Nani anatengeneza faida kubwa kati ya mzalishaji wa bidhaa na mtu wa kati?

Unalinganisha vipi? Ulinganishi wako sio sahihi, maana unachanganya na ukubwa wa mtaji. Weka wote wana mtaji sawa alafu jibu hilo swali.
 
Unalinganisha vipi? Ulinganishi wako sio sahihi, maana unachanganya na ukubwa wa mtaji. Weka wote wana mtaji sawa alafu jibu hilo swali.
Kuna uwezekano wa mzalishaji na middle man kuwa na mtaji Sawa?
Labda useme mkulima na middleman. Kwa Mimi mzalishaji ni Yule mwenye kiwanda. Labda unipe mfano wa mzalishaji anaezidiwa na middleman wake!
 
Nimekuelewa sana
 
Alafu kumbe naweza nikawa mzalishaji at the same time nikawa mtu kati.. Kwa product hiyo hiyo ninayo zalisha .
 
Alafu kumbe naweza nikawa mzalishaji at the same time nikawa mtu kati.. Kwa product hiyo hiyo ninayo zalisha .
Kwa maana ya kupitia mfumo utakao utengeneza inawezekana ila kwa wewe mwenyewe ni ngumu kwa maana watu wengi wanapambana kutengeneza biashara ambazo haziwategemei wao ili ziweze kwenda.
 
Mzalishaji wa viwanda au wakulima?

Mtu kati anatengeneza hela nyingi sana kwenye kilimo

Kwenye uzalisgaji viwanda wazalishaji wanapata hela nyingi sana maana wanatoa percent tu kwa wachuuzi au watu kati ,ila wao wanauza bodhaa nyingi sana
 
unashindana vipi? mtu anaye jipangia bei auze bei gani? product yake... Alafu anakuja kupangia muuza jumla mpka mlaji wa mwisho!
Hakuna mtu anaejipangia bei kubwa itakayozidi kiwango ambacho mzalishaji amepanga au anaexpect kama ndio bei ya mwisho

Pabda hizi bidhaa za mitaani


Mfano soda huwez panga bei yako, cement huwezi panga bei yako ,sukari huwez panga bei yako
 
Alafu kumbe naweza nikawa mzalishaji at the same time nikawa mtu kati.. Kwa product hiyo hiyo ninayo zalisha .
Ukiwa mzalishaji na muuzaji mwenyewe hufiki mbali sana , lazima watu kati wakusaidie

Huwez sambaza cement nchi nzima

Na hata ukiwa mzalishaji huwezi jipangia tu bei ambayo unataka maana washindani ni wengi

Labda uwe na bidhaa ambayo haipo popote
 
😹
Hata uwachukue wasambazaji wote wa Mo kwa pamoja hawawezi mzidi kwenye faida jumla kuliko yeye
Anakuuzia wewe upate asilimia fulani tu
Aki simamisha uzalishaji mwezi mmoja tuu ni kilio nchi nzima πŸ˜„
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…