mzalishaji ndio mmiliki wa mfumo kwahiyo hakuna wakumpangia au kumkadiria kiwango cha pesa anachotakiwa kukipata ila mtu kati ni msaidizi tu ambae anamuunganisha mzalishaji na mlaji kwahiyo kiwango chake cha kipato kipo chini ya mzlishaji, kwa maana mzalishaji akiamua kuuchezesha mfumo na kubadili vigezo na masharti vya kumkandamiza mtu kati ili azidi kujiongezea ukwasi basi mtu kati anaathirika moja kwa moja.... kwa maana nyingine unaweza kusema kwamba mzalishaji ni mfanya biashara wakati huo huo mtu kati ni mfanya kazi.
kwahiyo kazi kwako mkuu kwenye kuchagua, kama unataka uwe mfanya kazi nenda na middleman ila kama unataka uwe mfanya biashara basi kuwa mzalishaji.