Nani humu ana ujasiri wa kufanya hivi

Nani humu ana ujasiri wa kufanya hivi

Hivi ni kweli au igizo,huyo mpiga picha alijiaandaaje na tukio Hilo?
Mbona ni kawaida?
Huwa ipo hivi, magaidi waandaaji wa shambulizi huandaa yote hayo, atakayejitoa mhanga kwa kujilipua na atakayechukua video clip. Halafu baadaye wao hutoa taarifa ikiambatana na video kuwa wao ndiyo wanahusika
 
Mbona ni kawaida?
Huwa ipo hivi, magaidi waandaaji wa shambulizi huandaa yote hayo, atakayejitoa mhanga kwa kujilipua na atakayechukua video clip. Halafu baadaye wao hutoa taarifa ikiambatana na video kuwa wao ndiyo wanahusika
Aisee
 
Duh,
Huyo tapeli kajifanya mrembo amevaa BAIBUI kumbe muuaji.
Wale wanaosema hayo mavazi ni hatari wasikilizwe, wana hoja ya msingi.

Halafu hapo anaua hata WASIO na hatia yoyote kwa kutaja jina la mungu wake allah, eti kisa anaende kuchezea visimi na kulewa mfululizo..
Mohamed Abubakar , Malaria 2, Ritz, FaizaFoxy
Mbona Mzee wetu mwana historia mahiri hujamualika dimbani
 
Ndiyo sababu hata wakichinja watu huku wakitaja mungu wao, video clip zinapatikana kwani wahusika wa kuchinja wenyewe ndiyo huzisambaza
Technology inawaruhusu kuwafikia waliowakusudia kuwa-terrorize
 
Uzao wa Ishmael huu. Hasara tupu, bora Mzee Ibrahim angevaa ndom tu.
Hahaha. Kwani kipindi hiko zilikuwepo hizo? Dah! Hiyo ndo mojawapo ya hasara za kuendeleza michepuko. Ona sasa; Unaanzisha kizazi cha magaidi. Mzee Ibrahimu siku hiyo laiti angelijiendea shambani kulima ngano kuliko hicho alichofanya.
 
Back
Top Bottom