Mzalendo39
JF-Expert Member
- Apr 17, 2015
- 881
- 1,033
Alisha sitaafu tule kiutumishiKama ikitokea Jenerali Mabeyo akaomba kupumzika basi mamlaka za uteuzi imwangalie Balozi wa Tanzania nchini Uturuki Luteni Jenerali Yacoub Hassan Mohamed kama Jenerali mpya
Kwani Mabeyo hakuwa luteni general wakati anachukua mikoba ya CDF au mmeamua tu kujisemea.Wakati wa jiwe aliachwa MNADHIMU akapewa MABEYO
Au Jenerali UlimwenguHahaha, basi kama vipi apewe Luteni Karama
Swali zuri sana hili, tungoje majibuKwamba brigedia jenerali anaweza kuteuliwa kuwa CDF halafu hao ma meja na luteni jenerali wanakuwa bado jeshini au watapelekwa majukumu nje ya jeshi?
Hapana mkuu, Mnadhimu aliyekuwepo alistaafishwa tena nadhani ni Mwakibolwa na Mabeyo akateuliwa kuwa Mnadhimu mwezi Novemba 2016 na February 2017 akawa CDFWakati wa jiwe aliachwa MNADHIMU akapewa MABEYO
Kwanza yacoub aliondolewa purposely, ni shemeji wa mwendazake.Kufatia habari ya jana ya kustaafu kwa General Mabeyo ndani ya JWTZ, basi kama kawaida yetu sio mbaya tukafanya bashiri ya nani anaweza akawa CDF mpya.
Kwakuwa JF ni uwanja mpana, ina wadau wengi na wengine ni wa huko huko jikoni, sio mbaya tukapendekeza jina la CDF mpya kwa kuzingatia uweledi wake katika kuchapa kazi.
Mimi nampa nafasi kubwa Luteni Jenerali Mathew Mkingule kuwa CDF mpya.
Lakini pia kwenye korido anatajwa Luteni Jenerali Yakubu Mohamed balozi wa Tanzania nchini Uturuki.
Japo pia mzee wa infantry, Meja Jenerali Mwaisaka anapigiwa chapuo.
Vilevile, Meja Jenerali Rajab Mabele naye anaweza akawa CDF mzuri tu kwa utendaji wake mzuri wa kazi huko JKT.
Japo pia kuna minong'ono kuhusu Meja Jenerali Suleimani Mzee kufatia kazi ya kutukuka huko Magereza.
Ila watu wasimua-underrate Meja Jenerali Mbuge lolote linaweza kutokea. Japo kwasasa ni Mkuu wa Mkoa wa Kagera.
Brigedia Jenerali J.J. Mwaseba mkuu wa chuo cha TMA naye anatajwa japo atakuwa yupo nyuma sana kwa rank kulinganisha na hao wenzake.
NB:
Uzi huu haumlengi kumpigia mtu yoyote promo!!
Viva JWTZ
Viva Tanzania
Aliyekuwa anaandaliwa na mwendazake ni Charles MbugeGaguti alikuwa anaandaliwa na Mwendazake sema sasahivi haiwezekani Tena.
Kuna mtu anaitwa Brigedia General Kadawi, huyu ndiye COS mpya, jamaa operations zilizotukukaKwa sisi tuliopitia JKT enzi hizo tunajua nafasi itaenda kwa Lt Gen. Mkingule ambaye ni C of S.... swali sasa ni nani atakua C of S baada ya Mkingule kua CDF jibu ni ngumu kidogo ila kuna Maj Gen. kibao ila wawili likely mmoja kutoka kanda ya ziwa na mwingine kutoka upande wa pili
Kwa major general kuwa cdf inawezekana kabisa kwani ni kitendo cha kumuondoa luteni jenerali na kumpamdisha Meja JeneraliHumu watu hata protokali za jeshi hawazijui
Yani mtu ni brigedier general au major general awe cdf halafu aachwe lieutenant general?
Enzi za mwendazake ofcourse ingewezekana hata segeant kuwa cdf
a CDF never beAliyekuwa anaandaliwa na mwendazake ni Charles Mbuge
Hahah huyo aliacha kashfa takukuruMajor General JJ Mbung'o
Balozi hana sifa ndo maana hata unadhimu alinyang'anywa na mama, so dont expectKama ikitokea Jenerali Mabeyo akaomba kupumzika basi mamlaka za uteuzi imwangalie Balozi wa Tanzania nchini Uturuki Luteni Jenerali Yacoub Hassan Mohamed kama Jenerali mpya
NakaziaJeshi limeongozwa na Infantry saana its time kwa Airforce, japo Mboma alishawahi kupitia 601KJ ila ni infantry tu. Kama Mwamunyange aivyotokea JKT. Its time for Airforce, Navy watulie kwanza
Elewa sio unachangia kama uzi wa mpenziKwani Mabeyo hakuwa luteni general wakati anachukua mikoba ya CDF au mmeamua tu kujisemea.
Mkuu, ilikuwa figisu ili aweke kanda ya ziwaHapana mkuu, Mnadhimu aliyekuwepo alistaafishwa tena nadhani ni Mwakibolwa na Mabeyo akateuliwa kuwa Mnadhimu mwezi Novemba 2016 na February 2017 akawa CDF
Achana na islamophobia atoteuliwa yeyote atakuwa na Dini yake kwa hivyo hapo unaagaliwa utendaji co imani ya mtu wala sehemu anayotoka siasa za ukabila zimekwisha sasa
Unapanga we naniiiiMkuu wa Kamandi ya Wanamaji (Navy) anatosha kuwa CDF...ofcourse ni wakati sasa wa Navy kutoa General