Nani humu ana ujasiri wa kufanya hivi

kila mtu anaweza awe mkristo au muslamu au mhindu , mbudha, mpangani na n.k niswala la mindset tu ukiotewa ukapewa sumu vizuri zikaingia mbona sekunde tu..
Sasa kwanini mindsets za hawa akina alaaakibaluu tu ndo ziweze hadi sasa?
 
Kwa hio wanawake hawapendi wanaume?
Wanawake mara nyingi huanza kupenda baada ya kupata attention ya mwanaume

Vile vile wanawake wanatumia organ ya kusikia ndio waanze kukuelewa lkn wanaume tunatumia organ ya kuona ndio tunavutiwa

Kwahiyo ni sahihi kabisa kusema wanaume tunapenda
 
Nitarejea baadae
 
Hukuweza kuangalia au hujui kufuatilia movie mkuu!.
Una matatizo ya macho au?,huyo uliomuwekea alama ni mtu aliyerushwa na.mlipuko suicide bomber mwenyewe kazingirwa vibaya na milipuko.We umeona wapi mtu aliyejifunga mabomu hachanwichanwi au unawafanya waliotengeneza muvi ni wajinga hawalijui hilo?
 
Hivi ni kweli au igizo,huyo mpiga picha alijiaandaaje na tukio Hilo?
Ni kipande cha movie hicho ila hao wangese nawachukia mno sina amani kabisa akiwa mbele yangu na hayo maguo
 
Hahaha. Kwani kipindi hiko zilikuwepo hizo? Dah! Hiyo ndo mojawapo ya hasara za kuendeleza michepuko. Ona sasa; Unaanzisha kizazi cha magaidi. Mzee Ibrahimu siku hiyo laiti angelijiendea shambani kulima ngano kuliko hicho alichofanya.
Pambaf kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…