Nani kasema Nguruwe halali? Sio Ukristo au Uislamu kote wamemkana.

Mbona umemsahau Ngamia ni haram lakini jamaa wanafakamia hadi maziwa yake
 
 
Hiyo ilimtokea petro tu, swali nawe kawatakasa kakwo leta andiko
Kwa hiyo kuna mafungu ya Biblia yanamhusu Petro pekee? 😳😳😳

Kama ni hivyo basi karibia nusu ya Biblia itabidi tuipuuze maana habari zake nyingi zinahusu maisha ya watu - ambao kwetu tunapaswa kuwaona kama mifano....Mitume na mashujaa wa imani!

Na hili ni Agano jipya ambalo lilikuja kutengua yale masheria maelfu na maelfu ya Musa (kubakiza moral law - Amri 10 za Mungu); na likasema wazi kwamba tutakwenda mbinguni si kwa kufuata masheria yale ya kutokula nyamafu, samaki wasio na mapezi, wanyama wasio na kwato, wanyama wasiocheua na utopolo mwingine!

Hitimisho:

➡️➡️➡️ Hakuna mtu atakayekwenda motoni kwa sababu eti alifakamia Mbuzi wa Vatican....
 
Mababu zetu enzi zile walisemaje ? Au wao hawakupata Memo kuhusu haya mambo mpaka yalipoletwa na Merikebu ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…