Unalinganisha vipi? Ulinganishi wako sio sahihi, maana unachanganya na ukubwa wa mtaji. Weka wote wana mtaji sawa alafu jibu hilo swali.Mzalishaji obviously ndie anaepiga pesa ndefu Kwa sababu yeye huuza products nyingi Kwa hao middle men.
For single product unit middle man anaweza kupata faida zaidi ya mzalishaji. Lakini Kwa sababu huyu middleman anachukua sehemu ndogo Tu ya manufactured product hawezi kumzidi mzalishaji ambao anapata faida ya product yote iliozalishwa.
Kuna uwezekano wa mzalishaji na middle man kuwa na mtaji Sawa?Unalinganisha vipi? Ulinganishi wako sio sahihi, maana unachanganya na ukubwa wa mtaji. Weka wote wana mtaji sawa alafu jibu hilo swali.
Nimekuelewa sanaMzalishaji ndie anaetengeneza faida kubwa maana ndie anaejua siri kubwa ambayo ni gharama za uzalishaji wa hiyo bidhaa
Mfano Mzalishaji Mo ndie anaejua siri kwamba Mo energy moja thamani yake ni shilingi 50 tu kuizalisha. Ila yeye ananuuzia middleman Mo energy moja kwa shilingi 450. Hivyo anapiga 400 kama faida kwa energy moja.
Huku middleman yeye anamuuzia mlaji wa mwisho mo energy moja kwa shilingi 600. Hivyo yeye anapata faida ya shilingi 150 kwa kila mo energy moja
Alafu kumbe naweza nikawa mzalishaji at the same time nikawa mtu kati.. Kwa product hiyo hiyo ninayo zalisha .mzalishaji ndio mmiliki wa mfumo kwahiyo hakuna wakumpangia au kumkadiria kiwango cha pesa anachotakiwa kukipata ila mtu kati ni msaidizi tu ambae anamuunganisha mzalishaji na mlaji kwahiyo kiwango chake cha kipato kipo chini ya mzlishaji, kwa maana mzalishaji akiamua kuuchezesha mfumo na kubadili vigezo na masharti vya kumkandamiza mtu kati ili azidi kujiongezea ukwasi basi mtu kati anaathirika moja kwa moja.... kwa maana nyingine unaweza kusema kwamba mzalishaji ni mfanya biashara wakati huo huo mtu kati ni mfanya kazi.
kwahiyo kazi kwako mkuu kwenye kuchagua, kama unataka uwe mfanya kazi nenda na middleman ila kama unataka uwe mfanya biashara basi kuwa mzalishaji.
Kwa maana ya kupitia mfumo utakao utengeneza inawezekana ila kwa wewe mwenyewe ni ngumu kwa maana watu wengi wanapambana kutengeneza biashara ambazo haziwategemei wao ili ziweze kwenda.Alafu kumbe naweza nikawa mzalishaji at the same time nikawa mtu kati.. Kwa product hiyo hiyo ninayo zalisha .
Hamna. Cha factor hapo. Mzalishaji ndo Tajiri..wachuuzi ni waajiriwa wakeHilo swali halina majibu ya moja kwa moja kuna factors nyingi sana zinazoweza kufanya majibu yote kuwa Sawa ama kutokuwa sawa kutegemeana na aina ya bidhaa, aina ya soko, monopoly power ect
unashindana vipi? mtu anaye jipangia bei auze bei gani? product yake... Alafu anakuja kupangia muuza jumla mpka mlaji wa mwisho!Hamna. Cha factor hapo. Mzalishaji ndo Tajiri..wachuuzi ni waajiriwa wake
Umeelewa comment yangu?unashindana vipi? mtu anaye jipangia bei auze bei gani? product yake... Alafu anakuja kupangia muuza jumla mpka mlaji wa mwisho!
nimeongezea nyama hapo.. sijakupinga mdau!Umeelewa comment yangu?
Mzalishaji wa viwanda au wakulima?Wakuu habari zenu
Naomba kuuliza kwenu watu wa biashara na uchumi
Hivi kati ya producers/manufacturer Na Middleman nani yupo good position ya kutengeneza faida kuliko mwenzake.
Mimi ni middle man kwenye biashara X nataka ku shift kuwa kama manufacturer
Hakuna mtu anaejipangia bei kubwa itakayozidi kiwango ambacho mzalishaji amepanga au anaexpect kama ndio bei ya mwishounashindana vipi? mtu anaye jipangia bei auze bei gani? product yake... Alafu anakuja kupangia muuza jumla mpka mlaji wa mwisho!
Ukiwa mzalishaji na muuzaji mwenyewe hufiki mbali sana , lazima watu kati wakusaidieAlafu kumbe naweza nikawa mzalishaji at the same time nikawa mtu kati.. Kwa product hiyo hiyo ninayo zalisha .
πΉUtegemee kununua bidhaa kwa MO alafu uwe tajiri kupita yeye π
Aki simamisha uzalishaji mwezi mmoja tuu ni kilio nchi nzima ππΉ
Hata uwachukue wasambazaji wote wa Mo kwa pamoja hawawezi mzidi kwenye faida jumla kuliko yeye
Anakuuzia wewe upate asilimia fulani tu
Yes ni kilio maana kuna watu wanaishi kwaajili ya hizo bidhaa kwa faida lakini jamii tunawaregemeaAki simamisha uzalishaji mwezi mmoja tuu ni kilio nchi nzima π