Nani anampa kiburi Netanyau? Hamas hatutaki vita iendelee tumeamua yaishe. Analeta Kibri?

Sindano aijaingiaaaa na badooo
 

ile meli ya kivita ya Uturuki uliyosema inajongea jongea, je haijafika?
 
Netamalizaaahaooo tuatalaakufyekaaa kijijikileeekiishekwanza ndio tuzungunze
 
Hivi mauchawi ya wavaa makobaz mbona hayamuathiri Netanyahu, maana ukienda Wilaya au mikoa yenye hawa watu huwa kuna mambo mengi sana ya kimajini majini.
 
Wenzako wanakimbia huko, mpaka sasa kidedea ni Hamas.

Huwa mnaota? Makamanda wa mazayuni wamekiri Hamas hawaiwezi nyinyi mazayuni wa JF, midomo juu.
Nabadooo hamjasema mpaaka.mseme
 
Netanya lazima akate kusitishwa kwa vita kwani ana hali mbaya, amekalia kuti kavu na vita tu ndio inayombeba na hata hiyo vita ndio anayoona turufu take inayombeaba haina muda mrefu itampiga mweleka wa kudumu hata nyanyuka tena
 
Hamas haiombi poo.
Bali imetaja masharti ya usitishwaji vita ambayo Netanyahu hajayapenda.
Kipengele cha kusema wafungwa wote waachiwe na hamas iendelee kutawala ndio kimemtibua Netanyahu.
Umeskia pendekezo alotaja Netanyahu leo??
 
Hivi mauchawi ya wavaa makobaz mbona hayamuathiri Netanyahu, maana ukienda Wilaya au mikoa yenye hawa watu huwa kuna mambo mengi sana ya kimajini majini.
Yaani umuathiri Netanyau kwa kuvunja Nazi zilizochorwa mamino mekundu ya maandishi yakipumbavu yasiyosomeka hata kwa mwana sayansi mwenye elimu ya rockets.
 
Wenzako wanakimbia huko, mpaka sasa kidedea ni Hamas.

Huwa mnaota? Makamanda wa mazayuni wamekiri Hamas hawaiwezi nyinyi mazayuni wa JF, midomo juu.
Hivi huwa upo serious kweli? Unajua ulishaniacha mdomo wazi uliposema Marekani hawawezi kivita Wayemeni!!! Unatoa mfano wa Afghanistan ambako Marekani alikuwa ameshatoa wanajeshi wake 80% waliokuwa wamebaki walikuwa ni kwa ajili ya kutoa mafunzo ya vifaa kwa jeshi la Afghanistan.....ambao ndo wameshindwa kuilinda nchi yao wenyewe na kuamua ku surrender ili wawe sehemu ya Taliban. Hukuona wale wanajeshi wa Afghanistan, watoto na wanawake walivyokuwa wanakimbilia ndege za jeshi la Marekani zilizokuwa zinachukua wanajeshi wa Marekani waliosalia
 
Mzee Neta kanyaga twende tumechelewa sana ama nasema uongo ndugu zangu
 
Aneomba vitaa isimame anajulikana hata sio hamas
 
Aneomba vitaa isimame anajulikana hata sio hamas
Eti eee! Israel watu wanakufa kwa njaaa eee? Wanakufa kwa kukosa dawa eee? Wanakufa kila siku kwa mashambulizi ya angani eee? Watoto wa Israel na wanawake wanakufa kila siku eee? BASI SAWA NIMEKUELEWA ISRAEL KAZIDIWA KILA KONA ANAOMBA POO.
 
Ndugu katika Imaani Iran na Pakistan hapatoshi, Allah yupo kimya tu.
Kashachoka na mambo yasiyo na tija! Kutajwa tajwa kwenye mambo ya kijinga hata kwenye mauwaji ( kuchinja) watoto na kubaka kule Israel tarehe 7/10 jina la Allah yaani ( Allahu akbar) lilitumika. JAPO BADO TUNAFATILIA HILO JINA LILITUMIKA MWANZONI MWA MATENDO YA KUBAKA AU MWISHONI MAGAIDI YALIPOMALIZA KUBAKA.
 
Hamas haiombi poo.
Bali imetaja masharti ya usitishwaji vita ambayo Netanyahu hajayapenda.
Kipengele cha kusema wafungwa wote waachiwe na hamas iendelee kutawala ndio kimemtibua Netanyahu.
Umeskia pendekezo alotaja Netanyahu leo??
Katajaje tena nimekiona sehem nataka kuisoma imenipotea
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…