jeshi lao limegawanyika, wapo wanaomuunga mkono nyau na wapo wanaomuunga mkono waziri wa vita.

Huko kuna mtafaruku wa hali ya juu.

Habri za ukweli za Hamas unazisikiliza kutoka kwa mazayuni? Waongo wanafik hao?
Wewe mazungumzo hayo ya siri kati ya Hamas na Urusi umeyajulia wapi?
 
Vita haviishi mpaka malengo ya Israel yatimie nafikiri mnajua malengo ni kuwafuta Hamas na kuwarejesha mateka kwa mujibu wa Netanyahuu
Netanyahu anakichaa sio mzima hakuna anayeshinda guerilla warfare sana ataendelea kuibomoa idf kila kukicha marekani na maicraft carrier na f32 na manuclear ila Afghanistan wamesurrender na kuwarudisha Taliban after 20years guerrila yaani kila siku unabeba maiti za askari wako thats dem war hakuna anayependa kupigana hata hao wanaenda huko huko huwezi shinda such type of war sana sana cha kupata ni kama alichofanya usa vietnam kumminya adui aje kwenye negotiation table upate deal la kujadiliana kuhusu cease fire ila eti watakuja kudeclare victory hio haitatokea na hili wanalijua kwa kuwa walishafanya hivyo South Lebanon mwishowe wakawithdraw in 1980'S.
 
Back
Top Bottom